nyoka in
JF-Expert Member
- Aug 27, 2024
- 518
- 318
LijingaHakuna mtu yeyote mhuni au kikundi chochote cha kihuni nchini Tanzania kinaweza kuilazimisha CCM na Serikali kufanya wanavyotaka. Kama hamuamini, ajaribu mtu aone!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LijingaHakuna mtu yeyote mhuni au kikundi chochote cha kihuni nchini Tanzania kinaweza kuilazimisha CCM na Serikali kufanya wanavyotaka. Kama hamuamini, ajaribu mtu aone!!
Mtaweza??? Nikukumbushe tu,Lissu hafi kwa risasi!!!Walaaa! Ninyi na Lissu si mmemaanisha? Kinukisheni tuone. Mnasubiri nini?
Julius Malema, Kiiza Besigye, Raila Odinga, Morgan Tsivangirai wakisema zaidi ya Lissu kutishia viongozi walipo madarakani. Walipata chochote???Hosni Mubarak, Muamar Gadaffi, Jean Bedel Bokasa, Robert Mugabe, Joseph Mobutu , Omar Al Bashir walisema hivi hivi.
Wapo wapi leo?
Ahahahahaha!Mtaweza??? Nikukumbushe tu,Lissu hafi kwa risasi!!!
Hehehe!!!Ahahahahaha!
serikali ya ccm itaenda kujipigia kura yenyewe october. Mtauita uchaguzi wa chama sio uchaguzi mkuuHakuna mtu yeyote mhuni au kikundi chochote cha kihuni nchini Tanzania kinaweza kuilazimisha CCM na Serikali kufanya wanavyotaka. Kama hamuamini, ajaribu mtu aone!!
Uhuru umezidi sana hii nchiHakuna mtu yeyote mhuni au kikundi chochote cha kihuni nchini Tanzania kinaweza kuilazimisha CCM na Serikali kufanya wanavyotaka. Kama hamuamini, ajaribu mtu aone!!
KumekuchaWakuu,
CCM mna ujumbe hapa kutoka kwa Tundu Lissu.
Akiwa anazungumza huko Manyoni siku ya leo, Tundu Lissu amesema kuwa kutokana na CCM kugoma kufanya mabadiliko kwa hiyari basi wataleta mabadiliko kwa shuruti
Lissu amedokeza kuwa CHADEMA iko tayari kufanya mabadiliko kwa shuruti na kwamba enzi za kubembelezana zimeisha
Shikilia hapohapo Lissu. Kuendelea kushiriki uchaguzi wa kitapeli iwe mwisho.Wakuu,
CCM mna ujumbe hapa kutoka kwa Tundu Lissu.
Akiwa anazungumza huko Manyoni siku ya leo, Tundu Lissu amesema kuwa kutokana na CCM kugoma kufanya mabadiliko kwa hiyari basi wataleta mabadiliko kwa shuruti
Lissu amedokeza kuwa CHADEMA iko tayari kufanya mabadiliko kwa shuruti na kwamba enzi za kubembelezana zimeisha
Ni suala la muda tu.Julius Malema, Kiiza Besigye, Raila Odinga, Morgan Tsivangirai wakisema zaidi ya Lissu kutishia viongozi walipo madarakani. Walipata chochote???
Wakuu,
CCM mna ujumbe hapa kutoka kwa Tundu Lissu.
Akiwa anazungumza huko Manyoni siku ya leo, Tundu Lissu amesema kuwa kutokana na CCM kugoma kufanya mabadiliko kwa hiyari basi wataleta mabadiliko kwa shuruti
Lissu amedokeza kuwa CHADEMA iko tayari kufanya mabadiliko kwa shuruti na kwamba enzi za kubembelezana zimeisha
Unazuia uchaguzi wewe kama nani?Uchaguzi utafanyika kwa mujibu wa katiba na kura yangu nawapa ACTWakuu,
CCM mna ujumbe hapa kutoka kwa Tundu Lissu.
Akiwa anazungumza huko Manyoni siku ya leo, Tundu Lissu amesema kuwa kutokana na CCM kugoma kufanya mabadiliko kwa hiyari basi wataleta mabadiliko kwa shuruti
Lissu amedokeza kuwa CHADEMA iko tayari kufanya mabadiliko kwa shuruti na kwamba enzi za kubembelezana zimeisha
Wanataka maji washaHakuna mtu yeyote mhuni au kikundi chochote cha kihuni nchini Tanzania kinaweza kuilazimisha CCM na Serikali kufanya wanavyotaka. Kama hamuamini, ajaribu mtu aone!!
Mwenyezi-Mungu yuko pamoja na wenye haki,atawasambaratisha watoa rushwa. Hatuwaogopi watu waovu kama ma-ccm.CCM tumekuwa wapole sana mitandaoni. Sasa hivi ni an eye for an eye! Acha kujibu. Mtafute Erythrocyte mjibizane.
Utaona kwa jicho gani?Walaaa! Ninyi na Lissu si mmemaanisha? Kinukisheni tuone. Mnasubiri nini?
Mpaka anaongea amesha calculate mjuzi wewe wa buza ungetulia tu. Huyu ndiye wakutuvusha ng'amboHakuna mtu yeyote mhuni au kikundi chochote cha kihuni nchini Tanzania kinaweza kuilazimisha CCM na Serikali kufanya wanavyotaka. Kama hamuamini, ajaribu mtu aone!!
Unasemea nchi zingine mbona sasa.Julius Malema, Kiiza Besigye, Raila Odinga, Morgan Tsivangirai wakisema zaidi ya Lissu kutishia viongozi walipo madarakani. Walipata chochote???
Ndugu Tundu Lissu yuko kazini.....anaowatumikia wamedhamiria kuiondoa amani yetu.....wanaionea wivu Tanzania.......Wakuu,
CCM mna ujumbe hapa kutoka kwa Tundu Lissu.
Akiwa anazungumza huko Manyoni siku ya leo, Tundu Lissu amesema kuwa kutokana na CCM kugoma kufanya mabadiliko kwa hiyari basi wataleta mabadiliko kwa shuruti
Lissu amedokeza kuwa CHADEMA iko tayari kufanya mabadiliko kwa shuruti na kwamba enzi za kubembelezana zimeisha
Gentleman naona CCM imekupofusha macho na fikra..Gentleman,
ukibaka na utapeli wa kisiasa haibadiliki kama illivyo unapoitamka chadema au ccm. Au kusema chadema kwenye reply moja kwenye reply ya pili inakua sio chadema?
ukibaka na utapeli wa kuomba omba kuchangiwa pesa za kujikimu, kwa kiongozi mpya wa chadema ni identity yake mpya, ni brand yake, ni agenda yake muhimu tangu kuingia uongozini, unawezaje kuibadili kwa mfano?![]()
kibaka hawezi kunitapeli gentleman,Gentleman naona CCM imekupofusha macho..
Gentleman nimekuuliza kwanini hamtaki katiba mpyaa? Kwanini hamtaki tume huru ya UCHAGUZI??
Angalia wewe umejibu Nini? Gentleman naona leo haupo sawa pumzika kunywa vinywaji tililika Sana Sana H20 kwa wingi Sanaa pia pata muda wa kupumzika.
Nikutakie wakati mzuri na mwema maana upo out of point. Unaulizwa kuhusu kaptula wewe unajibu kuhusu gauni which is which ☺️😊
Umenikumbusha kuhusu mwalimu mmoja Sasa ni hayati pale u boyzin high school aliulizwa kuhusu upotevu wa vyakula/ chakula Katika store ya shule alipo takiwa kujibu yeye akaanza kuongelea usafir wa daining hall na dormitories...
Pata muda wa kunywa maji mengi na kupumzika..
