Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Hebu tulia.Hivi aliyeseama;
-Mimi(CCM)haikuleta tetemeko
-hela za rambirambi zijenge miundombinu
-watu wa Kagera wanakazana mto Ngono
Hayo ni kwa uchache.Aliyatamka nani?Hizo siyo dharau na kejeli?
usichanganye hotuba serious za Rais na pale anapoingiza maneno ya utani kwa watani zake kama alivyokuwa anafanya Mwl Nyerere na hata Rais Kikwete kwa watani zake na mara nyingi viongozi wetu wamekuwa na maneno ya utani sana kwa watani zao pale utani unapohitajika.....hivyo tofautisha maneno ya utani na maneno serious kwa viongozi....lakini kuna mengine alikuwa serious kama pesa kujenga miundo mbinu hilo alikuwa serious kabisa
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
Mmevurugwa kweli kweli poleni sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lisu si kwamba hana busaratu vilevile ana kibri na kujiona yeye ni zaidi ya wote. Baatimbaya ukishakua hivyo unakua kipofu wa fikra. Na kwa lisu ningumu kujirekebisha na tabia iyo itamfanya ashindwe kuishi na watu vizuri.
kwa hiyo kwa mashart yako ndio mashart ya kikatiba !! je nani ana busara jiwe na Lisu??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
usichanganye hotuba serious za Rais na pale anapoingiza maneno ya utani kwa watani zake kama alivyokuwa anafanya Mwl Nyerere na hata Rais Kikwete kwa watani zake na mara nyingi viongozi wetu wamekuwa na maneno ya utani sana kwa watani zao pale utani unapohitajika.....hivyo tofautisha maneno ya utani na maneno serious kwa viongozi....lakini kuna mengine alikuwa serious kama pesa kujenga miundo mbinu hilo alikuwa serious kabisa
Utani?Kuwa serious. Unapokuwa unazungumza na watu waliopata madhila makubwa ya kupoteza wapendwa wao,nyumba na mali zao unapata wapi akili ya kuleta maneno ya kuudhi?Jirekebishe kimtazamo.Tena huishii hapo.Unawanyima na fedha zao za michango ya rambirambi zilizochangwa na hadi watu masikini.
 
usichanganye hotuba serious za Rais na pale anapoingiza maneno ya utani kwa watani zake kama alivyokuwa anafanya Mwl Nyerere na hata Rais Kikwete kwa watani zake na mara nyingi viongozi wetu wamekuwa na maneno ya utani sana kwa watani zao pale utani unapohitajika.....hivyo tofautisha maneno ya utani na maneno serious kwa viongozi....lakini kuna mengine alikuwa serious kama pesa kujenga miundo mbinu hilo alikuwa serious kabisa
Mshauri mkuu wa Magufuli ni Bashite na huyo Bashite hana vyeti unategemea atakuwa anamshauri nini zaidi?
 
Hapo umenena mkuu. Watanzania wengi wenye busara wanaoana hivyo. Anadharau kubwa sana. Anajiona yeye anajua kila kitu. Yeye ndiye aliyetunga sheria na haki za binadam na Freedom of speech.

Ukweli hajui kitu. Ni mpayukaji tu na hajui hata kutoa hoja. Anacho zungumza ni utumbo tu kama mtoto mdogo. Mtu anaye jiita mwana sheria maarufu anazungumza kwenye jukwaa la kimataifa kama mtoto wa shule ya msingi. Mwana sheria maarufu anashindwa kujibu maswali rahisi kuhusu mambo mazuri ambaye Rais ameyafanya kwa ajili ya chuki! Kila akiulizwa anatoa mambo yale yale ambayo ameyakariri kichwani ili mradi tu asionekane anamsifu Magufuli!
Mmh! Kwa kijerumani hiyo tunasema "Das ist krank". Mambo ambayo yako kichwani ndiyo hayo hayo tu anataka kuyatoa matokeo yake anashindwa kupanga maneno vizuri kiasi kwamba inaonekana dhahiri kuwa anachuki na Rais, anachuki na mfumo wa serikali yetu, Bunge letu tukufu, mahakama na vyombo vya Dola na kadhalika.

Kila nikimsikiliza Tundu Lussu najiuliza mimi mwenyewe, inawezekanaje mtu kudai haki za binadam wakati yeye mwenyewe hivyo vitu anavyo vidai hawezi kuvi-impliment? Kwanza hajui vigezo vya ukiukwaji wa haki za binadam vikoje? Kwanza Lissu hana affinity na wanadam wenzake, hawaheshimu na wala hawathamini? Kwa vigezo hivi ni haki kweli anavyo payuka duniani kuwaonyesha wazungu kuwa yeye ni mtetezi mkubwa wa haki za binadam Tanzania? Huu ni uongo!

Wakati yuko katika mkutano wa mambo ya sheria za Afrika jijini Washington D. C, Lissu alidai katika kauli yake moja kuwa Rais Magufuli hajui kuzungumza kiingereza ila yeye ndiyo anakijua.

Hii sentesi ilinichekesha sana, yaani mtu ambaye hata kupanga maneno yenyewe kwa kiingereza vizuri yanamshinda kiasi kwamna watu wakamwelewa ni nini hasa anaongelea, ana payuka hadharani kuwa Rais Magufuli kiingereza hajui. Kwa mtu ambaye amesoma Amerika na kuishi kwa mda Amerika mimi naona kiingereza chake ni kama cha mtu aliyemaliza chuo kikuu Bongo. Kiingereza chake ni cha vitabuni na sio cha tumboni.

Asijivunie kiingereza chake ambacho ukilinganisha na watu ambao wanaongea kiingereza yeye chake kinasikika kama cha mtu ambaye hata Amerika hajaishi. Nina dada yangu mwalim, nikisikilza kiingereza chake utafikiri cha mtu ambaye ametoka UK leo, lakini cha ajabu ni kwamba hata Kenya hajafika. Babu yangu kabla hajafa alikuwa anapiga kimombo na kijerumani vizuri sana, lakini Uingereza na Ujerumani hajawahi fika. Kwa mtu aliyesoma na aliyepata Masters yake George Washington the University of Law, kiingereza chake ni kama cha mtu aliyemaliza High school Bongo.

Tundu Lissu ni falah sana. Anapswa kupuuzwa. Ni mtu ambaye hana akili timamu na nafikiri bado ni mgonjwa. Akili zake haziko sawa sawa. Mbunge mzima anatoa pumba kama za watu ambao wako Manzese!

Yaani watu wanagharimia millions of T-shilings kumpeleka Tundu Lissu kwenye chuo cha Washington D.C ili kuwaeleza intellectuals kuwa Rais Magufuli hawezi kusema sentensi nzima kwa kiingereza? Ndiyo kauli za mtu mwenye busara hizo? Hivi mtu kama yeye anatakiwa afanye ujinga wa aina gani ndiyo watu waweze kutambua kuwa Lissu hakili hana?

Ndiyo inawezekana kuwa Rais Magufuli anashindwa kutamka baadhi ya maneno ya kiingereza lakini akisoma anaelewa na ndiyo maana amepata u-DOCTORATE.
Mbona watanzania wengi hasa wale ambao wamechukua masomo au combinations za masomo ya science kama PCM, PGM, PCB na mengineyo zamani tulimaliza high school na kuanza vyuo, lakini bado kiingereza kilikuwa hakipandi vizuri katika kuzungumza? Lakini katika kusoma watu walikuwa wanapata Max nzuri? Ina maana na sisi tulikuwa hatujui kiingereza?

Nawaomba wana CHADEMA msaidieni kamanda wenu. Hayuko vizuri. Kauli ambazo ana zitoa zunaonyesha kuwa Lissu hana ustaarabu wa kidiplomasia. Hazungumzi kama statesman mwenye reputation ya kimataifa. Lugha yake ni ya kijiweni au katika Bunge la migombani.
Ni uozo mtupu. Kama mnamtaka yeye aendelee kuwasemea duniani, kwa hali hii mtaumbuka wote. Inaonekana dhahiri kuwa wana CHADEMA wote ni vichaa na hivyo kufanya mdharaulike na hivyo kutokuwa na Credibility kubwa kwa Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona Lissu kamwaga mafuta kwenye shimo lenye manyoka waliozaliana miaka mingia sasa yanaangaika kutoka shimoni ya nashindwa
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
mbona mnasumbuka sana na huyu mpambanaji?tulieni,inaonekana anawatesa sana,kumbuka mti wenye matunda ndo unaopigwa sana mawe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lisu si kwamba hana busaratu vilevile ana kibri na kujiona yeye ni zaidi ya wote. Baatimbaya ukishakua hivyo unakua kipofu wa fikra. Na kwa lisu ningumu kujirekebisha na tabia iyo itamfanya ashindwe kuishi na watu vizuri.


Sent using Jamii Forums mobile app
kabis amkuu amejaa kibri kabisa mwanaume huyo ....nakumbuka lile Bunge la katiba Lissu alivyokuwa anavuja jasho kwa kubishana kwa nguvu sana mule ukumbini......na hakubali kushindwa kabisa kiasi cha kufanya mjadala kuwa wa upande mmoja tu hata kusikiliza wenzake kabisa......lazima makuzi yake na malezi yake kuna shida pahali as far as Developmental psychology is concern
 
CCM hata kibajaji wale wabunge wajinga wajinga vilaza kama msukuma, simbachawene, ngereja na wenzao ndiyo huwapenda kwa kifupi chaguo za CCM huwa ni watu ambao hupenda kujitoa fahamu
hatusumbi naye ila anahitaji msaada wa kisaikolojia ili awe sawa huyo boss wako mpambanaji
 
mbona mnasumbuka sana na huyu mpambanaji?tulieni,inaonekana anawatesa sana,kumbuka mti wenye matunda ndo unaopigwa sana mawe

Sent using Jamii Forums mobile app
Badala ya CCM kukaa vikao wakatae mbinu za Bashite kuwapiga Risasi Wapinzani wamekalia kubariki mbinu za kishamba kishetani za Bashite huko CCM hakuna anayezinduka sasa wote ni watumwa wa Bashite.
 
CCM hata kibajaji wale wabunge wajinga wajinga vilaza kama msukuma, simbachawene, ngereja na wenzao ndiyo huwapenda kwa kifupi chaguo za CCM huwa ni watu ambao hupenda kujitoa fahamu
Mkuu hao si kwamba hujitoa ufahamu.No.Ni wapumbavu wa kuzaliwa kabisakabisa.
 
Unaposema maneno anayotumia Lissu kwenye public hayafai, Je hayo yanayotumiwa na mwenyekiti wenu kwenye public yanafaa! Shughulikia kwanza boriti iliyo kwenye jicho lako kabla ya kutaka kushughulika na kibanzi jichoni mwa mwenzako.
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
kama psychiatric case amekuwa commander-in-chief, kwa nini sober Lissu asiweze kwa mfano?
 
hatusumbi naye ila anahitaji msaada wa kisaikolojia ili awe sawa huyo boss wako mpambanaji
Nenda kawaambie hayo maneno Watesi huko CCM wanaongozwa na Bashite a.k.a Maliyamungu wa TZ kwani bila wao kumpiga Risasi leo hii Tundu Lisu asingekuwa ulaya wala Marekani mda huu angekuwa yupo Bungeni Dodoma, chanzo ni wao na cha ajabu wao ndiyo chanzo cha kumchonganisha Tundu Lisu na wananchi kwa visingizio vya kijinga kuwa Tundu Lisu analichafua Taifa huko nje wakati wao ndiyo wanalichafua Taifa kwa kumpiga Risasi, yaani CCM inawadharau watanzania kwa kiwango cha kutisha.
 
kabis amkuu amejaa kibri kabisa mwanaume huyo ....nakumbuka lile Bunge la katiba Lissu alivyokuwa anavuja jasho kwa kubishana kwa nguvu sana mule ukumbini......na hakubali kushindwa kabisa kiasi cha kufanya mjadala kuwa wa upande mmoja tu hata kusikiliza wenzake kabisa......lazima makuzi yake na malezi yake kuna shida pahali as far as Developmental psychology is concern
Ninyi mna matatizo makubwa sana kwenye mbongo zenu.Yaani uongee uongo na upumbavu halafu ubishiwe kwa hoja uchukie?Lissu alikuwa anabisha kwa hoja.Kundi la wahuni wa CCM lilikuwa linakuja na hoja za upotoshaji.Ulitegemea Lissu aseme hewala?
 
Ila jiwe ana sifa za kuwa raisi?

Sent using Jamii Forums mobile app
2020 sifa za kuwa Rais huko CCM zitakuwa hizi 1- lakini uwe na mbinu za kurejesha mfumo wa chama kimoja kwa kuwafunga jela kuwapiga Risasi Wapinzani wote 2- uwe mtalaam wa uchakachuaji kila kona na vilevile uwe na mbinu za kufanya ufisadi kisayansi pasipo kujulikana
 
Back
Top Bottom