Pre GE2025 Tundu Lissu: Ili tuweze kushinda uchaguzi lazima tuwe na bunduki kama wao. Ikulu ndio inaamua wizi wa Kura!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni afadhali cdm ife, kuliko iwe hai kwa kijipendekeza kwa ccm huku wafuasi wake wakigeuzwa wahanga utawala wa mabavu wa ccm.
 
Hizi sasa ndio siasa za kuwaweza CCM tulizokuwa tunasubiri kutoka TAL. Embu tendelee hivyo hivyo hadi kieleweke.
 
Reforms kwa njia za amani zimeshindikana, namna pekee ndio hiyo ambayo wote tutaheshimiana.
Hii Strategy ya kubeba mitutu sio, mimi naunga mkono Maandamano yasiyo na kikomo kuliko kuliingiza Taifa langu nilipendalo kwenye Civil War na kama lengo ni kuliingiza Taifa kwenye civil war basi nitaachana na Vyama nitasimama na Taifa.
 
Hii Strategy ya kubeba mitutu sio mimi naunga mkono Maandamano yasiyo na kikomo kuliko kuliingiza Taifa langu nilipendalo kwenye Civil War na kama lengo ni kuliingiza Taifa kwenye civil war basi nitaachana na Vyama nitasimama na Taifa.
Mkuu simama na taifa, ila sisi wengine tumechoka kutawaliwa kwa shuruti na ccm, na hawako tayari kwa mabadiliko.
 
Mi ikipatkana SMG,Ak47,SAR,M16 nipewe moja wapo….Am more than ready.
Watanzania hawa hawa ambao wakisikia tairi ya gari imepasuka wanajificha uvunguni, watathubutu kuingia front ? Pili. Tanzania kila pori linajulikana, watasakwa kote kote. Kwangu hiyo ni ngumu kutokea. Ni ndani ya jeshi tu hili likitokea nchi itapona. Bahati majeshi yote yamevaa rangi za Yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…