RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]tundu lisu siyo mnafikiMakamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas samesema Shujaa Hayati Magufuli hausiki Kwenye Mikataba ya ovyo kwa sababu alikuwa hapendi kabisa rasilimali za Nchi zishikwe na Wageni
Tundu Lissu anaongea na Waandishi wa Habari
Mungu ni Mwema wakati wote!