Pre GE2025 Tundu Lissu: Kama CCM hawataki kuleta mageuzi kwa hiyari wataleta mageuzi kwa shuruti. Tujiandae kuzuia Uchaguzi

Pre GE2025 Tundu Lissu: Kama CCM hawataki kuleta mageuzi kwa hiyari wataleta mageuzi kwa shuruti. Tujiandae kuzuia Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hoja za lisu zijibiwe na wenye akili na sio nyie machawa.
Watz wamechoshwa na hizi chaguzi za mchongo zinazotupatia viongozi wala rushwa na sio wazalendo.
Tunahitaji viongozi wapatikane kwa haki na uwazi
Nape na yule aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido walishatuelezea vizuri sana namna CCM walivyobaka mfumo wa uchaguzi nchini.

Hakuna namna tunaweza kukubali kuingia kwenye uchaguzi bila kufanya mabadiliko ya Katiba na Sheria za Uchaguzi
 
Utapeli wake ni upi gentleman 😊
Tuanze na kunipa tafsiri ya utapeli wa lissu?

Ni Nini kinawafanya vijana wenye akili na weredi Kama wewe kuto kuona mapungufu ya chama chenu na kushaur na kuyatekeleza?

Mara zote kwanini mkiambiwaga ukweli mnaanza projects za kutukana,kushusha utu, kudhalilisha na hata kuwapa kesi za madawa ya kulevya, uhujumu uchumi na hata kuuwa watu?

Kwanini CCM haitaki tume huru ya UCHAGUZI? Kwanini hamtaki katiba mpyaa?? Ni Nini hofu yenu wana CCM na selikali yenu kwa ujumla?
sasa gentleman mambo ya tasfiri si bakita ndio wanahusika,
au ungeandika uzi mahususi kuhusu ukibaka na utapeli wa huyo kiongozi mpya omba omba pesa wa chadema, bilashaka ungeelewa zaid,

mimi sina haja kumtukana mtu gentleman,
ila kama kusema ukweli ndio kutukana kwenywe,
basi hapo nitaongeza juhudi zaidi kuusema bila kubabaika kupata tafsiri ya kama mtu katika siasa kua kibaka au tapeli wa siasa ni kutukana,

hata hivyo,
ikiwa kuna mtua ana hitaji maelezo, uchambuzi au uafafanuzi kuhusu mambo ya vyama vingine vya siasa, aandike uzi tu,

but utapeli na kuombaomba kuchangiwa pesa za kujikimu mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi ni fedheha kwa ndugu, jamaa na marafiki, ni tabia mbaya sana :NoGodNo:
 
sasa gentleman mambo ya tasfiri si bakita ndio wanahusika au ungeandika uzi mahususi kuhusu ukibaka na utapeli wa huyo kiongozi mpya omba omba pesa wa chadema?

mimi sina haja kumtukana mtu gentleman,
ila kama kusema ukweli ndio kutukana kwenywe basi hapo nitaongeza juhudi zaidi bila kubabaika kupata tafsiri ya kama mtu kua kibaka au tapeli wa siasa ni kutukana,

hata hivyo,
ikiwa kuna mtua ana hitaji maelezo, uchambuzi au uafafanuzi kuhusu mambo ya vyama vingine vya siasa, aandike uzi tu,

but utapeli na kuombaomba kuchangiwa pesa za kujikimu mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi ni fedheha kwa ndugu, jamaa na marafiki, ni tabia mbaya sana :NoGodNo:
Gentleman naona umeandika maneno mengi Sasa☺️😊 mpaka sijayaelewa.

Basi nijibu hili,

Kwanini CCM haitaki tume huru ya UCHAGUZI? Kwanini hamtaki katiba mpyaa?? Ni Nini hofu yenu wana CCM na serikali yenu kwa ujumla?
 
Hizi shughuli ndo tunataka hakuna kubembelezana tupo tayari kusonga mbele ubaya ubwela..
 
Gentleman naona umeandika maneno mengi Sasa☺️😊 mpaka sijayaelewa elewaa..

Basi nijibu hili,

Kwanini CCM haitaki tume huru ya UCHAGUZI? Kwanini hamtaki katiba mpyaa?? Ni Nini hofu yenu wana CCM na serikali yenu kwa ujumla?
gentleman,
huwezi elewa chochot ikiwa hutaki kosoma ukweli juu ya ukibaka na utapeli wa kisiasa wa kiongozi mpya wa chadema.

hata hivyo,
bado nasisitiza,
ikiwa kunahitajika ufafanuni, uchambuzi au maelezo mahususi kuhusu siasa za Tanzania, chama kingine cha siasa au serikali sikivu ya CCM,

basi,
andika uzi mahususi jukwaani na bilashaka utapata uelewa na ufahamu wa kutosha zaidi kutoka kwa wadau wa JF kuliko kujificha kwenye hoja nyingine :NoGodNo:
 
Tumechoka kusubiri maendeleo umasikini umetamalaki wala keki wachche sanaaaa kwa nini ? Tuma kila kitu nchi hii kwa nn masikini ? Rasilimali zinauzwa na wachacheee
 
Wakuu,

CCM mna ujumbe hapa kutoka kwa Tundu Lissu.

Akiwa anazungumza huko Manyoni siku ya leo, Tundu Lissu amesema kuwa kutokana na CCM kugoma kufanya mabadiliko kwa hiyari basi wataleta mabadiliko kwa shuruti

Lissu amedokeza kuwa CHADEMA iko tayari kufanya mabadiliko kwa shuruti na kwamba enzi za kubembelezana zimeisha

Huo ndiyo ukweli "HAKUNA MAGEUZI YASIYO NA UCHUNGU"
 
gentleman,
huwezi elewa chochot ikiwa hutaki kosoma ukweli juu ya ukibaka na utapeli wa kisiasa wa kiongozi mpya wa chadema.

hata hivyo,
bado nasisitiza,
ikiwa kunahitajika ufafanuni, uchambuzi au maelezo mahususi kuhusu siasa za Tanzania, chama kingine cha siasa au serikali sikivu ya CCM,

basi,
andika uzi mahususi jukwaani na bilashaka utapata uelewa na ufahamu wa kutosha zaidi kutoka kwa wadau wa JF kuliko kujificha kwenye hoja nyingine :NoGodNo:
Huku ndiko kujibu hoja au naona unarudia rudia maneno ukibaka, ujanja ujanja, utapeli n.k

Mbona swali langu ni jepesi TU nimesema.

Kwanini hamtaki katiba mpyaa? Kwanini hamtaki tume huru ya UCHAGUZI?
 
Hakuna mtu yeyote mhuni au kikundi chochote cha kihuni nchini Tanzania kinaweza kuilazimisha CCM na Serikali kufanya wanavyotaka. Kama hamuamini, ajaribu mtu aone!!


Chama hiki cha kihuni na majambazi cha CCM, kuna ulazima wa kutumia kila njia kuhakikisha hakiendelezi ushetani wake. Wananchi tujiandae kupambana na mashetani wa CCM.
 
Huku ndiko kujibu hoja au naona unarudia rudia maneno ukibaka, ujanja ujanja, utapeli n.k

Mbona swali langu ni jepesi TU nimesema.

Kwanini hamtaki katiba mpyaa? Kwanini hamtaki tume huru ya UCHAGUZI?
Gentleman,
ukibaka na utapeli wa kisiasa haibadiliki kama illivyo unapoitamka chadema au ccm. Au kusema chadema kwenye reply moja kwenye reply ya pili inakua sio chadema?

ukibaka na utapeli wa kuomba omba kuchangiwa pesa za kujikimu, kwa kiongozi mpya wa chadema ni identity yake mpya, ni brand yake, ni agenda yake muhimu tangu kuingia uongozini, unawezaje kuibadili kwa mfano? :NoGodNo:
 
Chama hiki cha kihuni na majambazi cha CCM, kuna ulazima wa kutumia kila njia kuhakikisha hakiendelezi ushetani wake. Wananchi tujiandae kupambana na mashetani wa CCM
Karibuni. Tupo tunawasubiri.
 
Wakuu,

CCM mna ujumbe hapa kutoka kwa Tundu Lissu.

Akiwa anazungumza huko Manyoni siku ya leo, Tundu Lissu amesema kuwa kutokana na CCM kugoma kufanya mabadiliko kwa hiyari basi wataleta mabadiliko kwa shuruti

Lissu amedokeza kuwa CHADEMA iko tayari kufanya mabadiliko kwa shuruti na kwamba enzi za kubembelezana zimeisha

😱🤧
 
Wakuu,

CCM mna ujumbe hapa kutoka kwa Tundu Lissu.

Akiwa anazungumza huko Manyoni siku ya leo, Tundu Lissu amesema kuwa kutokana na CCM kugoma kufanya mabadiliko kwa hiyari basi wataleta mabadiliko kwa shuruti

Lissu amedokeza kuwa CHADEMA iko tayari kufanya mabadiliko kwa shuruti na kwamba enzi za kubembelezana zimeisha

TUTAFURAHI KUKUONA WEWE LISSU NA MKEO NA WANAO KWENYE MAANDAMANO, UKIJITOKEZA MWENYEWE BILA FAMILIA YAKO SISI WAKURIA WA KUKODIWA HATUTAANDAMANA.
 
Back
Top Bottom