Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
Ni mwaka gani chadema imewahi kuwa na jimbo zaidi ya Moja huko Kigoma? Kwamba alimsurpass Lissu kwa majimbo huyo zitto?Kigoma majimbo ya Upinzani ni zaid ya Manne toka 1995
Tukisema kiongozi anapimwa kea perfomance na sio blabla muwe mnatuelewa.
Toka uchaguzi wa vyama vingi 1995, na Tundu Lissu kujiunga CHADEMA kama mwanachama Muandamizi, takribani miaka 30 sasa.
Singida haijawahi kuwa na mbunge yeyote wa Upinzani ukiacha yeye mwenyewe Tundu Lissu jimboni kwake Singida Mashariki.
Nadhani ndie mbunge pekee ambae Kanda yake haina mbunge hata mmoja wa Upinzani ukiacha Morogoro.
Pamoja na ushawishi wake kwanini wananchi wa maeneo anayotoka hawamuelewi?
Sio Dodoma sio Singida Mambo manne;
1. Hapendi kusaidia wengine
2. Anawadharau wengine
3. Hakubaliki kwao ukiacha jimboni kwake pekee.
4. Hafanyi kazi za chama ipasavyo.
Majimbo nane yeye ana score ya 1/8 alafu analeta hoja za kujenga chama? Unajenga vip chama wakati huna historia hiyo?
Tofaut na Mpinzani wake mkuu, Freeman Mbowe... Ameijenga ipasavyo Kaskazini na zaidi mkoa anaotoka kuna kipindi alikuwa na wabunge 8/9.
Anaongea sana lakini anazidiwa Mbali sana na Heche, Sugu, Mnyika, Bony Yai, Wenje, na viongoz wengine wasio na majigambo lakini kazi zao zinaonekana.
Lissu sio mchapa kazi kama anavyojitapa? Kama hilo dogo anashindwa ataweza vipi kujenga Chadema nchi nzima?
Sio kweli simanjiro limekuja baada ya slaa kuondoka. In fact kuna majimbo kama Hanang chadema tulishindwa kabisa kuyaflip. Babati na Karatu tu ndio majimbo tuliyopata Dr Slaa akiwa peak ila alikua hakubaliki?Dr Slaa alikuwa na Karatu pamoja na Simanjiro na Babati mjini.
Hapana kanda ya kati ni CCM fanatics. Sio issue ya Lissu au chadema ila uelewa wa raia wake ni mdogo sanaMkuu huyo nabii mnaenuhitaji ni aidha hakubaliki kwao au hafanyi kazi za chama mkoani kwake ipasavyo
Hapana kaka,Hapana kanda ya kati ni CCM fanatics. Sio issue ya Lissu au chadema ila uelewa wa raia wake ni mdogo sana
Hujui kuwa wenzao ccm huwa wanashinda kwa wizi pekee?!!Singida haijawahi kuwa na Mbunge wa CHADEMA kwenye Majimbo yote 8 ya Singida kasoro analotoka yeye!
Sio kweli, katavi na Rukwa ni mikoa inakubali sana upinzani shida ni mifumo yetu tu.Mkuu kuna vitu vya hisia na kuna uhalisia..
Aida Kenan ni mbunge wa wapi?
Si wameanza kidogo kidogo
Kumbuka mara zote walikuwa wanachagua CCM kipindi hiki wameanza kichagua opposition na pengine wakaongeza zaidi.
Umewahi msikia Aida anapiga kelele?
Nyalandu vipi? Si strongman wa Singida ila alipohamia chadema eti akapoteza jimbo. Tukipata tume huru trust me tutaona real influence ya oppositionHapana kaka,
Conversion sio hoja ya wapi ni strong na wapi sio strong...
Kwa mtu wa Caliber ya Tundu angetakiwa awe na majimbo angalao matatu.