Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa ndio tutakapojua nani aliwagongea Visa wale waliomkamata Sadam HusseinMmeachana na ulinzi wa UN na marekani, sasa ni IPU, hao IPU nani atawagongea visa hao walinzi? TL atawacha tena kwenye mataa atakaposema haji mpaka magufuli atoke madarakani, tena mtashangilia, maana kila analosema mnakubali
Hahahahaha kaa kwa kutulia usiogope neno shetani wakati maneno na matendo yako ni ya kishetani kabisa
Hapana Yesu hakumtumikia "mungu", hawezi kumtumikia shetaniHuwezi mlinganisha yesu na mambo ya hovyo, yesu alimtumikia mungu mwanzo mwisho, uliona anahangaika na mambo yenu ya kishilikina? Yesu hakutoa taarifa za mungu kwa shetani, ila huyo wenu anatafuta siri za serikari apeleke kwa kaizari.
Ufanye kile unachopaswa kufanya pale mwenzako anapopatwa na majanga na kile ambacho wewe usingependa kufanyiwa kama ungekua kwenye viatu vyake. Hizi chuki hazilipeleki taifa sehemu salama.Kwani wewe huruma yako labda na ya familia yako kwake haitoshi? Isitoshe alienda Mahakamani kudai haki yake akashindwa kesi, sasa unataka sisi tufanye nini?
Ufanye kile unachopaswa kufanya pale mwenzako anapopatwa na majanga na kile ambacho wewe usingependa kufanyiwa kama ungekua kwenye viatu vyake. Hizi chuki hazilipeleki taifa sehemu salama.
Watanzania tunasimama na Raisi wetu.
Viva JPM
Bado ni maombi! Je! Yatakubaliwa? - for your information: Tundu Lissu is not a parliamentarian any longer!
Msifurahi mwanzoni.