Tundu Lissu: Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Yatoka na Maazimio nane dhidi yake

Tundu Lissu: Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Yatoka na Maazimio nane dhidi yake

Acha ujinga wewe wewe uliyeachiwa elimu huru imekufaa Nini maishani ? ,Hicho kigari unacho tembelea kitakufaa Nini Sasa wakati huu wa ujana wako na uzee wako? Usijitoe akili.

Sasa angalikaa kimya baada ya kuumizwa au agelifanya Nini kwa hiyo wewe unashindwa kutenda haki kwasababu ya woga wa maisha ya watoto wako. Imeendikwa katika vitabu vya mungu kulia mtu atakulazimisha kwa jisho lake.

Hata watoto wako watakula kwa jasho lao muda wao ukifika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viva LISSU huyu Muuaji Tutamuonesha kazi na huu ni mwanzo Lazima siku itafika Muuaji yeye na sipika yake mbovu tutawaweka na mama zao kisha tutawatenda kama walivowatendea watoto wa wengine kama kuwatesa, kuwabambikia kesi za utakatishaji za Uongo na Kushambuliwa kwa Risasi kama alivofanyiwa lissu ili tuone kama wanafurahia hilo Jambo kisha yule wa upara wenye pihedii fekiii tutamwagia Oil ya moto....

Tutaendelea kuwaandikia Taarifa wahisani kuisaidia Tanzaniya kukomboka kutoka kwa mkoloni huyu mweusi wa kisukumwa na genge lake la wauaji. Siku Si Nyingi kuna Taifa kubwa lingine litatoa Report Yao Tumeshawaandikia na wamekubali kusitisha misaada Yote na kutuma kikosi kufanya uchunguzi wa Ule unyama aliofanyiwa Lissu.
 
Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi Tundu Lisu,Hao waliomfanyia unyama huo wasijione Mwenyezi Mungu hajawaona,Allah anawaona kwa yote wayafanyao ila wakati wake wa kuwahukumu bado tu,Na wakumbuke adhabu zake Muumba ni kubwa kuliko icho walichomfanyia mwenzao
 
Corticopontine,
Tulieni sasa kama mna mhurumia Subirieni Yatakayotolewa msianze kusema lissu msaliti, mataifa kibao saivi yanataka kuipiga hii serikali ya majambazi ya awamu ya 5 sanction na tutawaandikia na kuwapa report Zote na ipo siku tutawaonesha waliko wauaji wote wa serikali ya awamu ya Tano na pamoja na yule anayewatuma anayeagiza watu wakamatwe bila sababu zozote.

Lissu ameshambuliwa nchini na wauaji wanasema akirudi tutamkamata halafu leo mnasema arejee si mmemvua ubunge mnataka arejee kufanyaje ili mumuue Tena nyie na Rahis wenu muuaji
 
Bado ni maombi! Je! Yatakubaliwa? - for your information: Tundu Lissu is not a parliamentarian any longer!
Msifurahi mwanzoni.
Kinachochunguzwa alikuwa mbunge wakati yanatokea, ni Kama unapofukuzwa kazi na kushitaki CMA.
 
unaandika ujinga kwa kiingereza
Did anyone stop or barred him from returning back to his motherland?

Moreover, his self imposed exile should not be a reason to instill fear for his life.

None is interested in harming him at all.

This game of brinkmanship using I know who{....} should stop.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So, TL atapata escort ya delegates kutoka IPU wakati anarudi hapa nchini na itakuwa very soon? Nice move.

Naamini hapo ulinzi wake utakuwa wa kiwango cha juu sana.
Mmeachana na ulinzi wa UN na marekani, sasa ni IPU, hao IPU nani atawagongea visa hao walinzi? TL atawacha tena kwenye mataa atakaposema haji mpaka magufuli atoke madarakani, tena mtashangilia, maana kila analosema mnakubali
 
Back
Top Bottom