Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

comte unataka proof gani?

Ben Sanane got lost in very strange environment yanayoonesha kila dalili kuwa the govt is responsible kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama...

Moreover, kama ilivyo Kwa Tundu Lissu, vyombo hivyo (i.e polisi) havijafanya uchunguzi wowote wa maana zaidi ya kutoa porojo Kila siku...!!

What proof do you want...??
CHADEMA VIA MBOWE BLOCKED POLICE TO INTERROGATE THE DRIVER WHO WAS A KEY WITNESS
 
Acha kuwasingizia waTanzania uwongo.
Hakuna mtanzania mwenye akili na mpenda maendeleo alie furahiya kifo cha Magu.
Furaha ni kwa nyie vyeti fek na wasaliti wachache wenye access ya JF.
Usiseme hawapo, wapo sio watanzania wote ila CHADEMA wote walishangilia kifo cha JPM hilo halina ubishi na Mungu aliona
 
CHADEMA VIA MBOWE BLOCKED POLICE TO INTERROGATE THE DRIVER WHO WAS A KEY WITNESS
Do you have any power to block the police to do their job...?

If you don't, then, who is Mbowe to do that..?

You have no idea what you're talking about...!!
 
Do you have any power to block the police to do their job...?

If you don't, then, who is Mbowe to do that..?

You have no idea what you're talking about...!!
Sorry, I cannot find a way to be of any help to you.
 
position yourself katika mazingira ya lisu au kaka/mdogo wa watu waliopotezwa enzi za jamaa kama ben saa nane na wengine wengi, achilia mbali walioteswa na jpm as mfariji mkuu alipotezea tu.

Kwa Lissu hata ibada za kumuombea polisi waliwafuata watu katika nyumba za ibada wasimuombee lisu apone.

Kimsingi utawala wa jpm ulitaka Lisu afe tu.....then try to adjust your lame argument
Unataka kusema hata hawa Panyaroad wanaoua wananchi kwenye utawala huu Samia ndo anawatuma?

Kijiwe gani cha kahawa ulipata taarifa kuwa JPM ndo alihusika?
 
Umeongea ukweli mtupu bro. Hata Chachawangwe angeuwawa kipindi cha Magufuli, lawama za kifo chake angetupiwa Magufuli huku wahusika wa kifo chake wakiendelea kucheka na familia yake, kama wanavyokula, kunywa na kucheka na familia ya Lisu leo.

Juhudi zake na umaarufu wake ndan ya chama chake zilimfanya bwana yule ahofie kiti chake, ndomaana hata Sumaye pamoja na kwamba ana ulinzi wake lakini alionywa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi wake. So ijekuwa Lisu anaezurura peke yake!

Siku ya hukumu au kiama (kama ipo) tutaona mengi hata yale ambayo hatukuyatarajia au kuyafikiria.

Ukiwa na serikali dhaifu na ya hovyo, tena isiyojali usalama na uhai wa raia wake hayo yote yanaweza kutokea.

Jiulize na nani alipaswa kufanya uchunguzi wa matukio yote?

Je, yalifanyika? Majibu yakoje?

Kama serikali hiyo hiyo ilizuia hata wale waliotaka kufanya maombi kwa waliokumbwa na majereha unaisemeaje? Huoni kuwa ni dhalimu dhidi ya raia wake!

Tumia kichwa chako kufikiri sio kufugia chawa na wewe kuwa chawa.

Penda haki, na itimize kwa kufuata mikondo ya kutoa haki. Sio kuchukua sheria mkononi na kujeruhi ama kutoa uhai kwa wale wasiungana nanyi.
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
Sasa hayo maneno yanakuwaje ya kushangilia wakati maana yake siyo hiyo? Kwanini Lissu alidhmbuliwa kwa risasi yeye alisema nini kumfaruji na hata kumpa pole hata kama ni kwa unafiki?
 
Sasa hayo maneno yanakuwaje ya kushangilia wakati maana yake siyo hiyo? Kwanini Lissu alidhmbuliwa kwa risasi yeye alisema nini kumfaruji na hata kumpa pole hata kama ni kwa unafiki?

Tweet​


See new Tweets

Conversation​










Dr John Magufuli

@MagufuliJP


Nimepokea kwa masikitiko tukio la kupigwa risasi Mh.Tundu Lissu, namuombea kwa Mwenyezi Mungu aweze kupona haraka. 1/2
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
Ungevaa viatu vya Tundu Lisu wala usingetapika uharo huu ulioandika hapa! Tundu Lisu ni binadamu kama wewe na mimi na tusingetarajia aoneshe hisia tofauti na hiyo ukizingatia yote aliyopitia!!!
 
Ukiwa na serikali dhaifu na ya hovyo, tena isiyojali usalama na uhai wa raia wake hayo yote yanaweza kutokea.

Jiulize na nani alipaswa kufanya uchunguzi wa matukio yote?

Je, yalifanyika? Majibu yakoje?

Kama serikali hiyo hiyo ilizuia hata wale waliotaka kufanya maombi kwa waliokumbwa na majereha unaisemeaje? Huoni kuwa ni dhalimu dhidi ya raia wake!

Tumia kichwa chako kufikiri sio kufugia chawa na wewe kuwa chawa.

Penda haki, na itimize kwa kufuata mikondo ya kutoa haki. Sio kuchukua sheria mkononi na kujeruhi ama kutoa uhai kwa wale wasiungana nanyi.
Naona umezaliwa kwa ajili ya kufanywa jalala au gunia la kutupiwa uongo wa viongozi wako wa chama.

Ni aibu kijana kama wewe kukubali kila unachoambiwa na hawa wanasiasa uchwara.

Mwaka 2008 hadi 2014 viongozi wako walikwambia kuwa Lowasa ni fisadi namb 1 nchini, hafai hata kupewa ticket ya kugombea udiwani au uenyekiti wa serikali za mitaa ukakubali na kukenua meno.

Mwaka 2015 baada ya Lowasa kuwahonga vijisenti vya kuendea Dubai kula bata viongozi wako hao hao wa upinzani wakakwambia kuwa Lowasa sio fisadi na wala hakuwahi kuwa fisadi bali ni mtu mwenye maono na mzalendo wa kweli wa Tanzania, kwahiyo mfagilie barabara na umchague awe raisi wako, wewe tena ukakenua mijino na kuamka asubuhi mapema siku ya uchaguzi kwenda kumpigia kura Lowasa.

Sasa kwa aina hii ya kichwa chako viongozi wako watakosaje kukitumia kichwa chako kama jalala la kutupia uongo wao?
Mimi sio wa aina hiyo, kwamba unidanganye leo afu kesho unidanganye tena! Never sikubaliani na ujinga huo kamwe.

Kuhusu swala la usalama wa raia hiyo kauli yako haina msingi. Kama raia wangekuwa hawana usalama wewe leo usingeshinda na msuli wako huku unaandika upupu namna hii bila mtu yoyote kukubughuzi.

Unafikiri ni raia wangapi wanakufa kwa kupigwa risasi Marekani aidha na polisi au raia wa kawaida, hata jana kuna watu wamepigwa risasi huko California, sasa unataka kusema kuwa serikali ya Marekani ni dhaifu?
Je kati ya Marekani na Tanzania ni wapi ambapo kuna ongoza kwa mauaji?
 
Sorry, I cannot find a way to be of any help to you.
I didn't ask any help from you either....

What I want from you is to answer my questions that will:

✓ Help you to expand your understandings

✓ Take you out of the darkness and;

✓ Impart you with some new knowledge on Tanzania's politics

So long as you have refused, I better let you stay in your ignorance

Good night 💤 😴 dude
 
Back
Top Bottom