Pre GE2025 Tundu Lissu kabadilisha kabisa upepo wa kisiasa nchini

Pre GE2025 Tundu Lissu kabadilisha kabisa upepo wa kisiasa nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Tukiacha unafiki Tundu Lissu amebadilisha kabisa siasa za Tanzania

Joto la kisiasa lipo juu vyombo vyote vya habari mpaka gazeti la Uhuru habari ni Tundu lissu.

Sasa naona Tundu Lissu ndiye Rais ajaye wa Tanzania

Kama atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chadema akafanya reform ya chama
Akashinda halafu CCM ikamsimamisha Samia 2025
CCM watapigwa pigo takatifu sana

Huyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja Kama Trump haitaji machawa ila atahitaji watu Kama 1000 hivi ambao wapo tayari kujitoa kufanya siasa za kweli sio siasa biashara

Zile kelele zote za anaupiga mwingi zimekufa kifo Cha mende kweli Mungu akikuchagua hakuna mwanadamu wa kukuzuia.

Lissu ndiye Rais ajaye 2025!!
 
Tukiacha unafiki Tundu Lissu amebadilisha kabisa siasa za Tanzania

Joto la kisiasa lipo juu vyombo vyote vya habari mpaka gazeti la Uhuru habari ni Tundu lissu.

Sasa naona Tundu Lissu ndiye Rais ajaye wa Tanzania

Kama atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chadema akafanya reform ya chama
Akashinda halafu CCM ikamsimamisha Samia 2025
CCM watapigwa pigo takatifu sana

Huyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja Kama Trump haitaji machawa ila atahitaji watu Kama 1000 hivi ambao wapo tayari kujitoa kufanya siasa za kweli sio siasa biashara

Zile kelele zote za anaupiga mwingi zimekufa kifo Cha mende kweli Mungu akikuchagua hakuna mwanadamu wa kukuzuia.

Lissu ndiye Rais ajaye 2025!!
saa ipo nayo saa imekuja ambapo maadui zako watakupigia goti
 
Tukiacha unafiki Tundu Lissu amebadilisha kabisa siasa za Tanzania

Joto la kisiasa lipo juu vyombo vyote vya habari mpaka gazeti la Uhuru habari ni Tundu lissu.

Sasa naona Tundu Lissu ndiye Rais ajaye wa Tanzania

Kama atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chadema akafanya reform ya chama
Akashinda halafu CCM ikamsimamisha Samia 2025
CCM watapigwa pigo takatifu sana

Huyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja Kama Trump haitaji machawa ila atahitaji watu Kama 1000 hivi ambao wapo tayari kujitoa kufanya siasa za kweli sio siasa biashara

Zile kelele zote za anaupiga mwingi zimekufa kifo Cha mende kweli Mungu akikuchagua hakuna mwanadamu wa kukuzuia.

Lissu ndiye Rais ajaye 2025!!
Na ccm wanaDEMKA tu..
Wameingia kwenye mfumo
images (1).jpeg
 
Tukiacha unafiki Tundu Lissu amebadilisha kabisa siasa za Tanzania

Joto la kisiasa lipo juu vyombo vyote vya habari mpaka gazeti la Uhuru habari ni Tundu lissu.

Sasa naona Tundu Lissu ndiye Rais ajaye wa Tanzania

Kama atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chadema akafanya reform ya chama
Akashinda halafu CCM ikamsimamisha Samia 2025
CCM watapigwa pigo takatifu sana

Huyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja Kama Trump haitaji machawa ila atahitaji watu Kama 1000 hivi ambao wapo tayari kujitoa kufanya siasa za kweli sio siasa biashara

Zile kelele zote za anaupiga mwingi zimekufa kifo Cha mende kweli Mungu akikuchagua hakuna mwanadamu wa kukuzuia.

Lissu ndiye Rais ajaye 2025!!
Hypothesis
 
Kweli ccm itaongoza miaka mingine zaidi ya 1000......Sasa hivi chadema iwe upoande wa lissu au mbowe wote wanaotaja ccm, wanashutumiana uccm.
 
Tukiacha unafiki Tundu Lissu amebadilisha kabisa siasa za Tanzania

Joto la kisiasa lipo juu vyombo vyote vya habari mpaka gazeti la Uhuru habari ni Tundu lissu.

Sasa naona Tundu Lissu ndiye Rais ajaye wa Tanzania

Kama atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chadema akafanya reform ya chama
Akashinda halafu CCM ikamsimamisha Samia 2025
CCM watapigwa pigo takatifu sana

Huyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja Kama Trump haitaji machawa ila atahitaji watu Kama 1000 hivi ambao wapo tayari kujitoa kufanya siasa za kweli sio siasa biashara

Zile kelele zote za anaupiga mwingi zimekufa kifo Cha mende kweli Mungu akikuchagua hakuna mwanadamu wa kukuzuia.

Lissu ndiye Rais ajaye 2025!!
Abdul tumboni joto amepoteza hela nyingi kuhongo watu
 
Wewe na kwa akili yako CCM inaweza kutoka kwa kura za uchaguzi hilo usahau kabisa Mkuu
Tundu Lissu kuwa Raisi Haiwezekani labia afanye mapinduzi tu lakini kwa box la kura za uchaguzi hawezi kushinda kwa sababu zifuatazo
Kariba Mbovu
Tume ya Uchaguzi mbovu sio Huru
Kushinda uchaguzi Lissu labia afanye mapinduzi bila hapo hakuna jipya aseh
 
Wewe na kwa akili yako CCM inaweza kutoka kwa kura za uchaguzi hilo usahau kabisa Mkuu
Tundu Lissu kuwa Raisi Haiwezekani labia afanye mapinduzi tu lakini kwa box la kura za uchaguzi hawezi kushinda kwa sababu zifuatazo
Kariba Mbovu
Tume ya Uchaguzi mbovu sio Huru
Kushinda uchaguzi Lissu labia afanye mapinduzi bila hapo hakuna jipya aseh
2025 tutaingia barabarani yaani 2025 unafikiri kutakuwa na siasa za kimbogo??
 
Tukiacha unafiki Tundu Lissu amebadilisha kabisa siasa za Tanzania

Joto la kisiasa lipo juu vyombo vyote vya habari mpaka gazeti la Uhuru habari ni Tundu lissu.

Sasa naona Tundu Lissu ndiye Rais ajaye wa Tanzania

Kama atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chadema akafanya reform ya chama
Akashinda halafu CCM ikamsimamisha Samia 2025
CCM watapigwa pigo takatifu sana

Huyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja Kama Trump haitaji machawa ila atahitaji watu Kama 1000 hivi ambao wapo tayari kujitoa kufanya siasa za kweli sio siasa biashara

Zile kelele zote za anaupiga mwingi zimekufa kifo Cha mende kweli Mungu akikuchagua hakuna mwanadamu wa kukuzuia.

Lissu ndiye Rais ajaye 2025!!
Huoni Mpanga mahususi uliosukwa na wanausalama ili kufifisha hoja ya wizi wa kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2024. Nilipandisha uzi humu kuhusu swala hilo mods wakaufuta chupuchupu, nadhani hata humu tumeishaingiliwa
 
Back
Top Bottom