Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kamati Kuu itakaa kutoa msimamo rasmi juu ya Mbunge wa Nkasi, Aida Khenan

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kamati Kuu itakaa kutoa msimamo rasmi juu ya Mbunge wa Nkasi, Aida Khenan

2025 watashiriki tena kana kwamba wamesahau ya nyuma.
1604735024154.png
 
Mbunge pekee angekuwa Lema ama Mbowe mngemnyima nafasi hiyo ya kwenda kuwawakilisha wananchi waliomchagua?
Unaambiwa kwenye jimbo hilo kuna madiwani 10 wa chadema,kwa nn muwanyime watu haki yao ya kuwakilishwa?
Ukiacha uwakilishi kwa watu wake bado ubunge ni ajira,kwa nn anyimwe ajira aliyopewa na wapiga kura wake?
Naona ubinafsi mkubwa kwa viongozi wa chadema Taifa.
Vyama vya siasa navyo ni vidikteta fulani hivi
inashangaza kuona hii nayo inakuwa ajenda. sijajua ubunge wa huyu binti unawakwazaje wao kupambana. wamwache naye ale
 
Jamaa wabinafsi sana

Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge

Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge

Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Shenzi. Next
 
Jamaa wabinafsi sana

Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge

Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge

Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Wanatoa msimamo wa nini wakati mwenyewe kashasema hawezi kugoma kuapishwa, lazima aende kuapishwa?
 
2025 watashiriki tena kana kwamba wamesahau ya nyuma.
Ndiyo maana halisi ya nhumbu,[emoji23][emoji23][emoji23] they never recall any history of theirs! Na utawaona wanatamba Tena kuwa wataing'oa CCM madarakani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa wabinafsi sana

Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge

Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge

Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Acha analogy za kishoga
 
Huyu kama ataasi maamuzi ya chama chake ni bora afukuzwe uanachama ili abaki kuwa mbunge, binafsi jambo ambalo ni kinyume na katiba ya Tanzania.
Hana impact ,cha kufanya ni kumruhusu kwa baraka zote aende bungeni ila asiwe katika vikao vya juu vya chama.Apewe ushirikiano wa kutimiza kazi zake za kibunge bila kinyongo.
 
NACHOKIONA HUYU MAMA ALISHAAMUA LIWALO NA LIWE LAKINI LAZIMA AENDE BUNGENI.
CHADEMA WAPENDE WASIPENDE LAZIMA AENDE BUNGENI NA WAKIMNYIMA NAFIKIRI NDIO WAMEMPA NJIA NZURI YA KUHAMIA CCM.
BUSARA TU INGETUMIKA CHADEMA WAMWACHIE AENDE BUNGENI KWASABABU HAKUNA MTU ASIEPENDA KUINGIA KULE MJENGONI AWE TAJIRI AU MASIKINI.
 
Huyo binti hajitambui! Anachofuata hapo ni pesa tu! Na ajue kuwa amepitishwa si kwa "kushinda" kwa Imani ya CCM bali kupitishwa tuuu! Anaamini yeye ni bora kuliko wote ambao kura zao zilipokwa? Peke yake huko ataenda kutetea nini kama siyo kutumika na chama dola?
 
Mambo ya CHADEMA waachieni CHADEMA. CCM haiwezi kuipangia CHADEMA maisha. Kuna mambo ambayo inabidi yapangwe pamoja kama kuunda NEC bado CCM imekataa, inaunda NECCM. Sasa leo la ubunge wa CHADEMA wapiwapi CCM washiriki kuamua. Membe alipofukuzwa CCM, CHADEMA ilishirikishwa?

Sitaki nataka ni ugonjwa. NECCM iliengua wagombea wa upinzani ili CCM ipite bila kupingwa. NECCM ikachapishwa makaratasi ya kura kukiwa na share ya CCM ya kujazia majumbani na kuleta kwenye vituo vya kura kwa msaada wa polisi. Na matokeo yakiwa yamejazwa tayari kwenye karatasi za matokeo. Hayo yote ili mpate ushindi wa kishindo. Ushindi mmepata. CHADEMA wameumia na wanaona haina haja ya kushiriki katika Bunge lijalo. Eti hilo nalo haliwafurahishi. The guilty are always afraid. Mnajishitukia!
Mbunge pekee angekuwa Lema ama Mbowe mngemnyima nafasi hiyo ya kwenda kuwawakilisha wananchi waliomchagua?
Unaambiwa kwenye jimbo hilo kuna madiwani 10 wa chadema,kwa nn muwanyime watu haki yao ya kuwakilishwa?
Ukiacha uwakilishi kwa watu wake bado ubunge ni ajira,kwa nn anyimwe ajira aliyopewa na wapiga kura wake?
Naona ubinafsi mkubwa kwa viongozi wa chadema Taifa.
Vyama vya siasa navyo ni vidikteta fulani hivi
 
Wamfukuze tu, aende CCM. Hata wasimpomfukuza, itafika wakati ataunga juhudi. Kwanza lazima ni mwenzao. Wawe makini sana naye. Kwa nini pamoja na wizi wote uliotokea na Wakurugenzi kuagizwa kuwatangaza wagombea wa CCM kushinda, Nkasi ikawa tofauti? Mkurugenzi wa Nkasi hapendi kazi yake?
Huyo binti hajitambui! Anachofuata hapo ni pesa tu! Na ajue kuwa amepitishwa si kwa "kushinda" kwa Imani ya CCM bali kupitishwa tuuu! Anaamini yeye ni bora kuliko wote ambao kura zao zilipokwa? Peke yake huko ataenda kutetea nini kama siyo kutumika na chama dola?
 
Sasa mema ya nchi ale pekeyake maana wananchi wake hawatapewa maendeleo hawamu hii.

Mkiniletea mtu wa chama kingine sileti maendeleo

Jukumu la mwananchi baada ya uchaguzi wowote ni maMbo manne tuu.
1) Ni lazima kulipa kodi kama ambavyo lazima utakufa.
2) Ni kusema yanayo kusibu lakini lazima utakayo yasema yasivuruge mwenendo wa kodi unayolipa, usalama, utengano na mapenzi mema ya wanayo kusimamia kodi yako.
3) Kupiga kura kuwachagua kundi la wanaanchi ambao unaamini watasimamia na kugawa mapato yako na vyeo katika jamii.
4) Kushangilia au kuzomea bila kuwakwaza wale ulio wachagua wasimamie mali zenu kupitia kodi, na kuwapa mamlaka ya kugawa vyeo.

HUU NDIO UKAMILIFU WA MATAKWA NA WAJIBU WA MWANANCHI MLIPA KODI NA AMBAE ANAPIGA KURA.
 
Si huwa mnasema watumia mitandao ni wachache, sasa ni kipi kinafanya mzuie social media kwa kundi dogo sana?
Muulize umeshinda kwa aslimia zaidi ya 80,alafu bado unaihofia aslimia isiyozidi 20,na hapo Mana yake kwa wanaotumia mitandao ya kijamii idadi haizidi hata aslimia 10
 
Wanasiasa wengi wa Tanzania wako hivyo (kama wewe). Wengi tu wanampigia dikteta makofi kwa mawazo kama haya yako. Siyo kwamba wanampenda. Na hata huyo Aida anafikiria kama wewe. Ndio maana analazimisha kwenda. Ushenzi wote uliofanyika, ameshasahau!
Yaani mtu apate kazi tena mshahara mnono asusie? Hampo serious nyie watu
 
Back
Top Bottom