Tundu Lissu: Hakuna Rais kwenye nchi hii amewahi kutufanyia kitu mbaya kama Rais Samia

Tundu Lissu: Hakuna Rais kwenye nchi hii amewahi kutufanyia kitu mbaya kama Rais Samia

Nipo viwanja vya mashujaa hapa ndugu zetu wa Chadema hali iliyofikia hivi sasa kinahitaji kufanya mbinu mbadala.

Ni Sawa na kusema Chadema imepoteza udhibiti ushawishi Tanzania:-

1. Hawapo consistence wanachokihitaji.

2. Maridhiano yaliwafanya wakaonekana walamba asali. Ikambeba Mama kuliko wao.

3. Kumtukana JPM kwenye mikutano ya kwanza ika-back fire kwao!

4. Kuwazoesha watu mikutano ya club house kuliko hadhara

5. Watu wake ni hao hao! Wamezoelekea. Tangu mwaka 2005 ni Freeman, Mnyika, Slaa, n.k. "The law of diminishing return" inafanya kazi.

6. Kushindwa ku-link agenda zao na umasikini wa Tanzania.

Hii siyo chadema labda ni chama kinachoanza kujitafuta kwenye ushawishi.

8014f1b2-867b-4b53-8cc6-41d3c911d309.jpg

6cdf8c99-f474-4955-9b8e-83fc1597e1e2.jpg
 
Nipo viwanja vya mashujaa hapa ndugu zetu wa Chadema hali iliyofikia hivi sasa kinahitaji kufanya mbinu mbadala.

Ni Sawa na kusema Chadema imepoteza udhibiti ushawishi Tanzania:..
Wakipoteza ushawishi c ndio vzr kwetu sisi walinda legacy na wanaccm?
 
Siasa za bongo zinahitaji kichwa cha habari tu 😁
 
Nipo viwanja vya mashujaa hapa ndugu zetu wa Chadema hali iliyofikia hivi sasa kinahitaji kufanya mbinu mbadala.

Ni Sawa na kusema Chadema imepoteza udhibiti ushawishi Tanzania:...
Unaugulia Maumivu....rudisheni Ardhi ya Watanganyika
 
Nipo viwanja vya mashujaa hapa ndugu zetu wa Chadema hali iliyofikia hivi sasa kinahitaji kufanya mbinu mbadala.

Ni Sawa na kusema Chadema imepoteza udhibiti ushawishi Tanzania:-

1. Hawapo consistence wanachokihitaji.

2. Maridhiano yaliwafanya wakaonekana walamba asali. Ikambeba Mama kuliko wao.

3. Kumtukana JPM kwenye mikutano ya kwanza ika-back fire kwao!

4. Kuwazoesha watu mikutano ya club house kuliko hadhara

5. Watu wake ni hao hao! Wamezoelekea. Tangu mwaka 2005 ni Freeman, Mnyika, Slaa, n.k. "The law of diminishing return" inafanya kazi.

6. Kushindwa ku-link agenda zao na umasikini wa Tanzania.

Hii siyo chadema labda ni chama kinachoanza kujitafuta kwenye ushawishi.

View attachment 2701483
View attachment 2701484
Karibu sana Mjini

Screenshot_2023-07-28-17-39-13-1.jpg
 
Wakuu, tupo live leo kutokea Viwanja vya Uhuru, Bukoba kwenye uzinduzi wa Operation 255 Katiba Mpya okoa Bandari Zetu ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akiongozana na Tundu Lissu na John Mnyika pamoja na viongozi wengine waandamizi wa chama hicho watakuwa wanazungumza.



===

View attachment 2701418
Chopa iliyombeba Freeman Mbowe, Tundu Lissu na John Mnyika ikiwasili uwanjani

John Heche
Dola ya Marekani imefika 2550, maana yake maisha yanazidi kupanda. 90% ya ngano tunaagiza nje. Hii inamaanisha maisha yatakuwa magumu.

Wameuza madini yote, dhahabu, tanzanite, nickel n.k. Wamefikia sehemu wameamua kuuza bandari, sote katika nchi yetu bandari ni uchumi, usalama wa nchi, uhuru wetu. Bila aibu wanazunguka nchi nzima kutetea kuuza bandari zetu.

Lazima tujuandae kuchukua hatua kali dhidi ya Serikali hii.

Ezekiel Wenje
CHADEMA tunaamini katika sera ya majimbo, ni aibu bei ya kahawa Uganda ipo juu Uganda kuliko hapa. Nani ana mashaka kati yenu kuwa CCM imeshindwa kuongoza nchi hii?

Matatizo ya nchi hii hayahitaji maombi, yanahitaji akili. CCM wameishiwa, tukiwagusa tu kidogo wanakimbilia kwenye maombi. Nchi inabadilika kwa fikra, sio kwa maombi.

CCM na serikali wamekiri hawana uwezo wa kuongoza mashirika yetu, leo wamekiri hawana uwezo wa kuongoza bandari. Kama wameshindwa hivyo vichache, watawezaje kusimamia nchi nzima?

Tujipange kwa uchaguzi, tuje tuwashughulikie.
Mbwe na lissu wamezungumza nn
 
Wwe Hauna Akili, unaenda mkutanoni, unatafuta penye watu wachache, unapiga picha unaleta humu.
Nipo viwanja vya mashujaa hapa ndugu zetu wa Chadema hali iliyofikia hivi sasa kinahitaji kufanya mbinu mbadala.

Ni Sawa na kusema Chadema imepoteza udhibiti ushawishi Tanzania:-

1. Hawapo consistence wanachokihitaji.

2. Maridhiano yaliwafanya wakaonekana walamba asali. Ikambeba Mama kuliko wao.

3. Kumtukana JPM kwenye mikutano ya kwanza ika-back fire kwao!

4. Kuwazoesha watu mikutano ya club house kuliko hadhara

5. Watu wake ni hao hao! Wamezoelekea. Tangu mwaka 2005 ni Freeman, Mnyika, Slaa, n.k. "The law of diminishing return" inafanya kazi.

6. Kushindwa ku-link agenda zao na umasikini wa Tanzania.

Hii siyo chadema labda ni chama kinachoanza kujitafuta kwenye ushawishi.

View attachment 2701483
View attachment 2701484

Mwanaume kua liongo ongo namna hii, alafu Nawewe una Mke ??.
 
Back
Top Bottom