Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Chamani hakuna mapoisonmenWatamalizana wenyewe huko ndani ya chama chao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chamani hakuna mapoisonmenWatamalizana wenyewe huko ndani ya chama chao
Kwani kina Mbowe walikuwa wanatetea nini bungeni huko, na kwa uchache wao walishawahi kupitisha nini?Huyo binti hajitambui! Anachofuata hapo ni pesa tu! Na ajue kuwa amepitishwa si kwa "kushinda" kwa Imani ya CCM bali kupitishwa tuuu! Anaamini yeye ni bora kuliko wote ambao kura zao zilipokwa? Peke yake huko ataenda kutetea nini kama siyo kutumika na chama dola?
Samahani wapinzani wa tz
Hivii mligetemea wabunge gani wa upinzani ambao wangeweza kuibuka kidedea?
Hai kashindwa kihalali
Arusha pia kashindwa kihalali
Mbeya nako kihalali
Tarime nako vilevile
Musoma hivo hivo
Sijui mikumi
Kawe
Kibamba hali ni ile ile
Kwa maana kama ni wizi umetendeka kwa kuonewa wapinzani
Vibe lingeanzia majimboni kwao
Lakn cha kushangaza watu wapo cool kwa maana wamelizka na matokeo hayo na ni halali kabisaaa
Sasa kwanini mlipanga kuja kulinukisha jiji la Dar ili hali sio jimbo lenu?'
Halafu mlijionea wenyewe kabisa kwenye kampeni za Mh TAL jinsi raia wa Dar es salaam hawana time naye?
Acheni lawama zisizo kuwa na mashiko.kabisa
Maana dalili ya mvua ni mawingu
Na imenyesha kweli kweli hadi mmeanza kutafta pa kujibanza kwa aibu
Hapakuwa na mbunge yeyote yule aliekuwa na uwezo wa kuingia bungeni uchaguzi huu 2020, kutoka upinzani na jinsi JPM alivojinadi kupitiankazi yake na hatimaye kuwabeba wagombea ubunge wake,
Na kila aliyejuwa amelitambua toka mapema kuwa 2020 akipata upenyo tu wa kupitishwa na NEC ya CCM lazima atatinga bungeni iwe jua iwe mvua na ndio maana watia nia walikuwa wengi kama nn kupitia CCM
hivyo CCM imejitahidi na kujibeba yenyew kama yenyew kuupata ushindi huu wa kishindo
Tofauti ya kura za Wabunge na Urais labda sijui majimbo mengine ambayo I was not on the ground, lakini kwa Jimbo la Hai ambako nilikuwepo siku tatu kabla ya Uchaguzi na siku tatu baada ya Uchaguzi, sikuliona hilo.1/3 ndio walipiga kura, jiulize kwanini 2/3 hawakujitokeza kupiga. Na hiyo 1/3 imefika kutokana na kura za wizi na idadi ya kupika. Fuatilia vizuri kura za ubunge hazitally na za uraisi, wakati watu wanapiga kura tatu. Ule haukuwa uchaguzi, bali uhayawani kama uhayawani mwingine wowote. Hiyo ndio sababu hata ccm wanaona aibu kushangilia ushindi wa vyombo vya dola na tume ya ubaguzi.
Kutaka kujua hiyo tofauti ni mpaka uwepo kila jimbo, au ni kupitia figure za tume? Hao watu wa Hai si ndio huko wapinzani walikuwa wanapigwa kwa maagizo ya DC chini ya uratibu wa OCD? Mitandao ipi wakati imefungwa na ushahidi mwingi unaowekwa hapa mnasema ni uzushi wa mitandaoni?Tofauti ya kura za Wabunge na Urais labda sijui majimbo mengine ambayo I was not on the ground, lakini kwa Jimbo la Hai ambako nilikuwepo siku tatu kabla ya Uchaguzi na siku tatu baada ya Uchaguzi, sikuliona hilo.
Hai ni moja ya Majimbo ya wajanja na walalamishi, sula hilo lingeibuka Hai kule kule Hai, na hapa mtandaoni pangekuwa hapatoshi.
Tafadhali usipotoshe, nilikuwa Hai na interest yangu ilikuwa ni Uchaguzi na mimi ni mwanachama na sio shabiki wa Chadema.Kutaka kujua hiyo tofauti ni mpaka uwepo kila jimbo, au ni kupitia figure za tume? Hao watu wa Hai si ndio huko wapinzani walikuwa wanapigwa kwa maagizo ya DC chini ya uratibu wa OCD? Mitandao ipi wakati imefungwa na ushahidi mwingi unaowekwa hapa mnasema ni uzushi wa mitandaoni?
Acha analogy za kishoga
Hivi angekuwa Mbowe tu ndo pekee aliepita kwenye Ubunge angeletewa zengwe kama anvyoletewa huyu dada Khenan?
Halafu akihamia CCM watasema kanunuliwa
Amechaguliwa na wananchi. We unadhani mbowe angeshinda angesusa?Wewe unaefikiria kwa kutumia tumbo ndo hauko serious. Kama sio chadema kumpa dhamana hio kazi unayodai angeitoa wapi?
Ubunge ni ajira, mtu ameinvest kwenye siasa hlf asusie akale wapi?Hata ningekua Mimi nisingesusia aisee.
Mimi sio mwanasiasa, siwezi kuwa na fikra kama zaoWanasiasa wengi wa Tanzania wako hivyo (kama wewe). Wengi tu wanampigia dikteta makofi kwa mawazo kama haya yako. Siyo kwamba wanampenda. Na hata huyo Aida anafikiria kama wewe. Ndio maana analazimisha kwenda. Ushenzi wote uliofanyika, ameshasahau!
Jamaa wabinafsi sana
Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Maisha mafupi jamani, wamuache dada wa watu na yeye nae ale mema ya nchi.
Mimi sio mwanasiasa, siwezi kuwa na fikra kama zao
Tulisema kuwa mtakimbianaSasa nchi mmepewa,bado mnahangaika nao,kunani?Bado mmefunga mitandao ya kijamii,hofu yenu nini?
Acheni maisha yaendelee,sisi wapenzi wa upinzani tumeshakubali mchukue kila kitu kwa 100%!Kwanini bado hamridhiki?
Mna matatizo,sio bure!
Acheni kulia lia,tekelezeni ahadi mlizowaahidi watanzania!