Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo nalo litakuwa janga la kitaifa maanaMwaka huu atapigia kelele zake ukonga kwa wafungwa wenzie ila wafungwa watafaidika atakuwa anawaandikia rufaa wafungwa wenzake
Kwa uelewa wa bavicha sipingi hoja yako. Unatekeleza haki ya kuongea.LISU MMOJA NI SAWA NA WABUNGE 10000 wa CCM na mkuu wa kaya akiwemo
Ushahidi wa maandiko matakatifu unadokeza kwamba Mungu hajawahi kumtupa mja wake .Free lisu
Kama ni hvyo bac mimi namuita mh. Mbowe kuwa ni dikteta uchwara..... Sasa utaona ka Mbowe atamaind kuitwa dikteta uchwara coz yy cyo dikteta uchwaraKama siyo tusi nenda Kamuite Mbowe dikteta uchwara
Waeleza hao lumumba buku 7 waeleweTundu lissu amesambaratisha kabisa ccm kwenye jimbo lake , kuanzia serikali za vijiji hadi kata , kwa singida hii haikuwa kazi nyepesi .
wakili 1 wa serikali ni zaidi ya mawakili wote wa ukawaLISU MMOJA NI SAWA NA WABUNGE 10000 wa CCM na mkuu wa kaya akiwemo
Kwani yeye ni mbunge wa mkoa? Nilifikir ungesema jimboni kwake badala ya mkoa... Maendeleo ya mkoa c aulizwe mkuu wa mkoa? Ni mtazamo wangu lakinTatizo kubwa la huyu bwana ni kutokujua nini anachokifanya na ni kwa maslahi ya nani. Wenzie wenye akili nzuri hizi harakati wanafanyia nje ya mikoa yao. Ndiyo maana utakuta mikoa ya wafamaji wenzie at least hali si mbaya sana. MKOA anakotoka huyu bwana ni hali ngumu sana kimaendeleo. Ni moja kati ya mikoa maskini kabisa hapa Tanzania. Vita ikipiganiwa katika nchi yako, hata kama utashinda lakini utakuwa umepata hasara kubwa. Ni vema akabadili staili, badala ya kuhamasisha maandamano aanze kuhamasisha maendeleo katika mkoa wake ili awe sawa na wenzie. Kwa hilo hata mimi ningeona kama yuko vizuri.
Usemayo ni kweli, mimi namfahamu kabla hajaingia kwenye siasa, Lisu hanaga woga wala unafiki. Tatizo kazaliwa kwenye nchi ya baba wa unafikiNaomba hii iwe angalizo kwa wote wanaodhani wanaweza kumnyamazisha Tundu Lissu. Ukifuatilia tangu awamu ya 3 huyu mtu alikuwa mwiba halisi kwa kuanika ukweli kuhusu wachimbaji waliozikwa kibabe tena wakiwa hai kwenye mashimo ya madini huko kanda ya ziwa ili kupisha mwekezaji, Mh. Lyatonga Mrema na IGP Mahita wanalifahamu hili vizuri sana.
Pamoja na vitisho vyote Lissu hakuwahi kumpigia magoti mtu yeyote na mwisho wa siku ukweli ulikuja kubainika, Mungu aziweke mahali pema peponi roho za wahanga wale, Amina.
Awamu ya nne ya Mh Profesa Kikwete makali ya Lissu ya kusimamia ukweli wote mnayafahamu, kuna wakati Dk Kikwete alinukuliwa akisema " NI HERI DR SLAA AENDE IKULU KULIKO TUNDU LISSU AINGIE BUNGENI " Dr slaa hakwenda ikulu lakini Tundu Lissu aliingia bungeni kwa kishindo.
Huyu mtu hanyamazishwi na wanadamu, atanyamaza pale tu Mungu atakapomtwaa kwa hiyari yake lakini si kwa hila za wanadamu wenye mwili na nyama.
Nidhamu gani.Mafisadi wote wako CCM.Kuanzia escrow mpaka maafa ya bukoba mpaka kivuko cha bagamoyo.Walibembelezwa wakati wa awamu ya iliyopita, huu ni wakati mwingine, ni lazima nidhamu iwepo katika nchi.
Bila polisi , ccm ni wepesi kuliko pamba .Nidhamu gani.Mafisadi wote wako CCM.Kuanzia escrow mpaka maafa ya bukoba mpaka kivuko cha bagamoyo.
Ifike mahali watu washindane kwa nguvu za hoja na si nguvu za dola.Katiba yetu ina mapungufu sana kama alivyosema Mwl.Nyerere.
Tuzidi kumwombea ulinzi kwa MunguThe best Tundu Lissu katika ubora wake , shoka moja mbuyu chini !
Kwani hayupo mkuuKama yeye ni mbabe, saa hizi yuko wapi? Hakuna mtu anayeweza kushindana na dola, hasa katika kipindi hiki. Hata kama una pembe ngumu namna gani ni lazima hizo pembe zitang'olewa na hatimaye utashika adabu tu.
Kwani nani katukanwa mtoto wa mtukufuDuniani kote Hamna democrasia ya kutukana watu
Mkuu kijijini kwenu ndo wapihuwezi kuniambia kuwa lissu ni mwanasiasa makini nikakukubalia hata kidogo huyu c mwana siasa bali ni mwanaharakati na mpiga kelele tu mwanasiasa makini cku zote. ujenga hoja zenye mashiko si kuongea kauli zenye kuvunja amani au kufanya ushawishi wowote wenye kuatalisha amani vitendo afanyavyo lissu ni vitendo vya kiharakati si kisiasa Na ni mtu ambae anataka kucheza na akili za watu kwa propaganda dhaifu na kupata attention ya vyombo vya habari lakini linapo kuja swala. la hoja zenye mashiko lissu ni mweupe huwezi hata kumlinganish@ na mnyika, zitto,