We kweli utopolo. Unalinganisha ulimboka ma Lissu.kuna mtu alikuwa anaongea na kusumbua serikali kama Dr. ulimboka???
Kwa nini usimfate tu Jiwe huko. Maana huna maana duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kweli utopolo. Unalinganisha ulimboka ma Lissu.kuna mtu alikuwa anaongea na kusumbua serikali kama Dr. ulimboka???
Hakuna. They end up failing miserablyHakuna mahali popote katika dunia hii ambapo dikteta aliwahi kushinda , fanya utafiti .
niliona niwakumbushe hao mamluki wapya wamfahamu kidogo tu LissuTL kisiki cha mpingo kile.
[emoji38][emoji38][emoji38]We kweli utopolo. Unalinganisha ulimboka ma Lissu.
Kwa nini usimfate tu Jiwe huko. Maana huna maana duniani
Hutaki arudi nyumbani ?
Haya sasa !!Comment zingine bwana! Uliyekuwa unamtetea yuko wapi sasa na je yule wa kwenda Ukonga yuko wapi?[emoji28][emoji28][emoji28]
Na hatimaye akatokomea mazimaNa madhara ya Lissu yameahaanza kuonekana.
Yule aliyejiita yohana mbatizaji anayebatiza kwa moto. Badala ya kubatiza yeye ndio kabatizwa na kupewa jina la Uchwara.
Huyo ndio Lissu bwana.
Mungu ibariki JFUoga wako ndio umasikini wako, wale wafungwa kule ukonga ni watanzania wanaohitaji huduma za kisiasa , kwahiyo kama watakutana na shujaa lissu hiyo itakuwa bahati kubwa sana kwao.
Weka ushahidiLISU wa 2016 ni tofauti kabisa na LISU wa 2022. Wa 2022 keshanyamazishwa kimyaa!!
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !!Jiwe angeacha kumuudhi Lissu asingekuwa mavi ya funza saa hii.
Tulionya TukapuuzwaComment zingine bwana! Uliyekuwa unamtetea yuko wapi sasa na je yule wa kwenda Ukonga yuko wapi?[emoji28][emoji28][emoji28]
Mbwa waoga wanaokunjia mkia matakoni ni hao wanaomwandama!Kama yeye ni mbabe, saa hizi yuko wapi? Hakuna mtu anayeweza kushindana na dola, hasa katika kipindi hiki. Hata kama una pembe ngumu namna gani ni lazima hizo pembe zitang'olewa na hatimaye utashika adabu tu.