Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kama unajinasibu unanusa ufisadi, muulize Mbowe michango ya Wabunge iko wapi?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kama unajinasibu unanusa ufisadi, muulize Mbowe michango ya Wabunge iko wapi?

Ww unalala nae nyumba moja kuwa alikwambia hajui?
Belgium alienda kwa matibabu.
Lakin belgium si mbinguni kuwa hakuna mawasiliano na chama.
Ok fine, hizo pesa zilizokwapuliwa mbona haulizi ziko wapi?
 
Lissu ndio akazie msumari Mbowe apelekwe mahakani maana Lissu hapendi ufisadi. Tena kesho aliongelee hili jukwaani.
Kama Mwanajeshi wa TAKUKURU hakuona ufisadi Lissu atauina wapi? Unafikiri kwa ubonge kweli wewe?
 
Hahaha uvcc a.k.a JESHI LA AKIBA wamekata kona tayari, safari imekua ndefu sana wanatamani kampeni ziishe leo.
 
Ndugu Tundu Lissu mgombea wa Chadema unapokuwa jukwaani unaongea kwa jazba na kuonyesha kuwa wewe hutaki ufisadi na matumizi mabaya. Tena unaongea kwa kukakamaa kama unataka kumkaba mtu aliyekwapua mali ya umma...
Ile michango ipo kisheria wewe juha. Ukiingia kwenye chama chochote lazima ukubaliane na sheria za hilo kuandi. Kama katiba ya CHADEMA Inawataka wabunge kuchangia na wao wamekubali wewe ni nani hata kuhoji?

Kwanini usihoji kwanza pesa za KOROSHO huko kusini zilizopora kilaghai na huyo NYAPARA wenu? Kwanni usihoji kwanza zile pesa za TETEMEKO KULE BUKOBA?

Kwanini usihoji kwanza ile 1.5 trillion iliyomfukuzisha ASSAD KAZI?
 
Ile michango ipo kisheria wewe juha. Ukiingia kwenye chama chochote lazima ukubaliane na sheria za hilo kuandi. Kama katiba ya CHADEMA Inawataka wabunge kuchangia na wao wamekubali wewe ni nani hata kuhoji?...
Kwa hiyo ndio ikwapuliwe?
 
Matumizi ya fedha Zilizo katwa Kwa wabunge ni Kwa mujibu wa Katiba ya CDM na Nadhani hawapaswi kuingiliwa Katika hili, Kama wabunge wenyewe Hawa lalamiki zaidi ya wale tu Walio fika bei.... Kwahiyo, Wala Hakuna haja ya kujua fedha halali walizo changia kuimarisha chama ni tatizo Kwako.. Basi unashida ya uelewa wa mambo ya siasa, Mtoa Post acha ushabiki soma Katiba...!! Ya CHADEMA
Acha upuuzi, zilichangwa kwa ajili ya uchaguzi sio kukwapuliwa
 
Kwa akili yako Lissu ndo mtu wa kuuliza jambo hilo kwenye Chama yeye akiwa Makamu mwenyekiti???!
 
Kwa hiyo ndio ikwapuliwe?
Inakwapuliwa nanani wewe?

Ulishawahi kuhoji pesa za sadska kwenye nyumba za ibada zinatumikaje? Huwezi kuhoji kwasababu ni makubaliano ya wamini?

Mbona kuhoji pesa ya sadaka kutoka kanisani kwa GWAJIMA inatumikaje?
 
Ndugu Tundu Lissu mgombea wa Chadema unapokuwa jukwaani unaongea kwa jazba na kuonyesha kuwa wewe hutaki ufisadi na matumizi mabaya. Tena unaongea kwa kukakamaa kama unataka kumkaba mtu aliyekwapua mali ya umma...
Kwa iyo ndo mmetumwa kuja kuzima upepo wa magufuli na ndugu zake kufisadi pesa za watanzania kwa mradi wao wa uwanja wa ndege wa Chato?
 
Ile michango ipo kisheria wewe juha. Ukiingia kwenye chama chochote lazima ukubaliane na sheria za hilo kuandi. Kama katiba ya CHADEMA Inawataka wabunge kuchangia na wao wamekubali wewe ni nani hata kuhoji?..
Lakini naona Watanzania tunamatatizo vichwani kwetu, Mbona hawa walioibiwa pesa za tetemeko wamempokea anaetuhumiwa kwa kishindo kikubwa?
 
Back
Top Bottom