Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu akiingia tu kwenye kile kibanda na kutoka basi anageuka lulu. Kuna mtu alisema pia mule ndani kuna nguvu ya ajabu. Nilimfuata pm aniambie akasema hawezi hata kuielezea.Sina cha Nyongeza make sasa ni operation ya kumg'oa Sa100 na kundi lake, hapa Tundulissu umetunasa wengi tu, we kamwamshe tu Magu huko Chato, sisi tuko nyuma yako.
mbona mnamuogopa hivyo?huyu ndie anayewafanya muonekane wote hamnazo
hapana tunamwona ni mjinga flani anaye pambana kumbukiza watanzania ujinga alionaombona mnamuogopa hivyo?
Magu aliwahi kukiri VYAMA vinatuchelewesha.Sina cha Nyongeza make sasa ni operation ya kumg'oa Sa100 na kundi lake, hapa Tundulissu umetunasa wengi tu, we kamwamshe tu Magu huko Chato, sisi tuko nyuma yako.
Hii Majambazi wakiona roho zinawauma
Masikini unaamini kabisa anayosema Lisu.Maisha yanaenda kasi sana kwenumye siasa, yule mama aliyeonekana malaika, kila mmoja akaweka matumaini kwake, akasifiwa amekuja kuliunganisha taifa, leo amegeuka sawa na mbwa anayekula watoto wake wa kuwazaa..
Na yule jamaa aliyelazwa Chato, huku akiitwa majina mabaya ya kila aina, leo anaenda kutafutwa alipolazwa ili aambiwe ubaya tunaofanyiwa, tena bila hata yeye kujitetea kwa chochote dhidi ya zile tuhuma zilizokuwa juu yake, amegeuka tumaini!.
Kweli maisha ni kuishi, a ili uishi na watu vizuri lazima uwatendee wema kila dakika bila kujali jana ulikuwa nao vipi, ukijisahau kidogo tu, hayupo anayejielewa atakayekuwa na hamu nawe.
Kumbe eehSina cha Nyongeza make sasa ni operation ya kumg'oa Sa100 na kundi lake, hapa Tundulissu umetunasa wengi tu, we kamwamshe tu Magu huko Chato, sisi tuko nyuma yako.
noma sana !Hii Majambazi wakiona roho zinawauma
Hatuwezi kushirikiana na msaliti wa nchi sisi pia usitufananishe na nyumbu wa CDM. Tena koma kabisa mbaya zaidi TL ni mtetea ushoga mwambie aende kwa mabwana zake Ubelgiji.Sina cha Nyongeza make sasa ni operation ya kumg'oa Sa100 na kundi lake, hapa Tundulissu umetunasa wengi tu, we kamwamshe tu Magu huko Chato, sisi tuko nyuma yako.
Tutawavunja uti wa mgongoMagu aliwahi kukiri VYAMA vinatuchelewesha.
UOVU wa kuuza bandari zetu, imetuunganisha Watanzania wote.
Tupambane na kundi dogo lisiloitakia mema Nchi yetu,
Amen
ExactlyHatuwezi kushirikiana na msaliti wa nchi sisi pia usitufananishe na nyumbu wa CDM. Tena koma kabisa mbaya zaidi TL ni mtetea ushoga mwambie aende kwa mabwana zake Ubelgiji.