Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Lakini hiyo haizuii nia ya Magu kutaka kumuua Lissu. Risasi 60 Kama anaua koboko.
Hapo bado kwangu mimi siwezi kusema mhusika ni Magufuli! Hilo tukio linaweza kuwa na muunganiko wa watu wa CHADEMA na baadhi ya viongozi wa system!

Pia ni kwa nini baadhi ya wanaCHADEMA kama Kubenea akusema wanaotaka kujua Ben Saanane alipo wakamuulize Mbowe!
Kuna uwezekano kuna watu walikuwa wanapotezwa na viongozi wa CHADEMA ili kuchafua uongozi wa Magufuli!
 
Imani yangu inanionyesha adui yake alitoka ndani ya chama chake.....kuliko kutoka Serikalini ...inawezekana maadui wanajaribu ku diverge uongo uonekane kama ukweli ili wasigundulike......bado Nina kumbukumbu za Bw. Kubenea..aliwah zungumza siku moja kwamba wanaomtafuta Saanane waende kumuuliza Bw. Mbowe..bado sentensi Ile inanifikirisha mpaka Leo walah..
Ngoja nilazimishe akili yangu ikubaliane na mawazo yako ya kuwa Tundu Lissu alipigwa risasi na maadui toka kwenye chama chake.

MASWALI
1: Eneo alilopigiwa risasi ni eneo lenye ulinzi wa polisi pamoja na CCTV na ilikuwa ni majira ya MCHANA.
Sasa ni kwani wahusika hawakukamatwa ?
Kwa nini polisi haikuweka nguvu ya kuwatafuta wausika mpaka leo?
Risasi zote hizo zilizopigwa MCHANA kweupe ndani ya maeneo ya Bunge na yenye ulinzi mkali 7/24 ndani ya utawala wa Magufuli na wahusika ni Chadema afu serikali ya Magufuli iwache waende zao na Serikali ikubali kuchafuka?

Ibu waza tena
 
Mkuu dunia ina mambo mengi sana! Hao walinzi ni binadanu tu kama mimi na wewe na wanaweza kupangwa na wakapangika vizuri tu!
Kwanini benki zinaibiwa na polisi wapo hapo na bunduki zao? Kwa nini dereva wa Lisu aliondoka nchini na mpaka leo hataki kurudi?
Imagine Lisu mwenyew ambae ndo mlengwa karudi 2020, na sasa anapanga kurudi tena kwa mara ya pili afu dereva yeye ameambiwa asirudi na viongozi wake. Kuna siri gani hapo!
 
Hapo bado kwangu mimi siwezi kusema mhusika ni Magufuli! Hilo tukio linaweza kuwa na muunganiko wa watu wa CHADEMA na baadhi ya viongozi wa system!

Pia ni kwa nini baadhi ya wanaCHADEMA kama Kubenea akusema wanaotaka kujua Ben Saanane alipo wakamuulize Mbowe!
Kuna uwezekano kuna watu walikuwa wanapotezwa na viongozi wa CHADEMA ili kuchafua uongozi wa Magufuli!
Ile Magu ajitoe kwenye hilo sakata ilibidi:
  • CCTV CAMERAS zilizoondolewa na Kalemani (aliyerithishwa ubunge Chato, na kupewa Wizara ya Nishati ) ziwekwe wazi
  • Kamati ya uchunguzi wa tukio iliyoundwa na Ndugai iwekwe wazi
  • Polisi wafanye kazi yao ya uchunguzi wa tukio kwa Uhuru na uwazi.
 
Unatoaje maoni kwenye kifo?! Ukitaka kujua hebu fikiria kila kwenye maziko ya waislam hutolewa tangazo la nani ana mdai marehemu- ulishaona watu wanijitokeza? Unadhani ni ujinga au uoga?
nenda chato ukaomboleze...the man was wicked. waache aliowaumiza walie.
 
Imagine Lisu mwenyew ambae ndo mlengwa karudi 2020, na sasa anapanga kurudi tena kwa mara ya pili afu dereva yeye ameambiwa asirudi na viongozi wake. Kuna siri gani hapo!
Tatizo sisi kila tukio lilokuwa linatokea hata la mtu wa huko kibiti na ugaidi uliokuwa unaendelea kipindi JPM anaingia madarakani tuliuhusisha na Magufuli!
Yaani mtu yuko tarime huko na ugomvi wake na watu akiuawa anasema Magufuli kahusuka! mfano mwili ya askofu mstaafu uliokotwa huko Mwanza mwezi wa 11 mwaka jana ingekuwa kipindi cha JPM watu waangesema kahusika na hicho kifo!
Pia kuna miili ilionekana huko Tanga mwaka jana mwezi wa 10 na kupotea kwa vijana hapo kariakoo mwaka jana mpaka leo kimya! Ila kama ingekuwa kipindi cha JPM kelele zingekuwa nyingi sana ili lengo lao walifikie la kumchafua tu!
Hata hili la Lisu linaukakasi sana aese ila kuna baadhi ya watu wana amini mhusika ni JPM na wakiambiwa wafikirie nje ya box hawakubali!
 
Mkuu dunia ina mambo mengi sana! Hao walinzi ni binadanu tu kama mimi na wewe na wanaweza kupangwa na wakapangika vizuri tu!
Kwanini benki zinaibiwa na polisi wapo hapo na bunduki zao? Kwa nini dereva wa Lisu aliondoka nchini na mpaka leo hataki kurudi?
Rubbish,
Unataka kutuambia Chadema wana influence ya kutoa amri kwa polisi kuondoka kwenye lindo!?

Anyway chawa kimaumbile ni mdudu mwenye ubongo mdogo sana
 
Yeye aendelee na umalaya wake. Mapenzi ya Mungu hayafanyiwi mzaha.
Jpm alipigania haki na usawa kwa umma na hasa kwa wanyonge. Umma wa wananchi watalipiza kwa hao wazandiki katika wakati muafaka.
Wanyonge wa Chato na si Tanzania.
 
Tatizo sisi kila tukio lilokuwa linatokea hata la mtu wa huko kibiti na ugaidi uliokuwa unaendelea kipindi JPM anaingia madarakani tuliuhusisha na Magufuli!
Yaani mtu yuko tarime huko na ugomvi wake na watu akiuawa anasema Magufuli kahusuka! mfano mwili ya askofu mstaafu uliokotwa huko Mwanza mwezi wa 11 mwaka jana ingekuwa kipindi cha JPM watu waangesema kahusika na hicho kifo!
Pia kuna miili ilionekana huko Tanga mwaka jana mwezi wa 10 na kupotea kwa vijana hapo kariakoo mwaka jana mpaka leo kimya! Ila kama ingekuwa kipindi cha JPM kelele zingekuwa nyingi sana ili lengo lao walifikie la kumchafua tu!
Hata hili la Lisu linaukakasi sana aese ila kuna baadhi ya watu wana amini mhusika ni JPM na wakiambiwa wafikirie nje ya box hawakubali!
Kipindi cha Magufuri askari wake,Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya na hata yeye mwenyewe walihusika moja kwa moja ndiyo maana lawama zilikuwa zinaangukia kwake.
 
Kwani mmejuaje kama alipigwa nao, kwa nini msipanue wigo na kusema kapigwa na maadui ndani ya chama chake...watu wanaweza wali take advantage ya mahusiano na Serikali
Kama hilo lingekuwepo, Serikali lazima ingechukua hatua. Serikali kukataa kufanyia uchunguzi, Polisi khsimamisha magari yote na bodaboda kuruhusu gari lililokuwa na washambuliaji lipite baada ya kutekeleza shambulio, na waziri Kalemani kuondoa kamera baada ya shambulio na kuzikabidhi serikalini ni ushahidi tosha kuwa tukio lote lilifanywa na Serikali.
 
Hapo bado kwangu mimi siwezi kusema mhusika ni Magufuli! Hilo tukio linaweza kuwa na muunganiko wa watu wa CHADEMA na baadhi ya viongozi wa system!

Pia ni kwa nini baadhi ya wanaCHADEMA kama Kubenea akusema wanaotaka kujua Ben Saanane alipo wakamuulize Mbowe!
Kuna uwezekano kuna watu walikuwa wanapotezwa na viongozi wa CHADEMA ili kuchafua uongozi wa Magufuli!
Kama hilo lingekuwepo, Serikali lazima ingechukua hatua. Serikali kukataa kufanyia uchunguzi, Polisi khsimamisha magari yote na bodaboda kuruhusu gari lililokuwa na washambuliaji lipite baada ya kutekeleza shambulio, na waziri Kalemani kuondoa kamera baada ya shambulio na kuzikabidhi serikalini ni ushahidi tosha kuwa tukio lote lilifanywa na Serikali.
 
Mkuu dunia ina mambo mengi sana! Hao walinzi ni binadanu tu kama mimi na wewe na wanaweza kupangwa na wakapangika vizuri tu!
Kwanini benki zinaibiwa na polisi wapo hapo na bunduki zao? Kwa nini dereva wa Lisu aliondoka nchini na mpaka leo hataki kurudi?
Kama hilo lingekuwepo, Serikali lazima ingechukua hatua. Serikali kukataa kufanyia uchunguzi, Polisi khsimamisha magari yote na bodaboda kuruhusu gari lililokuwa na washambuliaji lipite baada ya kutekeleza shambulio, na waziri Kalemani kuondoa kamera baada ya shambulio na kuzikabidhi serikalini ni ushahidi tosha kuwa tukio lote lilifanywa na Serikali.
 
Imani yangu inanionyesha adui yake alitoka ndani ya chama chake.....kuliko kutoka Serikalini ...inawezekana maadui wanajaribu ku diverge uongo uonekane kama ukweli ili wasigundulike......bado Nina kumbukumbu za Bw. Kubenea..aliwah zungumza siku moja kwamba wanaomtafuta Saanane waende kumuuliza Bw. Mbowe..bado sentensi Ile inanifikirisha mpaka Leo walah..
Kama hilo lingekuwepo, Serikali lazima ingechukua hatua. Serikali kukataa kufanyia uchunguzi, Polisi khsimamisha magari yote na bodaboda kuruhusu gari lililokuwa na washambuliaji lipite baada ya kutekeleza shambulio, na waziri Kalemani kuondoa kamera baada ya shambulio na kuzikabidhi serikalini, marehemu katika mawasiliano ya siri kumwelekeza Andunje ndugia kuwa mwili wa Lisu upelekwe moja kwa moja Singida na kusiwepo na heshima za mwisho wala mwili wake kupelekwa Dar (akiwa amehakikishiwa na Bashite kuwa Lisu lazima atakufa), ni ushahidi tosha kuwa tukio lote lilifanywa na Serikali.
 
Hivi Leo ukija gundua kumbe adui alikuwa ndani ya chama chake utasemaje...do you think it's impossible..?
Completely impossible.

Kama hilo lingekuwepo, Serikali lazima ingechukua hatua. Serikali kukataa kufanyia uchunguzi, Polisi khsimamisha magari yote na bodaboda kuruhusu gari lililokuwa na washambuliaji lipite baada ya kutekeleza shambulio, na waziri Kalemani kuondoa kamera baada ya shambulio na kuzikabidhi serikalini, marehemu katika mawasiliano ya siri kumwelekeza Andunje ndugia kuwa mwili wa Lisu upelekwe moja kwa moja Singida na kusiwepo na heshima za mwisho wala mwili wake kupelekwa Dar (akiwa amehakikishiwa na Bashite kuwa Lisu lazima atakufa), ni ushahidi tosha kuwa tukio lote lilifanywa na Serikali.
 
Kama hilo lingekuwepo, Serikali lazima ingechukua hatua. Serikali kukataa kufanyia uchunguzi, Polisi khsimamisha magari yote na bodaboda kuruhusu gari lililokuwa na washambuliaji lipite baada ya kutekeleza shambulio, na waziri Kalemani kuondoa kamera baada ya shambulio na kuzikabidhi serikalini, marehemu katika mawasiliano ya siri kumwelekeza Andunje ndugia kuwa mwili wa Lisu upelekwe moja kwa moja Singida na kusiwepo na heshima za mwisho wala mwili wake kupelekwa Dar (akiwa amehakikishiwa na Bashite kuwa Lisu lazima atakufa), ni ushahidi tosha kuwa tukio lote lilifanywa na Serikali.
Inasikitisha sana.
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
Kubali tuu kwamba "Mungu amemaliza ubishi" by Nape Nauye
 
Mkuu tupe proof ya hayo unayoyaleta hapa? Sikiliza hukumu ya mwisho na ya haki ni ya Mungu, na wewe si Mungu. Usikipe Umungu kwa kuhukumu watu.
comte unataka proof gani?

Ben Sanane got lost in very strange environment yanayoonesha kila dalili kuwa the govt is responsible kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama...

Moreover, kama ilivyo Kwa Tundu Lissu, vyombo hivyo (i.e polisi) havijafanya uchunguzi wowote wa maana zaidi ya kutoa porojo Kila siku...!!

What proof do you want...??
 
Hata mimi nina uhakika walionidhulumu walitumwa na Magufuli kwa hiyo tusipotezeane mda kujifariji kuwa hakuhusika na udhalimu uliokuwa unafanyika katika serikali ya Magufuli

Embu tupe hapa jukwaani ili wafungwe haki ipatikane,Lissu anastahili kutendewa haki.
 
Hakupigwa na JPM, alipigwa na wakora waliotumwa na JPM

Sasa JPM hayupo makora wapo,tunataka watajwe wakaangwe live live.

Huyo mzee yawezakuwa alikuwa na mapungufu,ila mengine mnajichumia laana ya kukataliwa.

Ole wake lissu asijue nguvu ya jpm.
 
Back
Top Bottom