Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hawezi kuboresha afya, elimu na huduma za jamii sababu familia yake inaishi Ubelgiji

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hawezi kuboresha afya, elimu na huduma za jamii sababu familia yake inaishi Ubelgiji

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Ndugu zangu,

''Ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu, afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya, elimu na malazi kutoka Ubelgiji.

Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.

Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
 
HIYO NAFASI YA KUSHIRIKI KUBORESHA ATAIPATA WAPI?????? HAJAGOMBEA UBUNGE, NI MSHIRIKI KATIKA MTANANGE WA KUMPATA RAIS, JPM ANATOSHA. BAADA YA UCHAGUZI ATAPANDA NDEGE KURUDI UBELIGIJI KWA AIBU. HANA HATA HADHI YA KUFUNGUA BIASHARA NA KAMA AKITAKA KUNGUA HATAKIDHI VIGEZO, SO YUPO YUPO TUUUUU
 
Kama ndivyo hivyo basi familia Inaishi kwa sababu maalum, za kiulinzi na usalama nafikiri ungelikuwa ni wewe hata usingetia mguu Tanzania, ni lazima kwanza tumsifu Lissu kwa kuamua kurudi na kukanyaga ardhi ya nchi yake.
 
Ndugu zangu,

''ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu,afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya,elimu na malazi kutoka Ubelgiji. Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.

Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Hakii hii nchi inahitaji ukombozi wa kifikra kama bado kuna watu wana mawazo mgando kama wewe kibaya zaidi waweza kuta umesoma na kidiploma unacho nauliza huko shule mwaenda somea ujinga?
 
Ndugu zangu,

''ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu,afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya,elimu na malazi kutoka Ubelgiji. Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.

Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Akili za kuvukia barabara, hivi bado watu hawajui kwamba Rasi ni taasisi nakwamba nchi siyo kampuni 'a country is not a company'
 
Wakudadavuwa,

Nimeongea na marakizi zangu na wanachama wa CHADEMA wameoneshwa kuhuzinika na jambo hili. Hawapendi kabisa kulisikia maana litapunguza kura za Lissu sana hasa kwa jamii ambayo haina exposure za nchi za nje. Nazani watoto wanaweza rudishwa mapema sana.
 
Mbona CCM imeshindwa kuboresha kwa muda wa miaka 60? KCMC, Mhimbili, Bugando, Haydom nk zilikuwepo kabla ya uhuru
Benjamin Mkapa Hospital, Mloganzila, Mbeya regional Referral Hospital, JKCI nazo zilikuwepo hata kabla ya uhuru?
 
Back
Top Bottom