CHARLES2016
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 376
- 435
Kwani Mkoa wa Geita una airport nyingine tofauti na inayojengwa Chato? Kwani Kila Mkoa si unatakiwa uwe na kiwanja cha ndege? Kwani kiwanja kile atakitumia Magufuli peke yake? Wananchi wanaoishi Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla hawastaili kutumia usafiri wa ndege Kama mikoa mingine?ha haya ma intanesheno eapoti tunayojenga vijijini kwetu ni kwa ajili ya kurahisisha wizi wa nini?
Acha ubinafsi, hata kule Kuna watu, kwa hiyo wasipiewe huduma kwa sababu raisi anatoka Chato?