- Thread starter
- #41
Hujasikiliza?Acha kutengenezewa maneno ya uwongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujasikiliza?Acha kutengenezewa maneno ya uwongo
Unalazimisha kumjua kuliko wengine. Wewe ni nani kwa Lisunamjua TL kuliko wewe unayemfahamia kwenye mitandao na tv. nakushauri nyamaza tu.
Wanasiasa hawaongeagi yatokanayo na kile wanachoamini. Bali huangalia uelekeo wa kura hahhaaa.Akiongea na radio ya Arusha Tundu Lissu amewashtumu Isreal kwa wanaofanyia watu wa Gaza sio ubinaadam na ukatili. Alisema mtu mwenye akili timamu hawezi kuwaunga mkono Isreal.
Audio ya Mahojiano hayo nitayaweka hivi Punde. Audio inatembea ktk mitandao ya kijamii ikiwemo ktk magroup ya whatsup mbali mbali duniani