Mie mwanamageuzi pia. Lkn kwenye hizi siasa zetu waafrika kila mtu anachumia tumbo lake.
Unadhani kwamba ndio akija kuwa rais from chama kingine ndio kutakuwa na maajabu!? Thubutuuu. Sio kwa Africa hii, hao wanasiasa lugha tamuuuuu ila roho zao mbovu km mashetani. Wotee