Tundu Lissu, hana mapenzi mema na Watanzania

Jf moderetaz wamlete humu kwenye uzi siku moja ajibu mashtaka,ili tusiendelee kuongea yasiyokuwepo
 
Kwa yaliyomkuta yule Jamaa , sidhani hata kama ni ww ungekua na huo upendo unao usema wewe , žile risasi alizomiminiwa aisee ni mungu tu , saa izi hakutakiwa kuwepo
 
Kwa yaliyomkuta yule Jamaa , sidhani hata kama ni ww ungekua na huo upendo unao usema wewe , žile risasi alizomiminiwa aisee ni mungu tu , saa izi hakutakiwa kuwepo
Mungu siyo wa kudhihakiwa. Meko hata kuingia kwa Shetani itabidi atubu. Maana ukatili wake hata Shetani mwenyewe anasubiri.

Ila Mungu mwache aitwe Mungu. Unamshambulia Lissu kwa risasi 16 kupitia Paul Makonda, unamnyima matibabu, unamnyima mshahara, unamnyang'anya Ubunge. Lakini unaanza KUFA wewe Magufuli. Tulio hai Tujifunze
 
Afie huko. Akikanyaga huku tuning'oa hiyo figo iliyobaki
 
Hiyo haijawahi kujulikana nani aliye husika katika tukio lile. Au wewe unamjua?
Wakati mwingine muwe mnatafakari kabla ya kuandika.
Tangu lini kifo cha raisi kikahatarisha amani ya nchi? Katiba imefafanua sababu za ukomo wa raisi, ikiwemo kifo nayo haina nia njema na watanzania?
Tundu Lisu amepigwa risasi mchana kweupe kama mnyama na yaliyotokea baada ya hapo sote twayajua yamesababishwa na huyo unayemuita mungu unata umpende ili jiwe nn
 
Tuliza papa
 
Tundu Lissu ana maswali yake... Kama una mapenzi mema na una majibu mjibu tu...
 
lissu hawezi kuwa na mapenzi mema hata siku moja na 'watesi wake'!
Labda uwe na akili ndogo kama kuku usahau unyama aliofanyiwa pale Dodoma tena mchana kweupe!
 
Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.
litaka aishi hapa ilimmalize? Mlipanga mauaji mkashindwa kwa uwezo wa Mungu lk leo hii mlaani yeye kuondoka nchini. mashetani makubwa nyie na makatili ya kupindukia!
 
Sijasoma uzi wako kwasababu unaonekana kuwa na chuki na huna logic. Je, kama asingekuwa TL ungejua kinachoendelea? Kwani raisi ni malaika asiugue? Je, kati yako na yeye nani yupo kwenye system na ana connection ya kupa info? Je, ww unge shambuliwa kwa silaha za moto na bado ukakosa haki zako ungekuwepo nchini ilihali bado unapata vitisho vya kutolewa uhai ungebaki? Tusikimbilie tu kuongea kwasababu tuna ndimi na tusiwe wepesi kutumia hisia bali Logic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…