Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
..bomba la mafuta Hoima-Tanga Waganda hawatalipia kodi mafuta yanayosafirishwa.
..huo ni mkataba mbovu alioingia Magufuli.
Lakini tutapata ajira na mafuta ghafi ya viwanda kwa bei sawa na bure na faida kedekede.
unajua gharama ya kuagiza mafuta ghafi toka uarabuni??