Zanzibar 2020 Tundu Lissu: Hatuna maslahi na Urais Zanzibar, tutatangaza rasmi kumuunga mkono Maalim Seif

Zanzibar 2020 Tundu Lissu: Hatuna maslahi na Urais Zanzibar, tutatangaza rasmi kumuunga mkono Maalim Seif

Waliokaribu na TAL, tafadhali mshaurini kuwa kila anapoulizwa swali kuhusu ubeberu, kabla hajalijibu amuulize muulizaji iwapo hata anajua maana ya 'ubeberu'. Ubeberu ni nini? "ubeberu" ni msemo/dhana inayotumiwa na serikali dhalimu za Afrika (ikiwemo hii ya CCM) kuwapumbaza wananchi waliowanyongeyesha (zinaposhindwa kutimiza wajibu wao) kuwa unyonge wao umesababishwa na 'watu fulani kutoka nje' (mabeberu) na sio wao. Miaka 60 ya uhuru bado unawaaminisha watu kuwa matatizo yao yanasababishwa na 'mabeberu'!!! TAL awajibu kwa kifupi hao wanaomuuliza kuwa 'ubeberu' ni msamiati ama propoganda ya kuendelea kupumbaza wananchi.
Huyu ndio anajipambanua Rais, asiyetambua muungano lakini anataka kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.Msaidieni mwenzenu huyu anaangamia kwa kukosa maarifa
 
Ccm hatutaki maneno mengi.
28.10.2020 tunaenda chinja huyo kibaraka wenu na kule Zanzibar tunamstaafisha yule mamvi
#MagufuliNiMafanikio
#Magufuli5Tena
 
1601475604235.png
 
“Sisi CHADEMA tumetangaza rasmi kumuunga Mkono Maalim Seif kama ilivyo kwa Cheyo na Mrema kumuunga mkono Magufuli na hili tutatangaza rasmi muda si mrefu"- Tundu Lissu.

"Kama ilivyosahihi kwa Mrema na cheyo kumuunga mkono Magufuli, ni sahihi kwa Maalim Seif na ACT kuniunga mkono na ni sahihi kwa Tundu Lissu na CHADEMA kumuunga mkono Maalim Seif na ACT." Mhe. @TunduALissu.

“Nikichaguliwa kuwa Rais nitaunda Serikali ya Chadema kwasababu ya Katiba inavyosema. Kama kutakuwa na uhitaji itabidi tubadilishe Katiba kwanza, na moja ya maazimio ya Chadema ikishinda Uchaguzi Mkuu ndani ya siku 100 tutaanzisha mchakato wa Katiba mpya.”Tundu Lissu

“Bob Amsterdam ni Mawakili wangu, wanashughulika na maswala yangu yote yakisheria ya ndani na nje ya Nchi. Kama Tume imeandikiwa barua basi Mawakili wangu wamekuwa wakitimiza wajibu wao, Kama nilivyosema uchaguzi mkuu hatutaki mchezo" Tundu Lissu

===
LISSU: HATUNA MASLAHI NA URAIS ZANZIBAR, NDIO MAANA TUNAMUUNGA MKONO MAALIM SEIF
Mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema CHADEMA kumuunga mkono Mgombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo sio ushirikiano

Amesema wao hawatatangaza ‘coalition’ ya vyama vyao bali wataungana mkono kwenye maeneo ambayo hawana maslahi nayo. Amesema hawana maslahi na Zanzibar ndio maana wamemuunga mkono Maalim Seif Shariff Hamad

Amesema wamefanya hivyo kama ambavyo Lyatonga Mrema wa TLP na John Cheyo wa UDP walivyomuunga mkono mgombea wa Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Magufuli

Amesema hiyo haikatazwi na sheria. Amesema ni muungano wa vyama ndio unatakiwa kisheria kupeleka barua kwa msajili na wao hawana muungano

===
LISSU: KILA MTU ANA HAKI YA KULINDWA FARAGHA YAKE
Mgombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ame sema katiba ya Tanzania inatamka wazi kuwa kila mtu ana haki ya kulindwa faragha yake

Amesema hayo alipokuwa akijibu swali lilimuhusisha yeye kuunga mkono mapenzi ya jinsia moja, alipokuwa akiongea na waandishi wa habari Arusha

Amesema maisha ya chumbani na mkeo au yoyote yule ni marufuku kwa serikali kuchungulia. Amesisitiza kuwa kuanza kuchunguzana kunaweza kupelekea hata baadae kusema ‘mbona wewe hufanyi sawasawa’

Kwa hiyo amesema yeye anaunga mkono sheria hiyo, amesema kama serikali inapinga mapenzi ya jinsia moja basi wafute sheria hiyo

===
LISSU: DUNIA HAIHITAJI TANZANIA, TANZANIA INAIHITAJI DUNIA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema dunia haituhitaji ila sisi ndio tunaihitaji dunia na tunapaswa kuweka mahusiano mazuri na dunia yaani mataifa mengine

Amesema hayo akijibu swali la muandishi aliyemuuliza kuhusu tuhuma za kutumika kwake kwa mabeberu. Swali ambalo alijibu kuwa kwa hali ya sasa hata miradi ambayo inajengwa imepata pesa kutoka kwa mataifa ya nje

Amesema bila mataifa ya nje hatuwezi kwenda sehemu. Sasa kama kutumiwa na mabeberu basi hao wanaokopa ili kufanya miradi kama barabara na SGR ndio mabeberu. Ndio maana yeye atafanya serikali yake kuwa marafiki wa mataifa yote

Amesema bidhaa nyingi zinapatikana dunia nzima sio Tanzania pekee, kama ni dhahabu ziko nchi nyingi zinazalisha, chai na bidhaa nyingine halkadhalika. Kwa hiyo ni muhimu kuweka mahusiano sawa ili kupata faida za kiuchumi
[
Hajazungumzia kuunda tume huru ya Uchaguzi, kwanini?
 
Na Lissu pia SIYO MGOMBEA bali ni WAKALA WA MABEBERU wakiwakilishwa na AMSTERDAM ambaye anaendelea kumuongoza na kum - MONITOR Lissu kupitia hiyo gadget waliyomfungia mwilini mwake wakati wa matibabu fake huko Ubelgiji.
Mungu anakuona nothing less nothing more ✊📍🇹🇿
 
Hao wengine Mrema na Cheyo matamko yao yaidhinishwa na kamati kuu zao na mikutano mikuu yao

CHADEMA hilo halipo ni Lissu kujiropokea mwenyewe kwenda mbele
Kama kajiropokea wewe inakuhusu nini???
Wewe tulia tu na usikilize jinsi beberu wanavyochacharika
 
Hao wengine Mrema na Cheyo matamko yao yaidhinishwa na kamati kuu zao na mikutano mikuu yao

CHADEMA hilo halipo ni Lissu kujiropokea mwenyewe kwenda mbele
Kuna vyama vinataka watu wengine watimize democracy wakati vyama vyao havina msamiati huo
 
Ukitaka kushindwa uraisi wa Tanzania uwe wa muungano au wa Zanzibar ni kazi ndogo mno

1.Tukana Nyerere ;Wote waliowahi tukana Nyerere uraisi hawakupata wawe ndani ya CCM au nje ya CCM
2.Pinga muungano huu uliopo na pania kuuvunja na ujiunge na wapinga muungano na wavunja muungano wote wapinga huu muungano uliopo hawajawahi shinda uraisi wawe ndani ya CCM au nje ya CCM

Mifano mizuri ni Aboud JUMBE alifukuzwa hadi uraisi mwingine Ni Seif SHARIFF Hamad na ,Edward Ngoyayi Lowasa

Lisu anaunga foleni ya washindwa kushika uraisi sababu alimtukana marehemu Nyerere bungeni Live !!! na pili hataki muungano huu uliopo na kaenda kujiunga na wapinga muungano akina Seif Sharrif Hamad!!! hiyo ni tiketi ya moja kwa moja ya kushindwa uraisi wote yeye Lisu na Seif Sharrif Hamad wake.
Nakukumbusha kua mwaka huu moto haujakimbizwa mikoani.
 
Mtaungana mpaka Mtaungama mwaka huu. CCM mbele kwa mbele.


CCM ndembe ndembe kifo cha mende. CCM MBELE KWA MBELE KABURINI , na mwaka huu hatuiziki tunaipiga moto kama BANIANI usibakie hata mfupa.
 
Na Lissu pia SIYO MGOMBEA bali ni WAKALA WA MABEBERU wakiwakilishwa na AMSTERDAM ambaye anaendelea kumuongoza na kum - MONITOR Lissu kupitia hiyo gadget waliyomfungia mwilini mwake wakati wa matibabu fake huko Ubelgiji.


Naona kama vile umepata dawa ya Askofu wako Gwajima
 
Hayo magadget waliyomuwekea ni hatari kwa usalama wa taifa akiwa popote iwe ikulu au kituo cha jeshi au ofisi ya usalama wa taifa yanapiga picha na kubeba taarifa za ofisi alipo na kuzipeleka nje kupitia computer ya Amsterdam jasusi LA kimataifa

MTU ana mi gadget ya kijasusi ya mabeberu mwili mzima hafai u amiri jeshi mkuu


Sawa daktari labda mwenzetu ulihitimu kwa mfufuaji na mla mivutu Askofu wako Gwajima
 
Misimamo inatangazwa mara ngapi? Mara ya kwanza wametangaza mgombea wao wa Uraisi wa Chadema Zanzibar sasa wanakuja na mwingine tena kuwa wanamtaka Seif sharrf Hammad huu utoto

Kwako Mtaalamu utu uzima tutangazie hilo jiwe linalogeuka kokoto linalopiga magoti. Hata aweke kibuno juu kama siafu lakini ngoma ngumu, imekula kwake mwaka huu
 
Lisu na Amsterdam wataligwa mchana kweupe oktoba 28.

Na ajiandae kurudi kwa beberu wake


CCM mara hii haizikwi , tunaichoma kama Baniani, lisirudi tena dudu hilo . Limetutesa muda mrefu inatosha
 
NEC mbumbumbu wa sheria, ZEC ndiyo inayosimamia uchaguzi Zanzibar siyo NEC. Kazi ya Msajili wa vyama ni kusajili na kuvilea sio kusimamoa uchaguzi Zanzibar wala Bara. Hivi hawa ndugu elimu zao walizipatia vyuo gani?


Elimu hizo walizipatia kwa Askofu Gwajima huku wakiaminishwa kuwa anaweza kufufua mtu
 
Back
Top Bottom