Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Watu wa Nkasi wanajua kilichotokea uchaguzi huu TZ. Msifikiri watu wa huko mashambani hawana akili.
Hilo jimbo la Nkasi miaka yote lilikuwa mali ya CCM, siwezi kuthibitisha moja kwa moja km walikuwa wanaibiwa au vipi, nachoamini this time Chadema wamelichukua kihalali kwasababu ya nguvu waliyonayo, sasa ni vyema kuitunza hiyo nguvu for future use.