Tundu Lissu: Israel ni watu makatili. Hamas wana haki ya kujilinda kwa wanavyofanyiwa

Mie nitasimama na Mungu na kizazi changu sisimami na mtu yeyote naishi kwa ajili ya Mungu hakuna duniani mtu ninayeweza kumpigania maana sinachakumpa wala watu wakumsaidia so nawachukia wote wapalestina na waisraeli hakuna ninao wapenda kwa sababu wanauana kwa kukosa maarifa. Ukimkubali YESU AWE BWANA WA MWOKOZI WAKO UPO JUU .
 
Wanasiasa hawaongeagi yatokanayo na kile wanachoamini. Bali huangalia uelekeo wa kura hahhaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…