Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kamati Kuu itakaa kutoa msimamo rasmi juu ya Mbunge wa Nkasi, Aida Khenan

Tukiendelea na ubinafsi huu chadema hatutafika mbali.

Hivi hatusomi alama za nyakati kwa utawala huu?

Kwa nn dada wa watu anyimwe ajira yake aliyoipata?

Unazungumzia habari ya wabunge na madiwani kukatwa,ni kweli ni hujuma,sasa kwa nn hatukujitoa?

Tulishasema hoja iwe katiba mpya itakayokuja na NEC huru,watu wakapiga kimya kwa sababu walikuwa na ajira,sasa wamekosa na mwenzao kapata imekuwa hoja,huu ni upuuzi.

Muacheni akawapambanie watu wake bungeni hata kama hataongea mwacheni apate posho.
 
Kama ni ajira tu kama kuuza dukani basi aunge mkono juhudi. Ataendelea kuwa Mbunge huko CCM. Lakini mimi naongelea kitu ambacho ni zaidi ya ajira. Wale wote waliokuwa wanatafuta ajira - Waitara, Katambi, Kafulila, Mollel, Silinde nk wako CCM.
Kwa nn dada wa watu anyimwe ajira yake aliyoipata?
 
Kama ni ajira tu kama kuuza dukani basi aunge mkono juhudi. Ataendelea kuwa Mbunge huko CCM. Lakini mimi naongelea kitu ambacho ni zaidi ya ajira. Wale wote waliokuwa wanatafuta ajira - Waitara, Katambi, Kafulila, Mollel, Silinde nk wako CCM.
Mjadala wa chama ujikite kwenye vitu vyenye mantiki tuachane na vitu vidogo.
Acheni dada akawawakilishe raia wake na apate posho.
Hatuwezi kumlazimisha aende Ccm wakati wananchi waliomchagua walimpenda akiwa chadema.
Mitego midogo kama hii tunatakiwa kuivuka salama bila kutetereka.
 
Mapambano ya kutafuta haki siyo mapambano ya kutafuta posho. Unajaribu kuchanganya mafuta na maji.
 
Aida hata sura yake tu inaonyesha, ataunga mkono juhudi muda si mrefu.Jiandaeni kumfukuza uanachama wa saccos.
 
Busara ni kumuachia Aida aapishwe na kuwa mbunge kamili na kuendelea na kazi za kibunge na chama kuendelea na msimamo wa kutokuutambua uchaguzi!
Hili jambo litaleta mvutano sana, chadema wakimuacha aapishwe kuwa mbunge kamili, maana yake ni kwamba atakuwa mbunge wa JMT kwa tiketi ya chadema. Na hapo azimio la chadema kutoutambua uchaguzi nitakuwa limefutika rasmi. Je chadema watamuacha ale kiapo kama mbunge kwa maana yakuutambua uchaguzi? Ama kamati kuu itakubaliana na msimamo wa viongozi na huyu dada abaki peke yake na mwisho wa mchezo afukuzwe uanachama?
 

If the problem is a system - we have a defferent way to solve the problem.

If the problem is systemic - the way to solve the problem is ought to be different.

We must allow her to be part of Parliament, meanwhile we learn about how best to run political issues while we are in the peculiar setuation of having very few Members of Parliament from Chadema in the chamber like we are in today.
 
Mapambano ya kutafuta haki siyo mapambano ya kutafuta posho. Unajaribu kuchanganya mafuta na maji.
Chadema haitafuti haki, Chadema inatafuta kushika Dola. Katika safari ya kushika dola mazingira kama haya hutokea na lazima tujifunze kuishi nayo na kunatokea nini.
 
Huo ubunge kapewa na CCM wanaomtishia maisha ni CCM asisingizie wanachi bora chama kimfukuze kisibebe lawama bora abebe na CCM waliomteua.
 
Kuanzia mwenyekiti wao na viongozi wote chadema Wana roho mbaya na hili ndilo linalowaponza Kama hawamtaki wamwache kachaguliwa na wananchi usinch wao huo
 
Huo ubunge kapewa na ccm wanaomtishia maisha ni ccm asisingizie wanachi bora chama kimfukuze kisibebe lawama bora abebe na ccm waliomteua
Chuki roho mbaya tamaa ubinafsi wivu uchoyo uwongo ndo mlichojaliwa
 
Mwenye kipato ndo boss popote pale duniani. Ndani ya chadema ya sasa Aidah ndo mwenye kazi ya kueleweka hadi pale viti maalum watakapochaguliwa, so sioni ni vipi mwenye kipato(Aidah) anapaswa kuwasikiliza wazee wa misheni town kwa sasa Mbowe, Lissu na wapiga kelele wa bavicha Jf kama Salary Slip, @erythrocite, brazaj, tindo, technically, OKW BOBAN SUNZU na ndege wengine.
 
Chadema kuteua Wabunge wa Viti maalumu ni kubariki Uchaguzi kuwa ulikuwa Huru na Haki
 
"Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse".

Nilidhani utasema wameshindwa kihalali, lakini umekiri kwamba wameibiwa, sasa mbinafsi ni aliye iba ama aliye ibiwa?
 
Kajifunze kwanza maana ya funga na fungua nilizotumia kwny maneno hayo otherwise comment yangu sikuiandaa kwa watu wa level yako kuisoma na kuielewa
"Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse".

Nilidhani utasema wameshindwa kihalali, lakini umekiri kwamba wameibiwa, sasa mbinafsi ni aliye iba ama aliye ibiwa?
 
Wanasiasa wa binafsi Sana binafsi sionagi tofauti ya ccm na CDM maana wako ka mamba Ila kwenye mito tofauti ya maji.
Yaani ni walewale tu.
Tofauti yao mmoja ameshika dola.
 
Uyo dada hajamsinda kesy najua siasa za huko ni mchezo tu umetenegnezwa unajifanya kujitoa akili na kuposti upumbavu wako.
Yaani wewe unachekesha sana.

Mkishindwa mnasema mmeibiwa,
Mkishinda mnasema hamjashinda.

Upumbavu unao wewe
Katangaze basi mshindi unayemjua wewe
 
Wanasiasa wengi wa Tanzania wako hivyo (kama wewe). Wengi tu wanampigia dikteta makofi kwa mawazo kama haya yako. Siyo kwamba wanampenda. Na hata huyo Aida anafikiria kama wewe. Ndio maana analazimisha kwenda. Ushenzi wote uliofanyika, ameshasahau!
Mbona 2015 mlisema pia mmeibiwa kwenye Urais?
Kwanini akina mbowe na lisu walienda bungeni?
Kwanini wasisuse ili kuonyesha msimamo??
Kumbe umejua kwamba na wao wapo kinaslahi eeh??
Yaani wao ni waroho wa hizo posho ila wanataka mwenzao asiende kisa wao wameshindwa.

Huu ni ujinga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…