Tundu Lissu: Israel ni watu makatili. Hamas wana haki ya kujilinda kwa wanavyofanyiwa

Tundu Lissu: Israel ni watu makatili. Hamas wana haki ya kujilinda kwa wanavyofanyiwa

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Akiongea na radio ya Arusha Tundu Lissu amewashtumu Isreal kwa wanaofanyia watu wa Gaza sio ubinaadam na ukatili. Alisema mtu mwenye akili timamu hawezi kuwaunga mkono Isreal.

Audio ya Mahojiano hayo nitayaweka hivi Punde. Audio inatembea ktk mitandao ya kijamii ikiwemo ktk magroup ya whatsup mbali mbali duniani
 
Akiongea na radio ya Arusha Tundu Lissu amewashtumu Isreal kwa wanaofanyia watu wa Gaza sio ubinaadam na ukatili.
Alisema mtu mwenye akili timamu hawezi kuwaunga mkono Isreal.

Audio ya Mahojiano hayo nitayaweka hivi Punde.
Mod umuhimu wa mjadala huu usiunganishe wala kuudelete
kwa bahati mbaya, ameongea pumba tupu. Tundu Lisu anajaribu kukusanya kura za wanaosapoti palestina, ni mbinu nzuri kwake lakini hajui kwamba ukiingia uadui na Israel hakuna aliyewahi kufanikiwa. hakika Tundu Lisu hatafanikiwa kuwa Rais milele. mark my words. ni opportunist, anaweza kufanya lolote ili apate kitu. mroho, ndio maana alipokutana na mama cha kwanza aliomba alipwe pesa zake za ubunge kwanza ili tumbo lake lishibe ndo mengine yaendelee. ndio maana kwenye kitabu cha Dr.slaa TL alionekana kutoa ushauri kwamba WAINGIE MKATABA NA SHETANI HATA KWA GHARAMA YEYOTE ILIMRADI WAKAMATE NCHI, yupo tayari kutoa garama yeyote kwa shetani alimradi atakuwa rais au chadema itachukua nchi. Mbowe ameshamshtukia na ngoja tuone wanaishia wapi.
 
kwa bahati mbaya, ameongea pumba tupu. Tundu Lisu anajaribu kukusanya kura za wanaosapoti palestina, ni mbinu nzuri kwake lakini hajui kwamba ukiingia uadui na Israel hakuna aliyewahi kufanikiwa. hakika Tundu Lisu hatafanikiwa kuwa Rais milele. mark my words. ni opportunist, anaweza kufanya lolote ili apate kitu. mroho, ndio maana alipokutana na mama cha kwanza aliomba alipwe pesa zake za ubunge kwanza ili tumbo lake lishibe ndo mengine yaendelee. ndio maana kwenye kitabu cha Dr.slaa TL alionekana kutoa ushauri kwamba WAINGIE MKATABA NA SHETANI HATA KWA GHARAMA YEYOTE ILIMRADI WAKAMATE NCHI, yupo tayari kutoa garama yeyote kwa shetani alimradi atakuwa rais au chadema itachukua nchi. Mbowe ameshamshtukia na ngoja tuone wanaishia wapi.
Tundu mkiristo lkn ni mtu ambae muadilifu.kwani kwakwambia anagombea urais?
 
Akiongea na radio ya Arusha Tundu Lissu amewashtumu Isreal kwa wanaofanyia watu wa Gaza sio ubinaadam na ukatili.
Alisema mtu mwenye akili timamu hawezi kuwaunga mkono Isreal.

Audio ya Mahojiano hayo nitayaweka hivi Punde. Audio inatembea ktk mitandao ya kijamii ikiwemo ktk magroup ya whatsup mbali mbali duniani
Mod umuhimu wa mjadala huu usiunganishe wala kuudelete
NB
ONA JUU JESHI LA ISREAL WAKIMKABA MTOTO.WA KIPALESTINA.
CHINI HAMAS ALIVYOMSHIKA MTOTO WA ISREAL KWA UNYENYEKEVU NA UPOLE MKUBWA
View attachment 2825066
Ni vichaa pekee ndiyo wanaweza kusimama na Israel
 
kwa bahati mbaya, ameongea pumba tupu. Tundu Lisu anajaribu kukusanya kura za wanaosapoti palestina, ni mbinu nzuri kwake lakini hajui kwamba ukiingia uadui na Israel hakuna aliyewahi kufanikiwa. hakika Tundu Lisu hatafanikiwa kuwa Rais milele. mark my words. ni opportunist, anaweza kufanya lolote ili apate kitu. mroho, ndio maana alipokutana na mama cha kwanza aliomba alipwe pesa zake za ubunge kwanza ili tumbo lake lishibe ndo mengine yaendelee. ndio maana kwenye kitabu cha Dr.slaa TL alionekana kutoa ushauri kwamba WAINGIE MKATABA NA SHETANI HATA KWA GHARAMA YEYOTE ILIMRADI WAKAMATE NCHI, yupo tayari kutoa garama yeyote kwa shetani alimradi atakuwa rais au chadema itachukua nchi. Mbowe ameshamshtukia na ngoja tuone wanaishia wapi.
Tondu list kwani anagombea uraisi American au Tanzania, Lisa hana sera za kushinda lakini angekuwa nazo hata angewasema Israel atashinda tu.
 
Wanajiitaa taifa teulee eti daaaaaaaa....

Huyu MUNGU huyu km kwel taifa lake n Israel na akaliita teulee bac eeehe MUNGU unakosea Sanaa ktk hili.

MUNGU gan unaruhusu watu wako wauwawe.
JamiiForums-1472335923.jpg
 
kwa bahati mbaya, ameongea pumba tupu. Tundu Lisu anajaribu kukusanya kura za wanaosapoti palestina, ni mbinu nzuri kwake lakini hajui kwamba ukiingia uadui na Israel hakuna aliyewahi kufanikiwa. hakika Tundu Lisu hatafanikiwa kuwa Rais milele. mark my words. ni opportunist, anaweza kufanya lolote ili apate kitu. mroho, ndio maana alipokutana na mama cha kwanza aliomba alipwe pesa zake za ubunge kwanza ili tumbo lake lishibe ndo mengine yaendelee. ndio maana kwenye kitabu cha Dr.slaa TL alionekana kutoa ushauri kwamba WAINGIE MKATABA NA SHETANI HATA KWA GHARAMA YEYOTE ILIMRADI WAKAMATE NCHI, yupo tayari kutoa garama yeyote kwa shetani alimradi atakuwa rais au chadema itachukua nchi. Mbowe ameshamshtukia na ngoja tuone wanaishia wapi.
Hahaha Lissu kuwatete Palestina yamekutoka yote hayo.
 
kwa bahati mbaya, ameongea pumba tupu. Tundu Lisu anajaribu kukusanya kura za wanaosapoti palestina, ni mbinu nzuri kwake lakini hajui kwamba ukiingia uadui na Israel hakuna aliyewahi kufanikiwa. hakika Tundu Lisu hatafanikiwa kuwa Rais milele. mark my words. ni opportunist, anaweza kufanya lolote ili apate kitu. mroho, ndio maana alipokutana na mama cha kwanza aliomba alipwe pesa zake za ubunge kwanza ili tumbo lake lishibe ndo mengine yaendelee. ndio maana kwenye kitabu cha Dr.slaa TL alionekana kutoa ushauri kwamba WAINGIE MKATABA NA SHETANI HATA KWA GHARAMA YEYOTE ILIMRADI WAKAMATE NCHI, yupo tayari kutoa garama yeyote kwa shetani alimradi atakuwa rais au chadema itachukua nchi. Mbowe ameshamshtukia na ngoja tuone wanaishia wapi.
Hata Kama Humpendi Anachosema Ni Ukweli
 
kwa bahati mbaya, ameongea pumba tupu. Tundu Lisu anajaribu kukusanya kura za wanaosapoti palestina, ni mbinu nzuri kwake lakini hajui kwamba ukiingia uadui na Israel hakuna aliyewahi kufanikiwa. hakika Tundu Lisu hatafanikiwa kuwa Rais milele. mark my words. ni opportunist, anaweza kufanya lolote ili apate kitu. mroho, ndio maana alipokutana na mama cha kwanza aliomba alipwe pesa zake za ubunge kwanza ili tumbo lake lishibe ndo mengine yaendelee. ndio maana kwenye kitabu cha Dr.slaa TL alionekana kutoa ushauri kwamba WAINGIE MKATABA NA SHETANI HATA KWA GHARAMA YEYOTE ILIMRADI WAKAMATE NCHI, yupo tayari kutoa garama yeyote kwa shetani alimradi atakuwa rais au chadema itachukua nchi. Mbowe ameshamshtukia na ngoja tuone wanaishia wapi.
We mlokole una tabu sana
 
Back
Top Bottom