Zanzibar 2020 Tundu Lissu: Hatuna maslahi na Urais Zanzibar, tutatangaza rasmi kumuunga mkono Maalim Seif

Chey na Mrema walianza mapema mno na hawakuweka wagombea urais
ACT wanamgombea wao aliefuata mchakato wote,upinzani wa Tanzania utaendelea kushindwa miaka yote kwa ubabaishaji kama huu
Kwan chadema walikua wapi wakati ACT wanaanza mchakato?hii ni dalili ya kunusa kushindwa,wanazinyatia kura za muungano za ACT,halafu wakishindwa watatupa lawama kwa Membe kwamba ni jasusi alikuja kuwavuruga,kumbe wanajivuruga wenyewe
 
Kimenuka !
 
Misimamo inatangazwa mara ngapi? Mara ya kwanza wametangaza mgombea wao wa Uraisi wa Chadema Zanzibar sasa wanakuja na mwingine tena kuwa wanamtaka Seif sharrf Hammad huu utoto
Kwani wamesema wanakuja na mwingine. Lissu kasema yeye anamuunga mkono Maalimu .... Maalimu kasema anamuunga mkono Lissu. Mrema anamuunga mkono Magufuli na Cheyo anamuunga mkono Magufuli .... Vyama vitasema muda ukifika. What's wrong with that? Kinachofanyika hapa ni COLLABORATION na siyo COALITION ...!!
 
hili bango hawakawii kusema lilikuwa la mwaka 2015 kwenye kampeni.
Kuna “2020” kuuuubwa pale. However, hata wakisema ni la 2015 bado ukweli upo palepale. Ni haki ya kikatiba kumuunga mkono umtakaye.

If it is OK kwa TLP na Mrema, then it is OK kwa CHADEMA na Lissu. Hii inaitwa “logic”. Dr. Mahera should understand this clearly
 
Umeshawaona kwenye majukwaaa?
Hao walisema kabala na ndo maana huwaoni wakisimama kupiga kampeni.
Sasa kama mnawaunga mkono ni sawa lakini sio kupanda kwenye jukwaa.
 
Lisu na Amsterdam wataligwa mchana kweupe oktoba 28.

Na ajiandae kurudi kwa beberu wake
 
Huna facts zozote.
 
aisee hakuna wa kumstopisha Lissu.
Katika watu wenye visasi visivyoisha ukiwakosea ni watu wa kigoma kwa Zito Kabwe na wapemba kwa Maalim Seif

Lisu unakumbuka ulichomfanyia Zito akiwa Chadema? Lisu unakumbuka mlichomfanyia Duni Haji, Mpemba alipokuwa Chadema? Kwa hiyo walishasamehe?

Anyway tunawatakieni muungano mwema wa mashaka wa ACT wazalendo na Chadema

Ila binafsi I smell a rotten rat somewhere
 
hahaha mataga umepanic mnooo.
nakusihi kunywa maji lita 2 na panodol 4 alafu tafuta sehemu yenye kivuli upigwe na upepo kidogo utakaa sawa.
 
U

Umeshawaona kwenye majukwaaa?
Hao walisema kabala na ndo maana huwaoni wakisimama kupiga kampeni.
Sasa kama mnawaunga mkono ni sawa lakini sio kupanda kwenye jukwaa.
Kabla ya lini, huyu hapa Mrema msikilize hii ni jana.

 
Hana Maslahi na Zanzibar kisha anataka urais.

Lisu hajui timing na hajui ni kea vipi aviteke hata vyombo vya usalama ili vikuunge mkono.
Wewe unayejua timing mbona hukuchukua fomu ya CCM vyombo ya usalama vikuunge mkono.
 
fear of the unknown!! ugonjwa huu ni mbaya na utawatesa sana Lumumba.
 
Hao wengine Mrema na Cheyo matamko yao yaidhinishwa na kamati kuu zao na mikutano mikuu yao

CHADEMA hilo halipo ni Lissu kujiropokea mwenyewe kwenda mbele
Hivi we umesoma utaratibu wa tume kuhusu vyama kuungana au unabwatuka tu?

Walichokifanya kina Cheyo na Mrema siyo kosa kama ilivyo kwa Chadema na ACT. Jifunze kutofautisha kati ya coalition (muungano) na cooperation (ushirikiano).
 
Wewe unayejua timing mbona hukuchukua fomu ya CCM vyombo ya usalama vikuunge mkono.
Mimi nmemuweka Husein Mwinyi!

Eti sina maslahi na Zanzibar! Kisha anataka vyombo vya usalama vimuunge mkono awe rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…