Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Mwingine alishindwa kuelewa tu maswali ya mwanahabari licha ya kujibu. Rangi ya ngozi ya mwulizaji ilisababisha mental block!
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
Nyie subjects mnaojibu hoja kwa K47 ndio wenye sifa za kugombea Uraisi?
 
Sijaona mahali popote katika bandiko lako sababu inayokufanya uone kuwa Tundu Lissu hafai kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Rekodi ya utetezi wake katika hiyo migodi na huko bungeni inaonyesha ni mbunge anayetetea haki za wananchi na kupinga kupitishwa kwa Katiba/sheria mbovu. Sijui kwa nini wewe haya unayaona kuwa ni mambo mabaya.

Ungesema kwamba Mh Tundu Lissu hafai kuwa Rais kwa sababu za kukandamiza na kunyima haki raia, na hata kutaka kuondoa roho za raia kwa sababu tu za kupishana hoja hapo ningekuelewa vizuri.

Mh Tundu Lissu anafaa sana kwa sasa kuwa Rais wa Tanzania kutokana na ukiukwaji mkubwa wa haki, kusiginwa kwa katiba na kutofuata taratibu za kisheria zilizopo, mambo ambayo yameshamiri sana wakati huu kiasi cha kuhatarisha umoja wa taifa letu.

Tunataka mtu anayeelewa maana ya kuwa na katiba na kuiheshimu katiba yetu.
kupitia kupigania haki za wananchi kwenye maeneo ya migodi ndipo nilipoanza kumfuatilia Tundu Lissu kuhusu jinsi alivyokuwa anajibizana na waandishi na wageni pale anapokuwa ktk vipindi kwenye TV na ndipo alipofika hata bungeni tabia yake ya majibizano na ubishi na kuonyesha dharau kwa wengine....kuhusu kupigania haki za wananchi kwenye migodi alikuwa yuko sawa kabisa wala hapo sijasema kuwa hakuwa sawa.naongea tabia zake na kiburi na kujiona kuwa yuko juu ya wengine na kuonyesha dharau ya wazi wazi kwa wengine.kisa tu anajua sheria tuna wanasheria wangapi tz na wana hekima na busara.Muone Wakili wa kujitegemea mtoto kutoka Ifakara Wakili Kibatara mbona ana busara sana hekima na Baba yake alikuwa Daktari Bingwa wa Upasuaji kwa sasa ni marehemu lakini mtoto sheria anazijua sana tu na kesi nyingi huwa anashinda huko mahakani lakini ana heshima sana wenzake hata apale anapoona kuwa kuna kasoro kwa wenzake.
 
pamoja na hayo lakini kitu kinachonikera kwa huyo boss wako mwanasheria ni dharau na kebehi....ameulizwa swali hilo na BBC na pia na VOA kuhusu mazuri ya serikali ya wamu ya tano yeye anajibu kwa kebehi na dharau halafu ndo mnataka awe Rais mtu ambaye hathamini hata michango chanya ya saerikali iliyopo madarakani.sisi hatujakataa kupingwa wala kukosolewa lakini ndo hakuna cha maana hata kimoja kizuri kilichofanyika....watangazaji wa BBC na VOA walikuwa wanashangaa tu kwa majibu ya swali hilo.

Kipi kizuri, kipi chanya kilichofanikiwa?
Elimu imekufa si umeeona matokeo?
Biashara zimekufa nenda mijini uone idadi ya makufuli
Diplomasia imekufa tunasemwa vibaya nje
Kilimo kimekufa check korosho
Export imekufa check dola dhidi ya shilling
Usalama wa RAIA mashakani wasiojulikana wana nguvu kuliko dola viroba,utekaji,mauaji
Makusanyo yameshuka pitia ripoti
Awamu iongozayo kwa upigaji, wizi,ufisadi hadi fisadi anapewa ubalozi, ushahidi wa rushwa pewa u rc
Umoja wa kitaifa umekufa ukanda udini check teuzi.
Deni la taifa juu.
 
A
Wa kumlaumu ni kikwete kulazimisha membe awe Rais huku akimhujumu Lowasa ndipo kwa hasira timu lowasa wakaamua kumpigia magufuli kura nyingi na jina lake kupitishwa kuwa mgombea wa CCM, kwenye kampeni kote alikuwa mnyenyekevu lakini ghafra alipoingia ikulu akamteua Bashite kuwa mshauri wake mkuu hapo ndipo akaanza udikteta kutokana na Bashite kuingiza fursa zake chuki zake binafsi na kusahau katiba na sheria za Nchi.
Anguko lake litatokana na bashite, muda utaongea
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
TL ni mjuaji na mwenye kiburi kisicho na faida, sidhani kama alipata malezi mazuri, hafai kabisa, labda kubeba mikoba yake ya vitabu vya sheria na kusunamia kesi mahakamanu, lakini ki uongozi ni Zero.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie subjects mnaojibu hoja kwa K47 ndio wenye sifa za kugombea Uraisi?
hakuna kitu kama hicho....shambulio la Lissu ni kama shambulio la mtanzania mwingine yoyote yule na tumeona hayo watu wanavamia nyumba ya mtu wanamwambia tumefuata roho yako sali sala yako ya mwisho na anashutiwa na kufa na uchunguzi huwa unafanyika na Jeshi la Polisi.kwani Lissu anatofauti gani na watz wengine.Tatizo lenu ni siku ileile kusema serikali ndo imefanya hayo wakatu huna ushahidi wowote.Ukiambiwa lete ushahidi hakuna hata mmoja aliyepeleka ushahidi huo kule Polisi Dodoma mnabaki tu kalalamika kwenye mitandao.
 
Hafai kuwa Rais kwa mwaka upi, na nani atafaa kuwa rais kwa mwaka upi?

Maana 2020 nadhani magufuli anaendleza harakati hadi 2025 na tukiangalia vema 2025 makonda anaweza kuchukua nchi!

wakati ukuta.
 
[emoji445][emoji444]Haya twenda tetema,
ohh mama tetema,
tipwatipwa tetema,
Ohh mama tetema [emoji443][emoji443][emoji445][emoji444]
tapatalk_1549643510442.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo upinzani wa Tz unatuzingua kwa sababu huwa hawamuandai mgombea wa raisi badala yake huwa wanamuandaa siku hiyo hiyo ya uchaguzi hapo ndo napowaona wanapwaya.

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE
Mliyemsukumiza aliandaliwa Na nani, kama hakutokana na msuguano kati ya machinga na mkwere.
 
mtazamo wangu....hafai kuwa Rais hana busara wala hekima anadharau sana.
Wewe hata maana ya busara hujui. Umepoteza muda wako kukaa shuleni lakini huna mchango wowote wa maana katika Taifa.

TL ana makundi ya watu wengi wanaoweza kumtaja katika mambo aliyowasaidia. Kule bungeni Mama Makinda alitamka wazi kuwa TL aliwasaidia katika mengi kuliko Mwanasheria wa serikali.

Hata sasa kwa jitihada zake hizi hatujui ni wangapi amewasaidia ambao tayari walikuwa kwenye orodha ya mfalme ya kupotezwa, kutekwa na kuuawa.

Wewe una msaada gani katika nchi hii zaidi ya kukariri na kukaririrsha?

Hivi unataka tuheshimu michango ya akina Lusinde, Japipo na Musukuma? Watu ambao tunajua hawajui chochote na wala hawajawahi kutoa mchango wowote wa maana mle bungeni? Kuna wabunge wengi, hasa wa CCM, mle bungeni hawajawahi kutoa mchango wowote wa maana hata siku moja. Hao unataka waheshimiwe kwa michango gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
Nani mwenye sifa hiyo? Nani anayetoa maneno yenye hekima kwenye public ili agombee 2020?
 
kupitia kupigania haki za wananchi kwenye maeneo ya migodi ndipo nilipoanza kumfuatilia Tundu Lissu kuhusu jinsi alivyokuwa anajibizana na waandishi na wageni pale anapokuwa ktk vipindi kwenye TV na ndipo alipofika hata bungeni tabia yake ya majibizano na ubishi na kuonyesha dharau kwa wengine....kuhusu kupigania haki za wananchi kwenye migodi alikuwa yuko sawa kabisa wala hapo sijasema kuwa hakuwa sawa.naongea tabia zake na kiburi na kujiona kuwa yuko juu ya wengine na kuonyesha dharau ya wazi wazi kwa wengine.kisa tu anajua sheria tuna wanasheria wangapi tz na wana hekima na busara.Muone Wakili wa kujitegemea mtoto kutoka Ifakara Wakili Kibatara mbona ana busara sana hekima na Baba yake alikuwa Daktari Bingwa wa Upasuaji kwa sasa ni marehemu lakini mtoto sheria anazijua sana tu na kesi nyingi huwa anashinda huko mahakani lakini ana heshima sana wenzake hata apale anapoona kuwa kuna kasoro kwa wenzake.
Lissu nikibo ya mafisadi ni kikwazo kwa mafisadi wanashindwa kupanua wigo wa ufisadi kwasabu yake wakaona wajibu hoja zake kwa K47
 
Ni kweli 2020 watapata taabu sana ingawa ni mabingwa wa uchakachuaji

Hawategemei kura,pia uenda usiwepo uchaguzi mwakani baada ya hoja ya Miaka 7 kupita. Moja ya sifa za bunge dhaifu duniani ni kupitisha Sheria na sio kutunga Sheria.
 
Ni kweli hiyo theory ipo kwenye psychology lakini kwa alikofikia Lissu hapana...kwenye uongozi busara ni muhimu sana na Lissu hiyo busara ameikosa kabisa kila kitu yeye anajiona anakijua na yuko juu wa wengine kwa kila jambo.nina karibu copy ya mijadala yake ya Bungeni huwa namsikiliza sana tu ktk kuchangia hoja zake kwa muda mrefu....ni kweli mambo mengi anayajua lakini ana vuka mipaka sana na hilo ni tatizo kubwa ukiwa kiongozi
Ukijua mambo mengi ni lazima uueleze umma pale wanapotaka wengine wanapotaka kuupindisha ukweli.
 
Binafsi Zitto ni bora zaidi kuliko Lissu ktk uraisi.

Lisu ni mwanaharakati ila Zitto ni mwana mageuzi, he is very visionary,accountable and dedicated.

Natamani coalition ya upinzani imsimamishe Zitto
 
Lissu ana akili kuwazidi wabunge wote wa CCM combined.

Nina uhakika hata Bashiru hakuwa anajua tofauti ya Taifa na Serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ongezi la serikali vs taifa ni la kijinga sana na kwa kweli wajinga wamelishikia bango.
Taifa linaongozwa na serikali iliyopewa mamlaka na wananchi.
Trust me, Zitto can make a way better president than lissu, thought it will never happen to any of them!
 
Back
Top Bottom