So does magufuli !!Oooh, so this is the thread that's provoked Ufipa inhabitants to the max! I see!!
I was wondering this morning, why all of sudden so much energy is spent by bavicha to justify Lissu as a credible candidate for presidency! Somebody really got under their skin, now i know.
Lissu has NEVER and will NEVER be a presidential material, he lacks 80% of the ingredients for being a president.
Unafki wake ni upi??? Hivi kipi ambacho magufuli anamzidi lisu ?? Ntajie kimoja tu apart from kipara na jazba??Ni mara mia nisipige kura kuliko kumchagua Lissu kuwa raisi, siwezi hata kwa bahati mbaya...
Huyu jamaa hafai kabisa, akomae tu na taaluma yake ya sheria siasa aachane nayo, haimfai.
Unafiki mwingi asijue kuwa hata hao wanaojifanya kuwa naye karibu wanamchora tu na kumtumia kama chambo.
AbsolutelySo does magufuli !!
Hao uliowataja ni ‘one in a million’. Utokea mara chache sana katika nafasi za uongozi. Ndiyo maana kwa muda mrefu dunia haijawa na viongozi wa aina hiyo.Ni sifa muhimu ndiyo kama zilivyo tu sifa zingine.
Nyerere hakuwa mwanasheria lakini kiuongozi alikuwa ni kiongozi mzuri.
Hata Ronald Reagan hakuwa mwanasheria.
Winston Churchill ndo kabisa hata shahada hakuwa nayo.
Muhimu zaidi kwangu mimi ni uwezo wa kiuongozi na si shahada!
Jpm msimamo na ujasiri full time wakati yule wa Ubeligiji alimgeuka live Dr. Slaa akadandia treni ya ulipo tupo. Akaongelea hadi ndoa ya yule mzee kwenye Tv kwa lengo la kumdhalilisha. Kwetu hiyo ni moja ya sifa ya mtu msaliti.Unafki wake ni upi??? Hivi kipi ambacho magufuli anamzidi lisu ?? Ntajie kimoja tu apart from kipara na jazba??
On top,notably,he has served several electoral party and community posts apart from ubunge. He has good experience of managing people in a logical direction though malicious political sweepers disagree.A stupid reason let rest on stupidity, you haven’t expressed a single reason as to why he shouldn’t be a president but rather expressed your personal feelings and hate towards the man, degrading him, name calling that’s all you are up to and good at !
I’m rightly so to call it stupidity at best!
Listen to former President to thwart your feelings, do you know why he said those words ??[emoji116]
ASANTEThose who regard your discourses as being manifestly substandard lacking an iota of concrete evidential facts to anchor your garrulous conclusions.
You jump into controversial conclusions without supporting data.
You excel in melodrama but nothing else
I cannot believe I am even wasting my valuable time to respond to such nonstarter issues.
Few months after the shooting tragedy exploited by you cannot justify anything, and by the way who is presidential material?
Always the ballot box decides who he is and who is not.
Unfortunately, in our pathetic situation it is NEC not voters who pick our leaders.
JPM ana msimamo??Jpm msimamo na ujasiri full time wakati yule wa Ubeligiji alimgeuka live Dr. Slaa akadandia treni ya ulipo tupo. Akaongelea hadi ndoa ya yule mzee kwenye Tv kwa lengo la kumdhalilisha. Kwetu hiyo ni moja ya sifa ya mtu msaliti.
explain the latterPresidential material is different from ‘presidential materials’.
Know the difference first.
explain the latter
wmd? you must be serious next time.Nyani as your name stands
Your brother attempted assasination of Tunda Lisu Esq, is not going to end today, and understand that together with you, I mean Nyani Ngabu, and the URT President now, are sadistic and barbaric.
We have only one President Of URT who shot 16 bullets in a politician body, total of 38 bullets using the WMD weapons of mass destruction
Huo nao ni msimamo! Unduly be duly!JPM ana msimamo??
Alisema hawezi kukutumbua akakupa kazi nyingine ila soma hapa chini
Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anne Kilango Malecela
UTEUZI: Rais Magufuli amteua Anne Kilango Malecela kuwa mbunge
2. Alisema hawezi teua mpinzani kwenye serikali yake ila akaishia kuwaweka mkumbo na mghwira?
Hivi ni msimamo gani ambao magufuli anao???
He's the incumbent president, i advice you whatever you smoked and/or drunk, don't do it again.So does magufuli !!
Mbona hiyo sentensi ipo kwenye aya ya tatu kutoka mwisho?Now that Tundu Lissu has made some progress in his convalescence, it is of no surprise that he has decided to get back into the fray.
He has done several interviews with both foreign and domestic media outlets, he has penned a letter from a Nairobi hospital bed, and lastly held a presser In Nairobi right before his voyage to Belgium. I wonder if we’ll also get a ‘letter from a rehab room in Brussels or wherever he’s at in Belgium. We shall see.
Having done all that, he is also now fair game. It’s now okay to respond to him, to attack him [not physically], to criticize him, etc.
Because he has basically picked up where he left off, I’m starting to hear some folks in certain quarters float his name as a potential 2020 presidential candidate. Perhaps these folks think he has shown he has what it takes to take on the JPM in the next presidential contest. That’s fine. Nothing wrong with that. If I were him I’d probably try to parlay the notoriety I’ve gained over these past two years into something bigger, like the presidency.
But I’ve said it so many times, right here and elsewhere, that he is not a presidential material. He is, at best, a political gadfly, and maybe, at worst, a rabble-rouser.
A presidential material, he is not.
Just my two cents from a distance. I wish you all a happy Sunday!
NB: HICHO KICHWA CHA MADA SIYO CHANGU. NI CHA KWAO JAMIIFORUMS. WAMENIBADILISHIA. SIKUBALIANI NA KITENDO CHAO.
Weye!Now that Tundu Lissu has made some progress in his convalescence, it is of no surprise that he has decided to get back into the fray....
A presidential material, he is not.
Just my two cents from a distance. I wish you all a happy Sunday!
NB: .. SIKUBALIANI NA KITENDO CHAO.