Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kama unajinasibu unanusa ufisadi, muulize Mbowe michango ya Wabunge iko wapi?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kama unajinasibu unanusa ufisadi, muulize Mbowe michango ya Wabunge iko wapi?

Ndio maana narudi pale pale. Haya maswali ni ya kumuuliza yeye mwenyewe. Mtafute mfuate muulize kwanini. Yeye ndio mwenye majibu ya hayo.
Mbona yeye hamuulizi Dotto James? Hili suala linajulikana wazi zilikwapuliwa,kwa kuwa ni mpinga ufisadi anatakiwa ahoji kwa ukali.
 
Sawa tunataka ahoji ziko wapi bil 8 za watanzania?
Tunataka kujua zile hela za tetemeko ziko wapi, Mayanga construction, 1.5 trillion, ufisadi wa ATCL.

Mambo ni mengi kweli kweli.
 
Swali la kitoto hilo. Na ww unaona umetoa hoja ya msingi!!!! Hahahahah.....watu wakiishiwa hoja bwana......
Unacheka kama una hamu! Sio swali la kitoto hili.
 
Oral or document evidence is admissible in court.
Thats not oral evidence. Nothing but emotions.

Oral evidence doesnt guarantee you to win a case... physical evidence play a large part in deciding the case.
Physical evidence is the key component in any case.
 
Thats not oral evidence. Nothing but emotions.
Oral evidence doesnt guarantee you to win a case... physical evidence play a large part in deciding the case.
Physical evidence is the key component in any case.
Sio kweli mkuu, the best evidence is oral evidence. Because it is direct evidence...
 
Lakini naona Watanzania tunamatatizo vichwani kwetu, Mbona hawa walioibiwa pesa za tetemeko wamempokea anaetuhumiwa kwa kishindo kikubwa?
Njaa ya akili ni mbaya sana. Nakuhakikishia MAGUFULI anachukiwa na watu wote wenye akili.
Hafai kuwa kiongozi yule NYAPARA
 
Sio kweli mkuu, the best evidence is oral evidence. Because it is direct evidence...
Oral evidence inaweza kuwa twisted kirahisi sana. No body trust words. Physical evidence si rahisi .
Oral evidence sio the best.
 
Mbona yeye hamuulizi Dotto James? Hili suala linajulikana wazi zilikwapuliwa,kwa kuwa ni mpinga ufisadi anatakiwa ahoji kwa ukali.
Unaelewa ninacho kwambia? Muulize yeye.
Na huwez sema zimekwaouliwa wkt takukuru hawajakuta kitu.. ww mwenyewe huna evidence yoyote.
 
Njaa ya akili ni mbaya sana. Nakuhakikishia MAGUFULI anachukiwa na watu wote wenye akili.
Hafai kuwa kiongozi yule NYAPARA

Hili sio kweli, ama unatufanyia dharau watu wa Kilimanjaro. Mbona Wasomi na Matajiri huku Kilimanjaro wamehamia CCM?
 
Ndugu Tundu Lissu mgombea wa CHADEMA unapokuwa jukwaani unaongea kwa jazba na kuonyesha kuwa wewe hutaki ufisadi na matumizi mabaya. Tena unaongea kwa kukakamaa kama unataka kumkaba mtu aliyekwapua mali ya umma....
Sijui sheria zawapi hizo unasema we pimbi yaani una iba kwasababu unamuhisia fulani nayeye atakua kaiba
 
Back
Top Bottom