Mkubwa ndevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,045
- 358
Usione huruma chademaJamaa wabinafsi sana
Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Very trueYaani ni walewale tu.
Tofauti yao mmoja ameshika dola.
Aida Khenan mbunge mteule wa Nkasi amesema, yeye ni mbunge pekee aliyetangazwa na katika mkoa wake amepata madiwani 10.
Lakini amesema amesikia kwenye mitandao kuhusu msimamo wa chama chake lakini yeye hajapewa taarifa rasmi eidha ya simu au barua, anadai anaamini chama chake ni taasisi kubwa hivyo anategemea atapewa taarifa rasmi.
Amesema jimboni kwake na mkoani kwake mpaka sasa kuna taharuki kubwa, wananchi wana taharuki kubwa.
Amesema mpaka sasa ametishiwa maisha na wananchi kwa kuwa wao waliamua kuvunja rekodi ya kutoa Mbunge mwanamke kwa mara ya kwanza hivyo wanadai yeye akifuata msimamo wa chama atakuwa kawasaliti wananchi ambao wapo walioumia ili yeye ashinde, pia amesema kuna kesi kama 18 za watu waliokamatwa walipokuwa wanapigania yeye ashinde.
Amedai wananchi wanamwambia kuwa machozi yao hayawezi kwenda bure asipokwenda kuwatumikia bora maisha yake wananchi wayamalize hapo.
Amedai kuwa anaomba chama chake warudie upya kutazama maamuzi yao, na kama waliyatoa kwa jazba kulingana na yaliyotekea kwenye uchaguzi basi waangalie upya na waelewe kuwa yeye hana amani anatishiwa maisha na amedai hawezi kuhama Rukwa na hawezi kuhama Nkasi.
Amedai kuwa kwa mara ya kwanza kwenye jimbo lao wamepata Mbunge mwanamke na Mbunge wa kutoka upinzani hivyo asipokwenda kuwawakilisha wananchi madhara yake ni makubwa sana kwake aidha hata kama viongozi wake hawatayaona.
Amesema alisharipoti Polisi kuhusu kutishiwa maisha na pia msimamo huo si wake peke yake bali ni wake na viongozi wa mkoa wa chama cha CHADEMA.
Amesema katika ngazi ya taifa hakuna kiongozi yeyote aliyemtafuta hata kwa simu aweze kujua amani yake au usalama wake.
Amedai kuwa alipoomba nafasi ya Ubunge aliomba peke yake na wala hawakuomba 2 wala 3 hivyo atakwenda bungeni kama yeye Aida na atakwenda kuwasilisha sauti yake yeye peke yake kwa niaba ya wananchi wa Nkasi japo atakuwa mpweke ndani ya bunge. Anasema alipokuwa mbunge wa viti maalum alijifunza kutoka kwa wabunge waliomtangulia lakini kama wabunge wa Viti Maalum watakwenda kipindi hiki atapata faraja lakini wasipokwenda itakuwa mpweke lakini faraja atapata kwa wananchi waliomchagua anaowawakilisha.
Tundu Lissu anena kuwa, keshokutwa watakaa kamati kuu na ndio itatoa msimamo wa jumla wa chama, msimamo ambao waliusema wiki iliopita ni msimamo wa viongozi wakuu wa chama, lakini lazima kamati kuu itoe baraka zake au ikatae kutoa baraka zake.
Tundu Lissu nae anena haya
Tundu Lissu amedai kuwa wao hawakua na wajibu wa kuuliza yeye Aida anafikiriaje kwa kuwa wao viongozi wakuu wana majukumu mengine ndani ya chama, amedai kuwa wao walitoa msimamo wao kuwa huo haukuwa uchaguzi.
Amedai kuwa kama chama kikisema kuwa huo ndio msimamo wa chama basi itabidi atafute utaratibu mwingine wa kuwatumikia wananchi wa Nkasi kwa kuwa Tanzania hakuna mbunge binafsi bali ni wabunge wa chama hivyo wabunge ni lazima wafuate utaratibu wa chama.
Mkuu mbona unashindwa kujiongeza kidogo? Wizi wa kura mwaka huu haujawahi kushuhudiwa kokote ulimwenguni yaani walifanya wizi wa kitoto mno bora wangefanya wa kisayansi afadhali.Mbona 2015 mlisema pia mmeibiwa kwenye Urais?
Kwanini akina mbowe na lisu walienda bungeni?
Kwanini wasisuse ili kuonyesha msimamo??
Kumbe umejua kwamba na wao wapo kinaslahi eeh??
Yaani wao ni waroho wa hizo posho ila wanataka mwenzao asiende kisa wao wameshindwa.
Huu ni ujinga sana
Naona buku7 wa Lumumba mnakiri waziwazi kwamba CCM ni wezi wa kura!Jamaa wabinafsi sana
Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
jamaa wananishangaza sana. Wanasema wanataka democrasia lkn kwanin hawatak kumpa mtu nafas ya kufanya maamuzi yake. Wanatak ku dictate kile wanachokiwaza wao ndio kiwe hiko. Muda huo wenye nguvu zaidi yao wakifanya hivo, wanaandamana.Jamaa wabinafsi sana
Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Mbona hujajibu maswali yangu sasa?Mkuu mbona unashindwa kujiongeza kidogo? Wizi wa kura mwaka huu haujawahi kushuhudiwa kokote ulimwenguni yaani walifanya wizi wa kitoto mno bora wangefanya wa kisayansi afadhali.
Mwaka huu naamini mwana ccm halisi amejisikia aibu sana kwa kilichotokea ingawaje hawezi kusema hadharani.
😀😀Mkishindwa mnasema mmeibiwa,
Mkishinda mnasema hamjashinda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
Hawajawahi kueleweka wanataka nini.
Hawez kujibu , mtu amepata kura million 1 dhidi ya Mili 12 , hata kama umeibiwa ndo kura mil 11, mi niliwaambia kama walikuwa na mawakala , wachukue taarifa za mawakala wao watiifu toka kwenye vituo na watumie kama sample tuone kama Lissu alishinda.....Mbona hujajibu maswali yangu sasa?
Naungana na wewe katika mengi lakini kwa hili nakukatalia. AIDA hakupewa ili kubalance game, CCM walitaka kusiwe na Mbunge hata mmoja wa upinzani, ila mbinu za wizi zilizotumika maeneo mengine kama vile vijana wa CCM kuingia na kura mifukoni zilidhibitiwa na vijana wa CDM Nkasi.Lengo lao limekamilika wameachia jimbo moja ili kuleta haya yanayotokea sasa.
Mimi kuna ndugu yangu alisimamia huo uchaguzi na ni mwanachadema kindakindaki.Hawez kujibu , mtu amepata kura million 1 dhidi ya Mili 12 , hata kama umeibiwa ndo kura mil 11, mi niliwaambia kama walikuwa na mawakala , wachukue taarifa za mawakala wao watiifu toka kwenye vituo na watumie kama sample tuone kama Lissu alishinda.....
Mtu mwenyewe kwenye vituo kibao Tu kapata kura 0 alaf mijitu inaropoka ooh tumeibiwa
Kweli aisee wanayumba ni kuwanyima haki wananchi wa nkasiJamaa wabinafsi sana
Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Hata 2010.Na time utajua hii hii, maana Hata 2015 hawakukubali uchaguzi ule
Chadema wanakuwa wajinga kila kuchwao, na hawataki kujifunza,akili yao ni akili ya Mbowe,wekeni vikwazo kwa huyu mdada nae ataenda CCM kwa raha zake na kurudi tena mjengoni. Huyu dada hata akienda chama cha mzee wa ubwabwa atapata kura kibao na kushinda tena.Endelea kujishau tu wakati munalala kwa balozi wa Ujerumani,utadhani hamna makwenu.Aida Khenan mbunge mteule wa Nkasi amesema, yeye ni mbunge pekee aliyetangazwa na katika mkoa wake amepata madiwani 10.
Lakini amesema amesikia kwenye mitandao kuhusu msimamo wa chama chake lakini yeye hajapewa taarifa rasmi eidha ya simu au barua, anadai anaamini chama chake ni taasisi kubwa hivyo anategemea atapewa taarifa rasmi.
Amesema jimboni kwake na mkoani kwake mpaka sasa kuna taharuki kubwa, wananchi wana taharuki kubwa.
Amesema mpaka sasa ametishiwa maisha na wananchi kwa kuwa wao waliamua kuvunja rekodi ya kutoa Mbunge mwanamke kwa mara ya kwanza hivyo wanadai yeye akifuata msimamo wa chama atakuwa kawasaliti wananchi ambao wapo walioumia ili yeye ashinde, pia amesema kuna kesi kama 18 za watu waliokamatwa walipokuwa wanapigania yeye ashinde.
Amedai wananchi wanamwambia kuwa machozi yao hayawezi kwenda bure asipokwenda kuwatumikia bora maisha yake wananchi wayamalize hapo.
Amedai kuwa anaomba chama chake warudie upya kutazama maamuzi yao, na kama waliyatoa kwa jazba kulingana na yaliyotekea kwenye uchaguzi basi waangalie upya na waelewe kuwa yeye hana amani anatishiwa maisha na amedai hawezi kuhama Rukwa na hawezi kuhama Nkasi.
Amedai kuwa kwa mara ya kwanza kwenye jimbo lao wamepata Mbunge mwanamke na Mbunge wa kutoka upinzani hivyo asipokwenda kuwawakilisha wananchi madhara yake ni makubwa sana kwake aidha hata kama viongozi wake hawatayaona.
Amesema alisharipoti Polisi kuhusu kutishiwa maisha na pia msimamo huo si wake peke yake bali ni wake na viongozi wa mkoa wa chama cha CHADEMA.
Amesema katika ngazi ya taifa hakuna kiongozi yeyote aliyemtafuta hata kwa simu aweze kujua amani yake au usalama wake.
Amedai kuwa alipoomba nafasi ya Ubunge aliomba peke yake na wala hawakuomba 2 wala 3 hivyo atakwenda bungeni kama yeye Aida na atakwenda kuwasilisha sauti yake yeye peke yake kwa niaba ya wananchi wa Nkasi japo atakuwa mpweke ndani ya bunge. Anasema alipokuwa mbunge wa viti maalum alijifunza kutoka kwa wabunge waliomtangulia lakini kama wabunge wa Viti Maalum watakwenda kipindi hiki atapata faraja lakini wasipokwenda itakuwa mpweke lakini faraja atapata kwa wananchi waliomchagua anaowawakilisha.
Tundu Lissu anena kuwa, keshokutwa watakaa kamati kuu na ndio itatoa msimamo wa jumla wa chama, msimamo ambao waliusema wiki iliopita ni msimamo wa viongozi wakuu wa chama, lakini lazima kamati kuu itoe baraka zake au ikatae kutoa baraka zake.
Tundu Lissu nae anena haya
Tundu Lissu amedai kuwa wao hawakua na wajibu wa kuuliza yeye Aida anafikiriaje kwa kuwa wao viongozi wakuu wana majukumu mengine ndani ya chama, amedai kuwa wao walitoa msimamo wao kuwa huo haukuwa uchaguzi.
Amedai kuwa kama chama kikisema kuwa huo ndio msimamo wa chama basi itabidi atafute utaratibu mwingine wa kuwatumikia wananchi wa Nkasi kwa kuwa Tanzania hakuna mbunge binafsi bali ni wabunge wa chama hivyo wabunge ni lazima wafuate utaratibu wa chama.
Wacha weweKura kuiba maana yake unajiongezea kura ... sio kupunguza sasa assume hajaibiwa ... inamana Tundu lissu angekua rais kwa kura mil 1