Tundu Lissu hajawahi kunyamaza na hatonyamazishwa kamwe

Tundu Lissu hajawahi kunyamaza na hatonyamazishwa kamwe

Wewe unapambana au unatumiwa kama toilet paper? Wakuangalia tarehe ni wewe umejinga lini 2012 na mimi Je? Huna lolote wewe, unachojua ni uwongo ambao hauna mbele wala nyuma. Without people like me you wouldn't have been here with that privilege, na pumba zako pamoja na propaganda. Find another loser like yourself.
Elfu 7 unayolipwa inakutokea puani ! tarehe ya uzi imekuwa tarehe yangu tena ! kuchanganyikiwa kubaya sana !
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Na mimi namshauri asinyamaze mpaka kieleweke , kuwanyamazia wakandamizaji na wakiukaji wa haki za binadamu maccm na vibaraka wao tumeccm , policcm , tissccm maana yake ni kukubali maonezi , kikubwa wananchi wote tumuunge mkono kwa udi na uvumba mpaka CCM wasepe mwaka huu liwe jua iwe mvua .
Screenshot_20201002-080943.png
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mwaka huu atapigia kelele zake ukonga kwa wafungwa wenzie ila wafungwa watafaidika atakuwa anawaandikia rufaa wafungwa wenzake
Hiyo ndo gharama ya ukombozi. Nyerere angekuwa na watu waoga wa aina yako hii nchi isingepata uhuru. There is a price one has to pay for total liberty. Lissu utamuelewa badae saana.
 
Asilazimishwe kumpenda mtu aliyetuma usalama wamshambulie kwa risasi 16. Ungekuwa wewe ktk nafasi yake, ungempenda Magufuli. Magufuli anakwenda mahala alipojiandalia alipokuwa mzima. Wafu hawezi kubadili waendako ila walio hai wanaweza.
Lissu abaki tu kwenye fani yake uongozi hawezi! Ni mashtaka tu kama mtoto mdogo. Alipomkashifu JPM huko nje alipata faida gani?

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Naomba hii iwe angalizo kwa wote wanaodhani wanaweza kumnyamazisha Tundu Lissu. Ukifuatilia tangu awamu ya 3 huyu mtu alikuwa mwiba halisi kwa kuanika ukweli kuhusu wachimbaji waliozikwa kibabe tena wakiwa hai kwenye mashimo ya madini huko kanda ya ziwa ili kupisha mwekezaji, Mh. Lyatonga Mrema na IGP Mahita wanalifahamu hili vizuri sana.

Pamoja na vitisho vyote Lissu hakuwahi kumpigia magoti mtu yeyote na mwisho wa siku ukweli ulikuja kubainika, Mungu aziweke mahali pema peponi roho za wahanga wale, Amina.

Awamu ya nne ya Mh Profesa Kikwete makali ya Lissu ya kusimamia ukweli wote mnayafahamu, kuna wakati Dk Kikwete alinukuliwa akisema " NI HERI DR SLAA AENDE IKULU KULIKO TUNDU LISSU AINGIE BUNGENI " Dr slaa hakwenda ikulu lakini Tundu Lissu aliingia bungeni kwa kishindo.

Huyu mtu hanyamazishwi na wanadamu, atanyamaza pale tu Mungu atakapomtwaa kwa hiyari yake lakini si kwa hila za wanadamu wenye mwili na nyama.
Yetu macho
 
 
Mwaka huu atapigia kelele zake ukonga kwa wafungwa wenzie ila wafungwa watafaidika atakuwa anawaandikia rufaa wafungwa wenzake.
Uko hai au umekufa ? nataka kufahamu ili nikupe neno
 
Naomba hii iwe angalizo kwa wote wanaodhani wanaweza kumnyamazisha Tundu Lissu. Ukifuatilia tangu awamu ya 3 huyu mtu alikuwa mwiba halisi kwa kuanika ukweli kuhusu wachimbaji waliozikwa kibabe tena wakiwa hai kwenye mashimo ya madini huko kanda ya ziwa ili kupisha mwekezaji, Mh. Lyatonga Mrema na IGP Mahita wanalifahamu hili vizuri sana.

Pamoja na vitisho vyote Lissu hakuwahi kumpigia magoti mtu yeyote na mwisho wa siku ukweli ulikuja kubainika, Mungu aziweke mahali pema peponi roho za wahanga wale, Amina.

Awamu ya nne ya Mh Profesa Kikwete makali ya Lissu ya kusimamia ukweli wote mnayafahamu, kuna wakati Dk Kikwete alinukuliwa akisema " NI HERI DR SLAA AENDE IKULU KULIKO TUNDU LISSU AINGIE BUNGENI " Dr slaa hakwenda ikulu lakini Tundu Lissu aliingia bungeni kwa kishindo.

Huyu mtu hanyamazishwi na wanadamu, atanyamaza pale tu Mungu atakapomtwaa kwa hiyari yake lakini si kwa hila za wanadamu wenye mwili na nyama.
TL kisiki cha mpingo kile.
 
Back
Top Bottom