KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Kwan Muhimbili kuna nini ambacho pale Benjamin Mkapa hakuna? Unawakumbuka watu waliomtibia Lissu at the first time mmoja wao alikuwa mteuliwa kabisa wa Hayati?Lisu ashukuru sana hakufikishwa Muhimbili siku hiyo!
Magufuli tayari, bado hao wawili watalipa tu.
Kwan Muhimbili kuna nini ambacho pale Benjamin Mkapa hakuna? Unawakumbuka watu waliomtibia Lissu at the first time mmoja wao alikuwa mteuliwa kabisa wa Hayati?
Lissu sawa na Mbowe tu maana ata Mbowe mara baada ya kuanguka akiwa amelewa ilibidi aende Dispensary za vichochoroni huko akwepe za Serikali akiogopa aibu.
Mkuu, nadhani huelewi ninacholenga hapa.Kwan Muhimbili kuna nini ambacho pale Benjamin Mkapa hakuna? Unawakumbuka watu waliomtibia Lissu at the first time mmoja wao alikuwa mteuliwa kabisa wa Hayati?
Lissu sawa na Mbowe tu maana ata Mbowe mara baada ya kuanguka akiwa amelewa ilibidi aende Dispensary za vichochoroni huko akwepe za Serikali akiogopa aibu.
Hivi wanaokamatwa kwa kusemwa wanawakashifu viongozi mbalimbali, huwa wanasema vituo vya polisi?Mwanasiasa machachari wa Tanzania anayeishi mamtoni baaada ya kufanyiwa unyama amekanusha taarifa na kauli ya Igp Sirro kuwa alipigiwa simu na jeshi la polisi ili ahojiwe juu ya madhila yaliyompata....
Wala si siku nyingiLisu ashukuru sana hakufikishwa Muhimbili siku hiyo!
Magufuli tayari, bado hao wawili watalipa tu.
Huna akili we bwege.Wewe mataga kwa nini unamuita Lissu mwanasiasa machachari badala ya makamu mwenyekiti?
Mmoja ameshalipa. Amekufa kwa huzuni na machungu mingi moyoni.Halafu aliwatukana watawa.Nikasema he won't survive any longer!There he went!😝😝😝😝😝😝Mtu anakwambia anafatiliwa wewe unapuuza
Walinzi wanaondolewa kwenye makazi yake alafu anapigwa risasi eneo ilo ilo...
Sasa si akaishi huko huko? Ngonjera na kiki zake tumezichoka'Nilikimbia nchi baada ya kupata taarifa kuwa Rais Magufuli alikuwa ametoa amri kwa 'watu wasiojulikana' kuwa niuawe mara baada ya uchaguzi. Nilikamatiwa na polisi wa IGP Sirro nje ya Ubalozi wa Ujerumani na isingekuwa wanadiplomasia wa Kijerumani kuingilia kati ningepotezwa."-Mh Tundu Lissu
Mkuu Lissu hawezi kuwa Rais wa Tz. Usipoteze muda wako. Na wala sio sababu ya Polisi wala Nini. Wananchi nje ya wewe hawawezi kumchagua huyo. Kuongoza nchi sio kufanya debate ya maneno.Mwanza asante saaana!
Wapiga kura walimchagua Tundu, lakini FFU, TICCm, DEDccm na Tumeccm wakamtangaza mwendazake.
2025 ffu na tiss wasipoingilia, mama hatoboi, saa4 asubuhi kazi kwisha
Sawa Mimi kenge..Ila urudi shule kwanza ukajifunze kuandika Kwanza kisha uje tubishane Kwa oja..'fara' ndiyo nini?Fara kama labda uwe positive HIV kwenye maisha halisi wewe kenge tu