Lissu hana breki ya mdomo, hata akishinda uenyekiti kitu ambacho hakipo atagombana na kila mtu pale ofisini.ulimi kiungo kidogo matatizo yake ni makubwa, jamani ulimi ulimi dah π
Mwanaharakati, sio kiongozi.Lissu hana breki ya mdomo, hata akishinda uenyekiti kitu ambacho hakipo atagombana na kila mtu pale ofisini.
Lissu anasema aliambiwa kuna viongozi Chadema tayari wameshachukua chao mapema kabaki yeye tu, alipoambiwa awataje akaanza kujiumauma.Hahaha pesa za Abdul ziko wapi, au nani anazo huko chadema?
Lisu alisema chadema hakuna mgogoro, haya maneno anaongea yeye au anawekewa maneno kinywani?
Mi naona kama tatizo ni pesa, basi Abdul atafutwe ampe hizo pesa, ili turudi kwenye hoja.
Wenje alitumwa na ''mwenyekiti''. Asingekuwa na ubavu wa kufanya yote bila kuambiwa.Wenje Dalali ndiyo shida kwani bila udalali wa Wenje haya yasingekuwepo leo
Lissu kanyooka lesser beam inasibiriLissu anagombea Uenyekiti kwa hasira baada ya kuletewa Wenje ili amuondoe kwenye nafasi yake ya Makamu Mwenyekiti aliyokuwa ametia nia.
Akiwa anajibu maswali kwenye kipindi cha ClubHouse, Lissu amesema, "Yanayoendelea Chadema chanzo chake ni hizo hela za Abdul nilizozikataa ambapo Wenje alikuwa dalali".
Alipoulizwa, Itakuwaje ukishinda uenyekiti na Wenje kuwa makamu wako, akajibu kwa kifupi sana, "It Will Be a Disaster".
Lissu alibadili mawazo ghafula muda mfupi baada ya Wenje kutia nia, inasemekana lengo lao ni kumuondoa kabisa Lissu kwenye uongozi wa juu wa chama.
Tuvute subira mambo yanaanza kuwa hadharani.
Kila kitu kina muda wake. Mbona tayari alishamtaja Wenje? Kuwa Abdul kamhonga mpaka Mbowe hili ni dhahiri kwa kutumia tu akili ya kawaida.Lissu anasema aliambiwa kuna viongozi Chadema tayari wameshachukua chao mapema kabaki yeye tu, alipoambiwa awataje akaanza kujiumauma.
Yani ukiambiwa kitu hata hujafanya utafiti wa ulichoambiwa kama ni kweli au uongo, yani kuthibitisha uhalisia wa ulichokisikia, wewe unakibeba tu kilivyo, halafu nawe unakisema/kukisambaza bila ushahidi/uthibitisho wowote?Lissu anasema aliambiwa kuna viongozi Chadema tayari wameshachukua chao mapema kabaki yeye tu, alipoambiwa awataje akaanza kujiumauma.
Yeye mwenyewe kwa kinywa chake kasema.Yani ukiambiwa kitu hata hujafanya utafiti wa ulichoambiwa kama ni kweli au uongo, yani kuthibitisha uhalisia wa ulichokisikia, wewe unakibeba tu kilivyo, halafu nawe unakisema/kukisambaza bila ushahidi/uthibitisho wowote?
Mi sidhani kama Lisu anaweza kuwa na akili ya hivyo.
Lisu ni mtu anayefikiri vizuri nahisi.
SIjui alithibitishaje aliyoambiwa kwamba ni kweli, anajua yeye, maana ni mwanasheria yule unajua.Yeye mwenyewe kwa kinywa chake kasema.
Ahahahahaha!! Sawa sawa!!Rais Kenyatta wa Yemen.
Tafuta clip yake jana ilikuwa ni siku ya kuropokaHakuna popote Lissu alizungumza hili. Acheni upotoshaji.
Maana yake akiwa mwenyekiti atafagia madudu ya mbowe ikiwemo ufisadi na wale wabunge haramu 19 timu mbowe huku wenje akiwa mtetezi wao ndipo kutatokea balaa
Sio kuropoka, sema kusema maneno yasiyowafurahisha team Mbowe. Sasa tunangoja huo mdahalo, hapo ndio mtajua kuwa king'ang'anizi wa madaraka ni tatizo.Tafuta clip yake jana ilikuwa ni siku ya kuropoka