John Fedha
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 624
- 717
Viongozi wote wanatibiwa nje ya Nchi CCM ingeboresha hizo huduma za afya ,nani angeenda kutibiwa nje ya nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimedunishwa na nani wakati hatujawahi kuongozwa na kiongozi mwenye familia ulaya?Ndugu zangu,
''ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu,afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya,elimu na malazi kutoka Ubelgiji. Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.
Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Kamanda, pamoja kwamba hata shinda, hili la familia yake kuishi ughaibuni linaonesha ni jinsi gani akili yake haipo Tanzania
Ilijengwa awamu ya Kikwete
Tumia akili kama unayo hata kiduchu Uwanja wa ndege wa Dar haukujengwa kwa sababu kuna Wazaramo, au cha KIA kwa sababu ya Wameru, Wachaga, Wamasai, wala wa Chato kwa ajili ya Wasukuma hata kama wa Mwanza hauwatoshi. Pamoja na ujinga wako ungejiuliza hao wote wanatumia viwanja hivyo wakienda au wakitoka wapi? Singida wale Wanyaturu na Wanyiramba je?Kwani Mkoa wa Geita una airport nyingine tofauti na inayojengwa Chato? Kwani Kila Mkoa si unatakiwa uwe na kiwanja cha ndege? Kwani kiwanja kile atakitumia Magufuli peke yake? Wananchi wanaoishi Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla hawastaili kutumia usafiri wa ndege Kama mikoa mingine?
Acha ubinafsi, hata kule Kuna watu, kwa hiyo wasipiewe huduma kwa sababu raisi anatoka Chato?
Kama alivyo Magufuli.Narudia Lissu anadharau 'machineries' za nchi yetu Tanzania na anatudharau sisi watanzania!
kuna ambao washakwiba tayari 1.5tr.
hawa cha moto kinawasubiri huko mbeleni, labda wapige mbizi kuelekea hapo visiwani Comoro.
Nyie si mnasema hizo huduma zimeshaboreshwa na awamu ya 5 Sasa aje kuboresha Nini[emoji16]
Huyo Magufuli kajenga kwa pesa yake au kodi za wananchi?Mbona mnapenda sana kuabudu watu?Hujui unamlipa kwa kazi anayofanya na ni takwa la kikatiba?Sasa ibaki apimwe kama amefanya wananchi watakavyo au la hasha na hilo jibu lake ni sanduku la kura!Anaweza kuwa kafanya lakini wananchi wakataka serikali ambayo itafanya zaidi ya serikali yake ilivyotenda!Nyie watu wengine ni wapuuzi sana kuabudu ukoloni, sijui hamjasoma hata history? Hivi hujui kuwa hiyo miundo mbinu ilijengwa kwa ajili ya kurahisisha wizi wa rasimali zetu kupeleka kwao ulaya? Hivi hayo mahospitali na mashule yalijengwa kwa ajili watanganyika?
Leo Magufuli anapojenga miundo mbinu na Hospitali ni kwa ajili ya Nani Kama sio watanzania, Cha kushangaza wewe unayebeza hiyo miundo mbinu Kila siku unapita na kigari chako kwenye hiyo hiyo barabara, bibi yako kule kijijini anapata huduma kwenye kituo cha afya alichojenga Magufuli.
Ama kweli watanzania hamna shukrani.
Wakudadavua umekuwa low sana. Siyo kwa sababu mnatujengea barabara basi tusihoji na tuishi kwa hofu !!Ndugu zangu,
''ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu,afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya,elimu na malazi kutoka Ubelgiji. Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.
Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Pumbavu kabisafamilia yake inapata huduma za afya,elimu na malazi kutoka Ubelgiji. Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.
Vipi na hospitali ya rufaa itakayohudumia kanda nzima kujengwa chato hapo vipi?Doesnt it ring the bell?Kwani Mkoa wa Geita una airport nyingine tofauti na inayojengwa Chato? Kwani Kila Mkoa si unatakiwa uwe na kiwanja cha ndege? Kwani kiwanja kile atakitumia Magufuli peke yake? Wananchi wanaoishi Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla hawastaili kutumia usafiri wa ndege Kama mikoa mingine?
Acha ubinafsi, hata kule Kuna watu, kwa hiyo wasipiewe huduma kwa sababu raisi anatoka Chato?
Wew kaz yako imeonekana kwa nani mbona una akili na hujawah tambua imeifanyia nn hiyo akiliMbona CCM imeshindwa kuboresha kwa muda wa miaka 60? KCMC, Mhimbili, Bugando, Haydom nk zilikuwepo kabla ya uhuru
Sasa mtu amezuia habari na kashfa zisitoke. Hizo kashfa utazisikiaJe ?!.We hujanielewa nilikuwa naongelea miundo mbinu kipindi cha ukoloni haikujengwa kwa manufaa yetu sisi Watanganyika, ingawa tulianza kunufaika nayo baada ya wakoloni kuondoka.
Kuhusu wizi wa rasimali kwa awamu hii huwezi linganisha na awamu iliyopita, wewe mwenyewe ni umeshuhudia swala la mikataba ya madini lilivyoshughulikiwa hadi kampuni ya Accacia kufungasha virago. Awamu hii yote hakuna hata kashifa moja ya ufisadi iliyoibuliwa, mzee anazipangua juu kwa juu.
Hiyo ndiyo sera yenu mnayotoka nayo mwaka huu? Ha ha ha ha haaa my foot!Ndugu zangu,
''ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu,afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya,elimu na malazi kutoka Ubelgiji. Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.
Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
twende taratibu tu, tutaelewana muda si mrefu!Kamanda acha kuweweseka
Ni yeye.hata Kama familia unaishi Somalia. Mfumo wa kimaisha kifamilia umekuwa mgumu mno.watanzania hawajui kesho itaamkaje na hawajui kesho wanakula Nini.ndipo tulikofikia tukiambiwa miradi mikubwa.mirafi mikubwa umefikia hatua Sasa watanzania wafe njaa ?Ndugu zangu,
''ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu,afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya,elimu na malazi kutoka Ubelgiji. Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.
Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.