Tatizo umekremu eti Demokrasia!! Unahitaji kuelewa hakuna Demokrasia Duniani, ukishajua hilo angalua kiongozi anayeweza kujitoa kwa ajili ya nchi na watu wake.Hao wamarekani wanaoimba Demokrasia hata wao wanajikongoja, Embu fikiria Hillari Clinton alipata kula nyingi kuliko Trump, lakini Trump ndio Rais, Na US vyombo vya usalama vinakiri kuwa Russia waliingilia uchaguzi wao, wanashindwa kusema kweli kuwa mfumo uliingiliwa kuogopa aibu. Mark my word TL will never be a President, Never.
Sent using
Jamii Forums mobile app