Uchaguzi 2020 Tundu Lissu is not Presidential Material

Okey, but JPM is your president, legally and constitutionally, now if he's not a presidential material, just swallow it, he's a shot caller and you dance to his beats whether you like it or not.
Dance to his beats??? Kwani umesikia ameniajiri kwenye serikali yake ya mafisadi ??? oooh please give me a break!!

Ndio nasema kama sio presidential material sasa mnatoka povu la nini kuwa lisu hawezi kuwa Rais???

Mnachekesha..... Hivi huyo magu wenu ana kipi anachomzidi lisu zaidi ya kipara??? Nitajie kimoja tu

Nasubiri
 
Una personal vendetta, hautanielewa kuhusu jembe la watanzania JPM hata utakapokuwa sober.
Usiku mwema.
 
Any fool can be a president... Malema
 
Una personal vendetta, hautanielewa kuhusu jembe la watanzania JPM hata utakapokuwa sober.
Usiku mwema.
Jembe kwa kulinganisha na nini??? Yaani unasema Rais magufuli jembe ila nkikuuliza anamzidi nini lisu unaniambia sipo sober??? Nchi yetu bhana...... Kwani umeshamjaribu lisu??? Hivi kipi ambacho magufuli amefanya ila lissu hawezi kukifanya??
 
Jembe kwa kulinganisha na nini??? Yaani unasema Rais magufuli jembe ila nkikuuliza anamzidi nini lisu unaniambia sipo sober??? Nchi yetu bhana...... Kwani umeshamjaribu lisu??? Hivi kipi ambacho magufuli amefanya ila lissu hawezi kukifanya??

Unlike Lissu, Magufuli is not sucking up to nobody. How about that?
 
But I’ve said it so many times, right here and elsewhere, that he is not a presidential material. He is, at best, a political gadfly, and maybe, at worst, a rabble-rouser
Kiingereza hicho kinahitaji editing!!
 
I agree,you are right as you said,and so they are right as they say it about you,but do you know what else is right?He is better of than the incumbent and far Presidential material than you.He has earned his position of martyrdom and he deserves to be defended.About you I think you are starved of ideas and need to learn more about him than thinking more of the incumbent.After all the incumbent is the incumbent, so even if he is not presidential material you may not say it openly because you are just another coward.
 
Void of substance such an argument you put forth,hate speech i'd call it .Get a life , emancipate thyself from mental slavery you reek colonial mindset.
 
Unlike Lissu, Magufuli is not sucking up to nobody. How about that?
Hahahhahaaa magufuli is just a pawn to kikwete and mkapa + CCM embezzlers like chenge no wonder till today we dont know who is behind richmond, simba trust, Tegeta Escrow, kagoda, deep green to name a few

By the way when are they arresting the so-called signatories of the poor mining contracts!!! Kafumu chenge yona simbachawene etc.....????

Magufuli .... magufuli my foot!! Tell me what has he done that lisu doesn't have a capacity to surpass ???
 
Upo right mr. Ukiwachukua viongozi wote wa ccm na Lissu bado hawajamfikia Lissu. Lissu ni kichwa kingine aise. Magu hata sheria hajui, kupangilia hoja au kutetea hoja 0. Watu wakisema ukweli wanapotezwa.
 
It doesn't matter whether or not is a presidential material. Tundu Lissu is a patriotic citizen and that speak volumes. Very unfortunate our beloved country is full of hypocrites and boot lickers. You simply expose your ignorance.
 
Upo right mr. Ukiwachukua viongozi wote wa ccm na Lissu bado hawajamfikia Lissu. Lissu ni kichwa kingine aise. Magu hata sheria hajui, kupangilia hoja au kutetea hoja 0. Watu wakisema ukweli wanapotezwa.
Uwezo wa kuongoza ni zaidi ya kupangilia hoja, ni zaidi ya kutoa maoni yanayopingana na kinachofanywa na serikali.

Kwa malunywalunywa Lissu anazo sifa za urais lakini kwa wanaoyaelewa mambo, hana uwezo wa kushughulika na mambo mengine zaidi ya uga wa sheria.
 
Ndio tunauliza je magufuli anauwezo wa kuongoza tuwe realistic is he a presidential material?

Kma lisu hawezi je umetumia vigezo gani kumpima ilihali hajawahi kuwa Rais wa nchi???

Je unaweza nitajia vigezo vya presidential material??
 
Hayo yasema ww. Magu ni bora raisi kichwan hakuna kitu hapo. Mpaka sasa ameshapoteza watu ili kulinda uongozi wake na chama chake. Lissu ni kichwa kingine aiseee. Mpaka kijani kutaka kumuua unafikiri ni jambo la mchezo?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…