Tundu Lissu hajawahi kunyamaza na hatonyamazishwa kamwe

Tundu Lissu kanyamazishwa na Mtu mmoja tu Edward Ngoyai Lowassa msimamo wake kuanzia 2007-2015 juu ya Lowassa ulibadilishwa baada ya kukutana na Lowassa na akakubali "kuzungumzika".
 
A
Kama yeye ni mbabe, saa hizi yuko wapi? Hakuna mtu anayeweza kushindana na dola, hasa katika kipindi hiki. Hata kama una pembe ngumu namna gani ni lazima hizo pembe zitang'olewa na hatimaye utashika adabu tu.
Acha maneno ya kipuuzi, hakuna anyeshindana na dola, Mtu akiapa kulinda Katiba na Sheria ni lazima atimize, hataki akachunge ng,ombe wake ambao atawaswaga atakavyo.
 
"if freedom of speech is taken away then dumb & silent we may be led like sheep to slaughter"
-George Washington
 
Ataufyata tu. Hizo ni kelele za mfa maji.

Atatia akili tu na kuweza kujua nini tofauti ya sense na nonsense, siasa na harakati, kuhutubia na uchochezi.


Usalama wa wananchi hauwezi kuwekwa rehani kwa sababu ya mropokaji, mchu wa madaraka, mchumia tumbo na mtafuta kick.
 
Asante sana mkuu kwa kutukumbusha tulikotokea hadi siku ya leo na bado tunaendelea kushuhudia uimara na usmart wa lisu na tunamuombea kila la kheri aendelee kusimamia haki za watanzania
 
Mwaka huu atapigia kelele zake ukonga kwa wafungwa wenzie ila wafungwa watafaidika atakuwa anawaandikia rufaa wafungwa wenzake
Umekua hakimu mfawidhi,na hapohapo umekua jaji wa mahakama ya rufaa,na isitoshe hata katiba huijui nini kusoma katiba.Jazba hazitakiw kwenye masuala ya kitaalam mdau.Ona sasa jana kesi imeenda hadi saa 3 usiku nadhan kama wangekua na mawazo yako wangemlaza tu,
 
Hata waalimu wake wanamfahamu kuwa hanyamazi penye ukweli, badala ya kushindana naye wamtumie
 
Mwaka huu atapigia kelele zake ukonga kwa wafungwa wenzie ila wafungwa watafaidika atakuwa anawaandikia rufaa wafungwa wenzake
Hahahaa kama mmeanza kuandaa ndoo za vinyesi, hatakuja kubeba mtazubeba wenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…