Pre GE2025 Tundu Lissu: Kama CCM hawataki kuleta mageuzi kwa hiyari wataleta mageuzi kwa shuruti. Tujiandae kuzuia Uchaguzi

Pre GE2025 Tundu Lissu: Kama CCM hawataki kuleta mageuzi kwa hiyari wataleta mageuzi kwa shuruti. Tujiandae kuzuia Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM kitambo sana inatawala kimagumashi.Sina uhakika kama wanashinda uchaguzi kihalali,kukiwa na"fair play"🤔
 
Mie mwanamageuzi pia. Lkn kwenye hizi siasa zetu waafrika kila mtu anachumia tumbo lake.
Unadhani kwamba ndio akija kuwa rais from chama kingine ndio kutakuwa na maajabu!? Thubutuuu. Sio kwa Africa hii, hao wanasiasa lugha tamuuuuu ila roho zao mbovu km mashetani. Wotee
Mabadiliko ya kudumu hayaletwi na watu, yanaletwa na mfumo. Mfumo wa uchaguzi ukiwa huru ile kweli na wa uwazi., chama chochote tawala kitakua kinajua hakina hati miliki ya nchi. Na ndio hapo watakapoanza kuacha ujinga na uchawa uliopitiliza.
 
Back
Top Bottom