Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Lissu anayo haki ya kusema hivyo Kwani yeye anaamini kuwa chanzo cha yeye kutaka kuuawa ni Magufuli, ikumbukwe binadamu amezaliwa na roho ya kisasi hivyo kifo cha JPM kwake Lissu ni faraja na anguko la adui zetu ni faraja kwetu.

Hata Mimi kuna baba ndogo tunaendesha naye kesi anang'ang'ania nyumba ya baba yetu, kwangu Mimi huyu ni adui, nikisikia Leo hii kafa, wallah lazima nichinje mbuzi na kukesha baa nikikunywa bia, kwangu Mimi huyu baba ndogo ni adui yangu kifo chake furaha kwangu.

Maisha ndio yalivyo hapa dunia, mwacheni aseme ya moyoni
Na siasa haiko hivyo sasa, siasa ni kuteka umma, hasa kwa vitu visivyo na madhara km hivyo.

BTW Km JPM alihusika kny shambulio lake, basi ni fursa kwake kujiuliza kwa nn JPM alitaka kutoa roho yake,
Je, ni kwa sababu aliona atamsumbua uchaguzi wa 2020?
Au ni kwa sababu alikuwa anahujumu jitihada za Rais kuikomboa nchi kutoka katika unyoywaji kny biashara ya madini?
Huko MIGA tulishitakiwa?
Tulinyolewa kwa chupa kama alivyotishia?

AMSAMEHE NA AKILI KUFANYA KOSA LILILOSTAHILI KUPIGWA VITA.
Na apongeze kwa kutaja mazuri yaliyofanywa na JPM hasa kny madini, hatushi kwa sheria tu.
 
kifo kile cha JPM kiliwaumiza wengi sana hasa wananchi wa hali ya chini.Na kwa sababu TUNDU l alipewa taarifa mapema na KIGOGO 2014( kwa sasa anaweza kuwa anajulikana sana), wakati wananchi walifichwa , hapa namshauri tundu lissu na chadema wasije thubutu kuongelea kifo cha hayati JPM. kama kweli alipigwa lisasi na anawowashutumu ni team JPM ,BADO Team JPM ipo .asijejikuta matatani.lakini pia wenye akili timamu hawana haja ya kugombana na marehemu
 
So hata walinzi wote walisepa ili wasihojiwe nani aliwatoa pale?
Mwamba wako alikuwa zaidi ya shetani
Sio lazima...hata hivyo watoa ushahidi wote waliobdoka unategemea nini...dereva kama first witness alisepa...sijajua mpaka leo ni kwanini alisepa..
 
So hata walinzi wote walisepa ili wasihojiwe nani aliwatoa pale?
Mwamba wako alikuwa zaidi ya shetani
Sio lazima...hata hivyo watoa ushahidi wote waliobdoka unategemea nini...dereva kama first witness alisepa...sijajua mpaka leo ni kwanini alisepa..
 
So hata walinzi wote walisepa ili wasihojiwe nani aliwatoa pale?
Mwamba wako alikuwa zaidi ya shetani
Sio lazima...hata hivyo watoa ushahidi wote waliobdoka unategemea nini...dereva kama first witness alisepa...sijajua mpaka leo ni kwanini alisepa..
 
Hakun Rais allyekuwa mwizi, muongo na muuaji kama Jiwe ambaye ndiye mwamba wenu. Angalia kampani yake watu kama Bashite, Saambaya, Mnyeto na wengineo.
Na siasa haiko hivyo sasa, siasa ni kuteka umma, hasa kwa vitu visivyo na madhara km hivyo.

BTW Km JPM alihusika kny shambulio lake, basi ni fursa kwake kujiuliza kwa nn JPM alitaka kutoa roho yake,
Je, ni kwa sababu aliona atamsumbua uchaguzi wa 2020?
Au ni kwa sababu alikuwa anahujumu jitihada za Rais kuikomboa nchi kutoka katika unyoywaji kny biashara ya madini?
Huko MIGA tulishitakiwa?
Tulinyolewa kwa chupa kama alivyotishia?

AMSAMEHE NA AKILI KUFANYA KOSA LILILOSTAHILI KUPIGWA VITA.
Na apongeze kwa kutaja mazuri yaliyofanywa na JPM hasa kny madini, hatushi kwa sheria tu.
 
kifo kile cha JPM kiliwaumiza wengi sana hasa wananchi wa hali ya chini.Na kwa sababu TUNDU l alipewa taarifa mapema na KIGOGO 2014( kwa sasa anaweza kuwa anajulikana sana), wakati wananchi walifichwa , hapa namshauri tundu lissu na chadema wasije thubutu kuongelea kifo cha hayati JPM. kama kweli alipigwa lisasi na anawowashutumu ni team JPM ,BADO Team JPM ipo .asijejikuta matatani.lakini pia wenye akili timamu hawana haja ya kugombana na marehemu
Shetani lazima apingwe kila siku. Jiwe lazima apingwe na kila mtu mwenye akili timamu
 
Shetani lazima apingwe kila siku. Jiwe lazima apingwe na kila mtu mwenye akili timamu
Mnaweza kubaki n masimamo wenu lakini utawapunguzia umaarufu na kukubalika kuliko ambavyo mngechukua hatua za ukomavu, nyie si nsio husema mkianza na Mungu? Au wewe sio CHADEMA ninayoifahamu?
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
Kwanza Tundu Lissu sio mwenyekiti wa CHADEMA. Pili tuanze kwanza na waliotaka kumuua Lissu.
 
Mimi nimeshawasema CDM na Lissu pia Amesikia, hutomsikia akirudia maneno hayo.

CCCM pambaneni na jahazi lenu LINALOZAMA.

Kauli ya WAZURI hawafi ni Latest, bt Lisu alisema hayo zamani na ameshajirudi.
Ila haya mapambano ni makali sana, ni kama kuna vita ya vyama vitatu yaani CCM Asilia, CCM ya wahamiaji(Sukuma gang) na Chadema.
 
Ila haya mapambano ni makali sana, ni kama kuna vita ya vyama vitatu yaani CCM Asilia, CCM ya wahamiaji(Sukuma gang) na Chadema.
Na tunakoelekea makundi yote haya yenye njaa na yaliyotengwa na kupigwa na ugumu wa maisha yataungana dhidi ya CCM Walamba asali.

Hapo ndo pazuri Hasa. Tusubiri.
 
Mnaweza kubaki n masimamo wenu lakini utawapunguzia umaarufu na kukubalika kuliko ambavyo mngechukua hatua za ukomavu, nyie si nsio husema mkianza na Mungu? Au wewe sio CHADEMA ninayoifahamu?
Hujui matendo maovu aliyoyafanya yasiposemwa kosa linaweza kuja kujirudia. Nchi hii inabidi kuhakikisha kiongozi kama yule haji kutokea kamwe
 
Sio lazima...hata hivyo watoa ushahidi wote waliobdoka unategemea nini...dereva kama first witness alisepa...sijajua mpaka leo ni kwanini alisepa..
Kwahiyo kwakuwa shahidi alitoka na serikali ikaamua kukaa kimya tu?
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
Labda umesahau mwaka 1994, alipofariki Rais Juvinale Habyalimana wa Rwanda kwa ajali. Hapo kulikuwa na wanyarwanda wengi sana walishangilia sana, na kufanya sherehe.
Aliyekuwa Waziri mkuu wakati huo Mzee John Malecela aliamuru wakamatwe,hao wanyarwanda. Ninakumbuka aliyeingilia kati alikuwa Mwalimu Nyerere, alimshangaa akamwambia ulitaka hao wanyarwanda walie kusikia kifo cha mtu aliyekuwa sababu ya kuikimbia nchi yao? Wanayeamini amekuwa sababu ya wengine kupoteza jamaa zao na Mali? Sasa nafasi ya wanyarwanda muweke Lisu.
 
Back
Top Bottom