Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda TAKUKURU wakupe nondo ukamuongezeeLissu ndio akazie msumari Mbowe apelekwe mahakani maana Lissu hapendi ufisadi. Tena kesho aliongelee hili jukwaani.
Kwa niaba ya Tundulisu naomba nikujibuNdugu Tundu Lissu mgombea wa Chadema unapokuwa jukwaani unaongea kwa jazba na kuonyesha kuwa wewe hutaki ufisadi na matumizi mabaya. Tena unaongea kwa kukakamaa kama unataka kumkaba mtu aliyekwapua mali ya umma...
kuna utaratibu wa matumizi hayo ulifanyika kama makubaliano yalivyokuwa kati ya wabunge na uongozi wa juu? Mbona wabunge wanasema hawakushirikishwa katika matuzi nje ya uchaguzi kam zilivyokuwa zimepangiwa?sasa amuulize nini. wakati yeye ni makamu mwenyekiti anajua matumizi yake.
Kwasababu ww ni shoga yake sio? mzee aliwaona wote, kasema yako yana majipuMakalio ya mama yako yana upele
Takukuru walisha waita wakawahoji wabunge wote wa chadema. Lakin hakuna dosari waliyoikuta.Sijampangia ila kwa kuwa ni mpinga ufisadi angeonyesha mfano kwa kushughulikia mafisadi ndani ya Chadema.
Kwani zinazomsaidia sasa hivi Unajua zilitoka wapi ?!.Hizi pesa zingemsaidia Lissu kukodi chopa.
Sijitoi ufaham. Kulia kwake si ushahidi.Usijitoe ufahamu wakati kuna mtu alilia bungeni kwa ajili ya michango yake.
Mimi naona madiaba ya kuchangisha watu mikutanoni. Labda ndio anatumia hizo,pamoja na Amsterdam akimuzesha kupitia M pesa.Kwani zinazomsaidia sasa hivi Unajua zilitoka wapi ?!.
Je swali kama hili unaweza ukaliuliza huko kwenu ?!.
Hilo ni swali la kumuuliza yeye binafsi. Mtafute muulize personaly kuwa ziko wapi.Ok fine,hizo pesa zilizokwapuliwa mbona haulizi ziko wapi?
Kwani wewe ukikuta mtu analia anasema amedhulumiwa unampuuza?Sijitoi ufaham. Kulia kwake si ushahidi.
Leta document zinazoonyesha kuwa kulikuwa na dosari kwenye hiyo michango. Na supportive evidence... na usiniambie evidence za watu kulia. Hiyo sio evidence.
Huyo hana cha kuuliza maana ni miongoni mwa watafunaji pale kwenye saccos yao.Watanzania wanapaswa kuwa makini na hiki kikundi, zao na wabunge wao haziwatoshi wanaona wawachangishe wananchi hivyo kabisa.Ndugu Tundu Lissu mgombea wa CHADEMA unapokuwa jukwaani unaongea kwa jazba na kuonyesha kuwa wewe hutaki ufisadi na matumizi mabaya. Tena unaongea kwa kukakamaa kama unataka kumkaba mtu aliyekwapua mali ya umma...
Simpuuzi. Ila machozi pekee hayatoshi. Hinahitajika vielelezo vinavyo support yeye kutoa hayo machozi.Kwani wewe ukikuta mtu analia anasema amedhulumiwa unampuuza?
Kaka sijui dada acha porojo. Lissu anafanya campaign zake kwa mujibu wa mipango ya chama chake. Tena ni pamoja na mgombea mwenza wake.Mimi naona madiaba ya kuchangisha watu mikutanoni. Labda ndio anatumia hizo,pamoja na Amsterdam akimuzesha kupitia M pesa.
Ahaaa,jikite kwenye hoja. Kuna bil 8 zimepotea tunataka tujue zipo wapi. Lissu tusaidie kuhoji maana wewe unahoji mambo mengi.Mtahangaika sana na lisu tulieni dawa iingie vizuri.1.5tilioni iko wapiView attachment 1570867