Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hawezi kushinda Uchaguzi wa 2020, Dkt. Magufuli ana nafasi kubwa ya kushinda

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hawezi kushinda Uchaguzi wa 2020, Dkt. Magufuli ana nafasi kubwa ya kushinda

Rais wa awamu ya sita ni Mh: T. Lissu, nipo kijijini lakini sote tuna mwamko wa kumpa kura zetu. Ewe M/Mungu mbariki mja wako aje atufungulie njia.
 
General statement but ushindani ni mkubwa. Lissu amevuta watu wengi kwake ambayo ni advantage. Kuna watu hawatapiga kura wengine ni wale ambao wangepigia ccm.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app

Mkuu Tundu hawajui watanzania😁

Watanzania ukiwajua utaishi kwa raha sana wana upendo sana, wana huruma, wana mshikamano, watakufanyia chochote bila hata malipo mradi uwadharau.
Kitendo cha Tundu kuwaambia watanzania hawajui kiingereza tuu lilikua tusi
Kitendo cha Tundu kujirekodi kwa kiingereza na kumtumia Amstadam nalo tusi
Kitendo cha Tundu kutukana watendaji wa vyombo vya serikali Hilo ni tusi
Na mengine mengiii..... watanzania ndio wale wakuitwa wajumbe. Muulizeni Mpoki, Zamaradi na Steve

Magufuli anawajua watanzania na watanzania wanamjua hata mumpake matope watamsafishaa
 
"Nchi hii hatapewa mtu kwa njia ya makaratasi"
mwisho wa kunukuu kura yangu kwa #JPM
achaneni na hao malofa

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Tundu hawajui watanzania😁

Watanzania ukiwajua utaishi kwa raha sana wana upendo sana, wana huruma, wana mshikamano, watakufanyia chochote bila hata malipo mradi uwadharau.
Kitendo cha Tundu kuwaambia watanzania hawajui kiingereza tuu lilikua tusi
Kitendo cha Tundu kujirekodi kwa kiingereza na kumtumia Amstadam nalo tusi
Kitendo cha Tundu kutukana watendaji wa vyombo vya serikali Hilo ni tusi
Na mengine mengiii..... watanzania ndio wale wakuitwa wajumbe. Muulizeni Mpoki, Zamaradi na Steve

Magufuli anawajua watanzania na watanzania wanamjua hata mumpake matope watamsafishaa
Siyo watanzania wa sasa labda watanzania wale wa zamani hawa wa sasa wameichoka ccm hawataki kuiona tena
 
Naunga mkono hoja, never on earth Lissu anaweza kushinda!.
P
Ushindi wa lissu ni mkubwa ...it is always the economy which will make a big decisive milestone, hali ya uchumi ya watanzania jj mbaya, maji hakuna, umeme wa shidahaluna shiraz uwekezaji wa kampuni ya nje hakuna kabisa, uonevu wa wafanya biashara na tra ni mkubwa sana, helena hali kwenye nchi yao....watanzania wamechoka...

Niyeye 2020 kama ushelisheli kwa mara ya kwanza tangu miaka 43 iliyopita chama kili kuwa kimoja tuu...mungu ni mwema.
 
Endelea kuota, vijana ni asilimia 90 ya watu wote na almost wote hawana ajira wanamtaka Lissu na wako tayari hata kulinda kura. Tegemeo lao limebaki kwa Lissu maana hawana kimbilio lingine. Usicheze na mtu mwenye njaa.
 
Siyo watanzania wa sasa labda watanzania wale wa zamani hawa wa sasa wameichoka ccm hawataki kuiona tena
Mkuu Ushuzi1
Watanzania toka 1995 wanaikataa CCM ila CCm hupindua meza kibabe.
Watanzania wasichoweza tu Ni kudai haki zao kwa nguvu ya Umma.
1995 Ilibidi Nyerere aiokoe CCM bara na visiwani na tokea happy Ukawa ndio mchezo wa akina Jecha.
 
Magufuli atashinda kwa kutumia udanganyifu na vyombo vya dola,lkn sio kura halali za watanzania walio na njaa ilioletwa na huyu mpigaji
 
Back
Top Bottom