Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kamati Kuu itakaa kutoa msimamo rasmi juu ya Mbunge wa Nkasi, Aida Khenan

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kamati Kuu itakaa kutoa msimamo rasmi juu ya Mbunge wa Nkasi, Aida Khenan

..sasa hivi wanaolia-lia ni wapinzani.

..hilo siyo jambo jema ktk taifa.

..siyo jambo ambalo chama tawala kinatakiwa kujivunia.

..kwani kuna shida gani kuunda tume ya uchaguzi itakayokidhi matakwa ya wadau wengi zaidi wa siasa?
Na hiyo pia ni sababu ya kuiba uchaguzi?
 
Jakaya alitaka aunde hiyo Tume kabla hajamaliza muda wake watu wakasusia Mchakato wa kuunda hiyo Tume wakamwambia asituzingue aende zake Rais ajae atamalizia, so tuvute subra Rais 'ajae' wa Katiba Mpya yupo njian kwenye foleni
..sasa hivi wanaolia-lia ni wapinzani.

Hilo siyo jambo jema katika taifa na siyo jambo ambalo chama tawala kinatakiwa kujivunia.kwani kuna shida gani kuunda tume ya uchaguzi itakayokidhi matakwa ya wadau wengi zaidi wa siasa?
 
Mkuu bila kupinga maelezo wala mapendekezo yako, kwahiyo unaona ni sawa uchaguzi kwa sasa kufanyika kwa wizi, na yoyote atakayepata katika mazingira ya wizi watu wasichukue hatua yoyote.

Mimi kwangu nadhani huyo dada aachwe aende bungeni kutafuta kipato maana maisha ni magumu. Lakini hakuna lolote linaenda kujadiliwa humo ndani zaidi ya kumsujudia Magufuli, na kutaka kumuongezea muda wa kukaa madarakani.
I am witnessing the maturity of your political wisdom. Keep it up the number is growing.
 
Na hiyo pia ni sababu ya kuiba uchaguzi?

Tatizo wana-CCM wanafurahi wenzao kulia-lia,you never know mbele ya safari tunaweza kufika mahali kila mtu akawa analia.Matokeo ya uchaguzi kuwa yanapingwa au hayaaminiki siyo jambo la kufurahia hata kidogo.
 
Unajiskiaje unamfanyia Mchongo demu apate kazi ofisin kwenu halafu wahuni wanampa Kazi hiyo halafu wanakufanyia figisu wanakutema wewe,

unamshauri Demu wako aache hiyo kazi anakataa

Ndio kinachowauma 'Kamati kuu' ya jamaa fulani
Maisha mafupi jamani, wamuache dada wa watu na yeye nae ale mema ya nchi.
 
Jakaya alitaka aunde hiyo Tume kabla hajamaliza muda wale watu wakasusia Mchakato wa kuunda hiyo Tume wakamwambia asituzingue aende zake Rais ajae atamalizia, so tuvute subra Rais 'ajae' wa Katiba Mpya yupo njian kwny foleni

Kweli.

Lakini baada ya hapo CCM imefanyia mabadiliko sheria ya vyama vya siasa.

Kwa msingi huo ingeweza pia kuifanyia marekebisho sheria iliyounda tume ya uchaguzi.

Mimi nadhani siyo sahihi kuwalaumu upinzani kwa yaliyotokea 2014 wakati wa bunge maalum la katiba.

CCM ndio wenye serikali, na ndiyo chama chenye Akidi ya kutosha bungeni kufanya mabadiliko ya sheria mbalimbali.
 
Acheni hizo Jamani CHADEMA. Kupata nafasi kama ile kwa uchaguzi wetu ni kudra .

Na hiyo haimaanishi kuwa mtakuwa mnakubaliana na NEC walichofanya.

Hapo mtaingia mtego mwingine na kuongeza maadui. Chukulieni kuwa Hapo dili ilibumbuluka.

Muhimu akiwa Bungeni aonyeshe kweli yeye anasimamia misingi ya Chama chenu.Ndio mtaonesha ukomavu
 
Huyu bibie kama sio kununuliwa, ilikuwaje akaenda kwenye hafla ya kuapishwa Magufuli Dodoma ilhali inajulukana wazi huyu ndie mbakaji mkuu wa Demokrasia, utu, haki.nk katika nchi hii?
 
Mkuu bila kupinga maelezo wala mapendekezo yako, kwahiyo unaona ni sawa uchaguzi kwa sasa kufanyika kwa wizi, na yoyote atakayepata katika mazingira ya wizi watu wasichukue hatua yoyote.

Mimi kwangu nadhani huyo dada aachwe aende bungeni kutafuta kipato maana maisha ni magumu. Lakini hakuna lolote linaenda kujadiliwa humo ndani zaidi ya kumsujudia Magufuli, na kutaka kumuongezea muda wa kukaa madarakani.
Kidogo hapa kijimstari cha aende Bungeni ndio point kulikobaki ni ng'onda!
 
Utajua ukifunguliwa usiwe na papara Mwananchi Mnyonge 'uliebiwa kura'
Wakati wa campaign humu humu jamvini ulikuwa unalalamika eti kwa nini January kaachwa anacheza pool huku Lissu anafunika akina Polepole hawawezi kitu ukaenda mbali hadi kumtetea sheikh Ponda wamuache wasimuandame aliposimama na Lissu Dodoma.

Tumeshakujua Mdini na Mkabila,huna lolote.

Upo upo tu CCM hata huyo JPM na Polepole hawakupebdi kisa si Dini yako.

Umri wako umeenda sana shut uo
 
Trump anapolia lia kuibiwa kura kaambiwa weka ushahidi valid mezani sio blaa blaaa

Wekeni mezani mlipata majimbo mangapi na yepi Ccm wameshinda kihalali

Tangu 1995 hakuna Uchaguzi ambao Wapinzani hawajadai kushinda lakin wakiulizwa Ushahidi wanatoa ushahid mwepesi mwepesi kweli

Trump kaonesha Masanduku ya kura 53 ya njia ya posta yalicheleweshwa kuingizwa kwny chumba cha kuhesabia kura kaambiwa ushahidi mwepesi sana

So wekeni ushahidi ili mjadala uwe kwny kujadili ushahidi wenyewe kuepusha ubishi kimbunga wa ama ziliibiwa au laa

Ushahidi kwa mahakama zipi boss?
 
Itakuwa ni ushenzi kufanya chochote kumzuia huyu mbunge kuingia bungeni.

CHADEMA acheni uchuro.Msimuhukumu kwa ajili ya interest zenu binafsi. Mwacheni atumikie wananchi waliomchagua
 
Back
Top Bottom