Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo huyu dada hana msimano imara, siku ya kwanza yeye ndiye alikua wakwanza kusema kua "kutokana na uchaguzi ulivyorubuniwa sijafurahishwa na ushindi wangu hata kama nimeshinda hivyo nitafata kile kitacho amriwa na wakubwa wa chama changu"
Lakini pia kuna maamuzi ya wananchi wa Nkasi- Kaskazini, hawa nao muhimu wafikiriwe, wamefanya maamuzi ya kishujaa kumchagua huyu dada awe muwakilishi wao bungeni, uamuzi wa kumkataza kuhudhuria vikao vya bunge vinaweza sababisha Chadema kupoteza wapiga kura kwenye hilo jimbo mbele ya safari.
Hivi angekuwa Mbowe tu ndo pekee aliepita kwenye Ubunge angeletewa zengwe kama anvyoletewa huyu dada Khenan?Kila chaguzi mliiba lakini 2020 ilikuwa record breaking! Hata watoto wadogo wameyaona makaratasi ya kura yakizagaa mtaani!
Hivi angekuwa Mbowe tu ndo pekee aliepita kwenye Ubunge angeletewa zengwe kama anvyoletewa huyu dada Khenan?
Ndio maana nikasema hii issue ni complex, ina majibu mengi, CHADEMA kushinda Nkasi inaweza kuwa ni first step ya chama kuenea kwenye majimbo mengine ya jirani depending on how huyo dada ata perform bungeni, now anaangaliwa kama role model, sasa wakisema asiende bungeni sioni shida ni maamuzi yao, lakini wajue watakuwa wanarudi nyuma kwenye hilo jimbo na mengine ya jirani.Unataka kutuaminisha kuwa CHADEMA wameshindwa pote isipokuwa Nkasi tu. Mtu mzima yeyote mwenye akili ameona kilichotokea. Maamzi ya kibunge ni maamzi ya kijumla. Mtu mmoja kwenye wingine zaidi ya 200 wa CCM atafanya nini?
Ndio maana nikasema hii issue ni complex, ina majibu mengi, Chadema kushinda Nkasi inaweza kuwa ni first step ya chama kuenea kwenye majimbo mengine ya jirani depending on how huyo dada ata perform bungeni, now anaangaliwa kama role model, sasa wakisema asiende bungeni sioni shida ni maamuzi yao, lakini wajue watakuwa wanarudi nyuma kwenye hilo jimbo na mengine ya jirani.
Lakini kubwa zaidi, kama wakisema hawautambui ubunge wa huyo dada, basi hata viti maalum navyo wasivitambue, nadhani hapo ndio watakuwa wanamaanisha vizuri, lakini km viti maalum wataenda bungeni, basi na huyo dada aende pia, na automatically watakuwa wameyakubali matokeo ya jumla ya ubunge nchini.
Kazi kwao.
2025 watashiriki tena kana kwamba wamesahau ya nyuma...
Hilo jimbo la Nkasi miaka yote lilikuwa mali ya CCM, siwezi kuthibitisha moja kwa moja km walikuwa wanaibiwa au vipi, nachoamini this time CHADEMA wamelichukua kihalali kwasababu ya nguvu waliyonayo, sasa ni vyema kuitunza hiyo nguvu for future use.Umekuja TZ lini. CHADEMA imekwisha enea. Tatizo ni NEC, polisi, Msajili, TISS, JW... Kwa nini unafikiri kura zikapigiwa majumbani na kupelekwa vituoni kwenye vikapu nchi nzima? Ingekuwa siyo tishio, hilo lingefikiriwaje na CCM?
Ufipa mama D kutoa hukumuKamati kuu ya chadema itakutania kwenye ubalozi wa ujerumani au ubelguji😀😀
Hilo jimbo la Nkasi miaka yote lilikuwa mali ya CCM, siwezi kuthibitisha moja kwa moja km walikuwa wanaibiwa au vipi, nachoamini this time Chadema wamelichukua kihalali kwasababu ya nguvu waliyonayo, sasa ni vyema kuitunza hiyo nguvu for future use.
Ufipa mama D kutoa hukumu