Tundu Lissu: Hela za Abdul ndicho chanzo cha mtafaruku CHADEMA

Tundu Lissu: Hela za Abdul ndicho chanzo cha mtafaruku CHADEMA

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Lissu anagombea Uenyekiti kwa hasira baada ya kuletewa Wenje ili amuondoe kwenye nafasi yake ya Makamu Mwenyekiti aliyokuwa ametia nia.

Akiwa anajibu maswali kwenye kipindi cha ClubHouse, Lissu amesema, "Yanayoendelea Chadema chanzo chake ni hizo hela za Abdul nilizozikataa ambapo Wenje alikuwa dalali".

Alipoulizwa, Itakuwaje ukishinda uenyekiti na Wenje kuwa makamu wako, akajibu kwa kifupi sana, "It Will Be a Disaster".

Lissu alibadili mawazo ghafula muda mfupi baada ya Wenje kutia nia, inasemekana lengo lao ni kumuondoa kabisa Lissu kwenye uongozi wa juu wa chama.

Tuvute subira mambo yanaanza kuwa hadharani.
 
Lissu anagombea Uenyekiti kwa hasira baada ya kuletewa Wenje ili amuondoe kwenye nafasi yake ya Makamu Mwenyekiti aliyokuwa ametia nia.

Akiwa anajibu maswali kwenye kipindi cha ClubHouse, Lissu amesema, "Yanayoendelea Chadema chanzo chake ni hizo hela za Abdul nilizozikataa ambapo Wenje alikuwa dalali".

Alipoulizwa, Itakuwaje ukishinda uenyekiti na Wenje kuwa makamu wako, akajibu kwa kifupi sana, "It Will Be a Disaster".

Lissu alibadili mawazo ghafula muda mfupi baada ya Wenje kutia nia, inasemekana lengo lao ni kumuondoa kabisa Lissu kwenye uongozi wa juu wa chama.

Tuvute subira mambo yanaanza kuwa hadharani.

..sasa kuna ajabu gani katika alichosema Lissu ikiwa yeye atakuwa Mwenyekiti, na Wenje Makamu?
 
Lissu anagombea Uenyekiti kwa hasira baada ya kuletewa Wenje ili amuondoe kwenye nafasi yake ya Makamu Mwenyekiti aliyokuwa ametia nia.

Akiwa anajibu maswali kwenye kipindi cha ClubHouse, Lissu amesema, "Yanayoendelea Chadema chanzo chake ni hizo hela za Abdul nilizozikataa ambapo Wenje alikuwa dalali".

Alipoulizwa, Itakuwaje ukishinda uenyekiti na Wenje kuwa makamu wako, akajibu kwa kifupi sana, "It Will Be a Disaster".

Lissu alibadili mawazo ghafula muda mfupi baada ya Wenje kutia nia, inasemekana lengo lao ni kumuondoa kabisa Lissu kwenye uongozi wa juu wa chama.

Tuvute subira mambo yanaanza kuwa hadharani.
Inapendeza
 
Lissu anagombea Uenyekiti kwa hasira baada ya kuletewa Wenje ili amuondoe kwenye nafasi yake ya Makamu Mwenyekiti aliyokuwa ametia nia.

Akiwa anajibu maswali kwenye kipindi cha ClubHouse, Lissu amesema, "Yanayoendelea Chadema chanzo chake ni hizo hela za Abdul nilizozikataa ambapo Wenje alikuwa dalali".

Alipoulizwa, Itakuwaje ukishinda uenyekiti na Wenje kuwa makamu wako, akajibu kwa kifupi sana, "It Will Be a Disaster".

Lissu alibadili mawazo ghafula muda mfupi baada ya Wenje kutia nia, inasemekana lengo lao ni kumuondoa kabisa Lissu kwenye uongozi wa juu wa chama.

Tuvute subira mambo yanaanza kuwa hadharani.
Abdul Rais wa 2040 hd 2050 baada Ridhiwani kumaliza muda wake!! Imepita iyo......
 
Wewe ulale sisi tubaki tunakurekodia.
Shida yenu ipo kwenye uwasilishaji mnakuwa na ushabiki sana (mimi nilitoka huko, can’t bear to listen to such nonsense).

Mfano sakata la serikali ya mseto, alichoongea Lissu na representation ya (media na mitandao sivyo kabisa) na alichosema.

Kwenye swala la siasa za nusu mkate, Lissu alielezea kisheria haiwezekani kabisa na isingeweza kuwa hoja yao ya maridhiano ni hadithi tupu. Na Lissu alitoa elimu ya kina ya sheria kwanini aiwezekani na CDM isingekuwa na muda huo wa kupoteza.

Kuna wahariri juzi wamemuuliza Mbowe kama vile, Lissu alishutumu CDM kwa hiyo hoja. Wakati Lissu ndio katumia muda mwingi kutoa somo la sheria kwanini hizo hadithi za nusu mkate zisingiwezakana kwa sheria za Tanzania (upande wa bara).

Ndio ugomvi wangu ulipo na watanzania, kudhani unaweza tunga mambo tu na ku-get away (na huo pia ndio ulikuwa ugomvi wa Magufuli) kwenye kujenga nchi; uwezi poteza muda kujibu upumbavu wakati una kazi za kufanya.

Na hiyo ndio sampuli kubwa ya fikra za watanzania. Someone has to sort this mess.

Nitamtwanga Lissu kwa hoja ambazo sikubaliani nae, lakini siwezi kumtungia uongo au kushabikia uongo aliotungiwa.
 
Shida yenu ipo kwenye uwasilishaji mnakuwa na ushabiki sana (mimi nilitoka huko, can’t bear to listen to such nonsense).

Mfano sakata la serikali ya mseto, alichoongea Lissu na representation ya (media na mitandao sivyo kabisa) na alichosema.

Kwenye swala la siasa za nusu mkate, Lissu alielezea kisheria haiwezekani kabisa na isingeweza kuwa hoja yao ya maridhiano ni hadithi tupu. Na Lissu alitoa elimu ya kina ya sheria kwanini aiwezekani na CDM isingekuwa na muda huo wa kupoteza.

Kuna wahariri juzi wamemuuliza Mbowe kama vile, Lissu alishutumu CDM kwa hiyo hoja. Wakati Lissu ndio katumia muda mwingi kutoa somo la sheria kwanini hizo hadithi za nusu mkate zisingiwezakana kwa sheria za Tanzania (upande wa bara).

Ndio ugomvi wangu ulipo na watanzania, kudhani unaweza tunga mambo tu na ku-get away (na huo pia ndio ulikuwa ugomvi wa Magufuli) kwenye kujenga nchi; uwezi poteza muda kujibu upumbavu wakati una kazi za kufanya.

Na hiyo ndio sampuli kubwa ya fikra za watanzania. Someone has to sort this mess.

Nitamtwanga Lissu kwa hoja ambazo sikubaliani nae, lakini siwezi kumtungia uongo au kushabikia uongo aliotungiwa.
Tafuta clip nzima utamsikia nimlishe maneno ili nipate nini mtu mwenyewe hana breki ya mdomo.
 
Tafuta clip nzima utamsikia nimlishe maneno ili nipate nini mtu mwenyewe hana breki ya mdomo.
Ndio shida ilipo unadhani wote humu ni members wa hizo club zenu, au tuna access na hizo recordings.

Wewe weka youtube link ya muda wa Lissu tumsikilize.
 
Hivi sasa hivi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu ni nani? Naombeni kumfahamu wakuu
 
Shida ni njaa za wenje bila udalali wa wenje haya yasingekuwepo hata waliomtuma wenje sasa wanajuuta kumjua wenje kwani pengine walijua ni mtu smart kichwani au aliwaaminisha anammudu Lisu kumbe ni kimyume chake, twende mbele turudi nyuma Shida zote zimeletwa na njaa za wenje
 
Hivi sasa hivi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu ni nani? Naombeni kumfahamu wakuu
Huko napo wenje anafika?maana hoja kwa sasa ni ujinga wa wenje
 
It Will Be a Disaster hilo ndilo jibu lake mkuu, sijui alikuwa na maana gani.
Maana yake akiwa mwenyekiti atafagia madudu ya mbowe ikiwemo ufisadi na wale wabunge haramu 19 timu mbowe huku wenje akiwa mtetezi wao ndipo kutatokea balaa
 
Lissu anagombea Uenyekiti kwa hasira baada ya kuletewa Wenje ili amuondoe kwenye nafasi yake ya Makamu Mwenyekiti aliyokuwa ametia nia.

Akiwa anajibu maswali kwenye kipindi cha ClubHouse, Lissu amesema, "Yanayoendelea Chadema chanzo chake ni hizo hela za Abdul nilizozikataa ambapo Wenje alikuwa dalali".

Alipoulizwa, Itakuwaje ukishinda uenyekiti na Wenje kuwa makamu wako, akajibu kwa kifupi sana, "It Will Be a Disaster".

Lissu alibadili mawazo ghafula muda mfupi baada ya Wenje kutia nia, inasemekana lengo lao ni kumuondoa kabisa Lissu kwenye uongozi wa juu wa chama.

Tuvute subira mambo yanaanza kuwa hadharani.
Wenje ndiyo ameenda kuidhoofisha chadema Mbowe anajuuta kumweka mbele hakujua kuwa ni mtu mjinga mjinga linapokuja jambo gumu linalohitaji maarifa makubwa
 
Back
Top Bottom