Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Karne ya 21 bado kuna nchi zinajisifu kujenga hospitali!!!Benjamin Mkapa Hospital, Mloganzila, Mbeya regional Referral Hospital, JKCI nazo zilikuwepo hata kabla ya uhuru?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karne ya 21 bado kuna nchi zinajisifu kujenga hospitali!!!Benjamin Mkapa Hospital, Mloganzila, Mbeya regional Referral Hospital, JKCI nazo zilikuwepo hata kabla ya uhuru?
Muulize baba akoWew kaz yako imeonekana kwa nani mbona una akili na hujawah tambua imeifanyia nn hiyo akili
Tatizo lako wewe umejielekeza kwenye ukabila na matusi juu, serikali ina mkakati wa kuhakikisha kuwa Kila Mkoa unakuwa na kiwanja cha ndege kwa kuboresha kilichopo au kujenga kipya Kama hakipo. Geita ni Mkoa mpya, zamani ilikuwa ni wilaya ndani ya Mkoa wa Mwanza. Kwa hiyo kwa mkakati huo huo Geita nayo inastahili kuwa na kiwanja cha ndege Kama ilivyo mikoa mingine. Kwa hiyo kiwanja cha ndege kujengwa Chato iliyo ndani ya Mkoa wa Geita ni sawa tu.0
Tumia akili kama unayo hata kiduchu Uwanja wa ndege wa Dar haukujengwa kwa sababu kuna Wazaramo, au cha KIA kwa sababu ya Wameru, Wachaga, Wamasai, wala wa Chato kwa ajili ya Wasukuma hata kama wa Mwanza hauwatoshi. Pamoja na ujinga wako ungejiuliza hao wote wanatumia viwanja hivyo wakienda au wakitoka wapi? Singida wale Wanyaturu na Wanyiramba je?
I wonder matibabu,elimu ni "haki" ya mtu yeyote?Ndugu zangu,
''ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu,afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya,elimu na malazi kutoka Ubelgiji. Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.
Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Tundu Lissu ni mjasiriamali, hilo halina ubishi mkuu.Ndugu zangu,
''ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu,afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya,elimu na malazi kutoka Ubelgiji. Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.
Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Brother kwa nchi zetu hizi zako kiafrika ukiendesha nchi kwa pure capitalism utawaumiza karibu asilimia 90 ya wananchi na kuwanufaisha asilimia 10 tu.I wonder matibabu,elimu ni "haki" ya mtu yeyote?
Matibabu na Elimu ni mambo binafsi ya mtu anunue huduma hizi kwa hela zake!
Too bad government yeyote duniani haina hela zake binafsi,hua zinachukua hela kutoka kwa mwananchi mmoja na kumpa mwananchi mwingine,of which is the case in point.
Kila mtu awajibike kwa elimu au matibabu yake....
Serikali iachie elimu na matibabu ziwe sekta binafsi 100%.
Serikali ina promise some stupidity to citizens ili kupata kura which is not correct....
Serikali ina create "haki" outta thin air which shows how stupid the government is....
Kuna mpumbavu anasema "kodi" zetu.....
Kodi zako za 10,000/= kwa mwaka ndio zikupe elimu bure na matibabu bure kwa mwaka mzima?Clearly gharama za kufanya haya ni other wealthy citizens hela zao zinachukuliwa ili wewe mpumbavu,vivu na goigoi upewe elimu bure,matibabu bure....etc
Kila mwanadamu awe responsible for his/her own expenses...
Hii ndio capitalism.....
umenenaTundu Lissu ni mjasiriamali, hilo halina ubishi mkuu.
Sema hujui kwakuwa umeilekeza akili ifikili bila kuwezeshwa huweziNi yeye.hata Kama familia unaishi Somalia. Mfumo wa kimaisha kifamilia umekuwa mgumu mno.watanzania hawajui kesho itaamkaje na hawajui kesho wanakula Nini.ndipo tulikofikia tukiambiwa miradi mikubwa.mirafi mikubwa umefikia hatua Sasa watanzania wafe njaa ?
Nyie mwaka huu mtapata stroke, mwanzo mlisema CDM imekufa sasa tena kauli hazieleweki, tulieni OCTOBER ifike.Ndugu zangu,
''ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu,afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya,elimu na malazi kutoka Ubelgiji. Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.
Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Je. Mloganzila pia ilikuwepo?
Kwani kampeini zimeanza?Ndugu zangu,
''ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu,afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya,elimu na malazi kutoka Ubelgiji. Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.
Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Mimi nafahamu. Swali langu lilimlenga yule aliyesema hakuna kilichofanywa na serikali kwa miaka 60 kwenye afya.Hata Palestina haikuwepo ila JK ameweka na ile JK Cardiac pale Mh2 au nalo hulifahamu?
Weka clipNimeongea na marakizi zangu na wanachama wa CHADEMA wameoneshwa kuhuzinika na jambo hili. Hawapendi kabisa kulisikia maana litapunguza kura za Lissu sana hasa kwa jamii ambayo haina exposure za nchi za nje. Nazani watoto wanaweza rudishwa mapema sana.
Vihoja vingine wajameni, yabidi kutazama usoni alovitoa.Wao wenyewe wameshindwa kumpa hata uenyekiti wa saccos yao, halafu wanataka wananchi wampe nchi. Sio watanzania wa miaka hii
Mikataba mpaka sasa haepelekwi bungeni?Kuhusu wizi wa rasimali kwa awamu hii huwezi linganisha na awamu iliyopita, wewe mwenyewe ni umeshuhudia swala la mikataba ya madini lilivyoshughulikiwa hadi kampuni ya Accacia kufungasha virago. Awamu hii yote hakuna hata kashifa moja ya ufisadi iliyoibuliwa, mzee anazipangua juu kwa juu.
KakaBrother kwa nchi zetu hizi zako kiafrika ukiendesha nchi kwa pure capitalism utawaumiza karibu asilimia 90 ya wananchi na kuwanufaisha asilimia 10 tu.
Changamoto imetokea sababu ya upumbavu wetu kama civilization....Kwanza tuna changamoto kubwa ya elimu, bado tuna asilimia kubwa Sana ya watu ambao hawana elimu ya kutosha kuweza kupambana na mazingira ya upepari. Kuweza kutambua fursa za kiuchumi na kuzitumia ipasavyo.