n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Wao wenyewe wameshindwa kumpa hata uenyekiti wa saccos yao, halafu wanataka wananchi wampe nchi. Sio watanzania wa miaka hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We naye famba, mbona hutaji shule za wakoloni, barabara, majengo n.k?Benjamin Mkapa Hospital, Mloganzila, Mbeya regional Referral Hospital, JKCI nazo zilikuwepo hata kabla ya uhuru?
Machineries za ccm unaziita za nchi yetu.Narudia Lissu anadharau 'machineries' za nchi yetu Tanzania na anatudharau sisi watanzania!
nadhani nimejibu kilichoandikwa, kama unahitaji tutaje shule na barabara zinaonekana nyingi tu, halafu kujibu kistaarabu hauwezi mpaka uanze maneno ya kukaraisha, kuwa mtu mzima basi wakati mwingineWe naye famba, mbona hutaji shule za wakoloni, barabara, majengo n.k?
Ilijengwa awamu ya KikweteJe. Mloganzila pia ilikuwepo?
Huo ni wivu tu, na ww peleka Familia yako ikaishi nje
Nyie watu wengine ni wapuuzi sana kuabudu ukoloni, sijui hamjasoma hata history? Hivi hujui kuwa hiyo miundo mbinu ilijengwa kwa ajili ya kurahisisha wizi wa rasimali zetu kupeleka kwao ulaya? Hivi hayo mahospitali na mashule yalijengwa kwa ajili watanganyika?wakoloni walitujengea hospitali na miundombinu bora kabisa huku familia zao wakiwa wameziacha kwao Ulaya.
ambacho hawakufanya wakoloni ni kujijengea international airports huko vijijini kwao!
Zilijengwa na mabeberu 😛 😛Mbona CCM imeshindwa kuboresha kwa muda wa miaka 60? KCMC, Mhimbili, Bugando, Haydom nk zilikuwepo kabla ya uhuru
Aisee! Kwa hiyo Dr. Kikwete hakuiongoza Tanzania na CCM kwa baadhi miaka iliyotajwa ndani ya miaka wigo wa miaka sitini!?Ilijengwa awamu ya Kikwete
itategemea na idadi za kura atakazopata Mheshimiwa Pombe na kwa mziki huu wa Lissu sizani kama anarudi huyu 🤣Mkuu vipi bunge la 12 utakuwepo?
ha haya ma intanesheno eapoti tunayojenga vijijini kwetu ni kwa ajili ya kurahisisha wizi wa nini?Nyie watu wengine ni wapuuzi sana kuabudu ukoloni, sijui hamjasoma hata history? Hivi hujui kuwa hiyo miundo mbinu ilijengwa kwa ajili ya kurahisisha wizi wa rasimali zetu kupeleka kwao ulaya? Hivi hayo mahospitali na mashule yalijengwa kwa ajili watanganyika?
Leo Magufuli anapojenga miundo mbinu na Hospitali ni kwa ajili ya Nani Kama sio watanzania, Cha kushangaza wewe unayebeza hiyo miundo mbinu Kila siku unapita na kigari chako kwenye hiyo hiyo barabara, bibi yako kule kijijini anapata huduma kwenye kituo cha afya alichojenga Magufuli.
Ama kweli atanzania hamna shukrani.
Mkuu huko ni kutapatapa, iansikitisha sana kuona CCM iMEFIKIA KUWA NA WAJENGA HOJA ZA AINA HII!Hakii hii nchi inahitaji ukombozi wa kifikra kama bado kuna watu wana mawazo mgando kama wewe kibaya zaidi waweza kuta umesoma na kidiploma unacho nauliza huko shule mwaenda somea ujinga?